Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Sheikh Yahaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajasitisha isipokuwa plan yao imebuma, vijana wa kisasa huwa wanasema. Ni kwamba VP waliyekuwa wanamtarajia siyo yule aliyeteuliwa na Mama. Sasa kuanzia pale mambo yao yakawa yameparanganyika. Mpango wao ungeweza kufanya kazi tu iwapo VP asingekuwa huyu aliyepo sasa. Hii ni kutoka kwenye maktaba ya kichwa changu tu na sina any external sourcesHuyo mtabiri uchwara kadai kwamba ati wamesitisha oparesheni yao kumsikilizia mama maana wanaona dalili nzuri
Muafaka tayari.mm sikupingi wala kukataa niko 50/50 mpaka nione mwisho wake.
Ila mambo yakienda kama maono yako basi vema ila yakiwa tofauti itakuwa sio poa.huu uzi utaishi muda mrefu sana hapa mpaka tuone muafaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatimae yametimia.Muafaka tayari.
Kumbe utabiri upo bado na nafasi ktk jamii.Hatimae yametimia.
Kumwita mtabiri uchwara, si haki yake.Huyo mtabiri uchwara kadai kwamba ati wamesitisha oparesheni yao kumsikilizia mama maana wanaona dalili nzuri
Mkuu any updates?Mkuu kuna operation imeshapewa next stage.. 'execute'.. itakuwa mixed feelings kwa wengi.
Updates zilizopo ni hadi 2035 😆😆Mkuu any updates?
Wakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
Mkuu kuna operation imeshapewa next stage.. 'execute'.. itakuwa mixed feelings kwa wengi.
Ushimen, King Kong III huu uzi mlishauonaga kweli?Mkuu kuna operation imeshapewa next stage.. 'execute'.. itakuwa mixed feelings kwa wengi.
Baada ya hilo tukio ulipotea kabisa, uliona bora ufungue Id nyingine, hata hivyo hongeraHizi mkuu zinahifadhiwa kwanza mpaka pale zitakapoacha kuhifadhiwa..
Dah, waiting.....Mama atapita tu kwa muda, yupo atakayechukua ipasavyo.
Hahahaa niliuona ila Story Nyingi sana za JIWE lakini itoshe kusema COVID ilirahisisha MAMBO.Ushimen, King Kong III huu uzi mlishauonaga kweli?
Mbona huu uzi aliutoa before kifo cha mzee?Hahahaa niliuona ila Story Nyingi sana za JIWE lakini itoshe kusema COVID ilirahisisha MAMBO.
Mbona huu uzi aliutoa before kifo cha mzee?
Huyu memba hakuna mahali amesema akiwekewa sumu, kama alikuwa na ulinzi wa aina yake ilikuwaje habari za ikulu zikawa zinavuja?.I dont think kama walimfix...JIWE alikuwa anaumwa kitambo tu....Trip shamba trip gereji.....halafu ulinzi wake ulikuwa mkubwa si rahisi kumuwekea sumu.