Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
William Henry Harrison alihudumu kwa muda wa siku 31 pekee, mwaka 1841.
Mfahamu kidogo
William Henry Harrison (9 Februari 1773 – 4 Aprili 1841) alikuwa Rais wa tisa wa Marekani kwa mwezi mmoja tu wa mwaka wa 1841 hadi kifo chake. Alikuwa rais wa kwanza kufariki madarakani.
Mfahamu kidogo
William Henry Harrison (9 Februari 1773 – 4 Aprili 1841) alikuwa Rais wa tisa wa Marekani kwa mwezi mmoja tu wa mwaka wa 1841 hadi kifo chake. Alikuwa rais wa kwanza kufariki madarakani.