Rais aliyekaa madarakani muda mchache zaidi

Rais aliyekaa madarakani muda mchache zaidi

Kipimo cha Muda ni idadi au urefu? Muda mrefu, muda mfupi na muda mchache na muda mwingi?
 
Kipimo cha Muda ni idadi au urefu? Muda mrefu, muda mfupi na muda mchache na muda mwingi?
Hapa ndo najua umuhimu wa kusoma ukibebwa kwenye magari ya njano.
Nimetembea kilometa tano kuitafuta st.kayumba
 
William Henry Harrison alihudumu kwa muda wa siku 31 pekee, mwaka 1841.

Mfahamu kidogo

William Henry Harrison (9 Februari 1773 – 4 Aprili 1841) alikuwa Rais wa tisa wa Marekani kwa mwezi mmoja tu wa mwaka wa 1841 hadi kifo chake. Alikuwa rais wa kwanza kufariki madarakani.
Sijaelewa angle ipi ulisimamia/lenga kuleta mada yako ila kwa ulichokileta hapa jukwaani ni kwamba Uganda ndio ina historia ya kuwa na maraisi walio kaa madarakani muda mfupi zaidi katika historia ya maraisi duniani.

Wa kwanza ni Bazilio Olara Okello aliyedumu madarakani kwa siku mbili pekee kuanzia 27 Julai 1985 mpaka 29 Julai 1985.

Wa pili ni Paulo Muwanga alidumu madarakani kwa siku kumi tuu kuanzia 12 May 1980 mpaka 22 May 1980
 
Sijaelewa angle ipi ulisimamia/lenga kuleta mada yako ila kwa ulichokileta hapa jukwaani ni kwamba Uganda ndio ina historia ya kuwa na maraisi walio kaa madarakani muda mfupi zaidi katika historia ya maraisi duniani.

Wa kwanza ni Bazilio Olara Okello aliyedumu madarakani kwa siku mbili pekee kuanzia 27 Julai 1985 mpaka 29 Julai 1985.

Wa pili ni Paulo Muwanga alidumu madarakani kwa siku kumi tuu kuanzia 12 May 1980 mpaka 22 May 1980
Dah hiyo nayo kali mkuu 🙏 🙏🙏 Shukurani kwa taarifa hiyo
 
Dah hiyo nayo kali mkuu 🙏 🙏🙏 Shukurani kwa taarifa hiyo
Sijaelewa kwa minajiri ya kwamba ulikuwa unaelezea kwa upande wa U.S.A pekee ama kwa dunia nzima? Kama ni U.S.A pekee upo sawa ila kama ni kwa dunia nzima yakubidi ufuatilie trend ya maraisi wa Uganda mkuu
 
Sijaelewa kwa minajiri ya kwamba ulikuwa unaelezea kwa upande wa U.S.A pekee ama kwa dunia nzima? Kama ni U.S.A pekee upo sawa ila kama ni kwa dunia nzima yakubidi ufuatilie trend ya maraisi wa Uganda mkuu
Sawa mkuu nitafanya hivyo
 
Back
Top Bottom