Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Huyo mtabiri uchwara kadai kwamba ati wamesitisha oparesheni yao kumsikilizia mama maana wanaona dalili nzuri
Hawajasitisha isipokuwa plan yao imebuma, vijana wa kisasa huwa wanasema. Ni kwamba VP waliyekuwa wanamtarajia siyo yule aliyeteuliwa na Mama. Sasa kuanzia pale mambo yao yakawa yameparanganyika. Mpango wao ungeweza kufanya kazi tu iwapo VP asingekuwa huyu aliyepo sasa. Hii ni kutoka kwenye maktaba ya kichwa changu tu na sina any external sources
 
Mmhhhh!
 
I dont think kama walimfix...JIWE alikuwa anaumwa kitambo tu....Trip shamba trip gereji.....halafu ulinzi wake ulikuwa mkubwa si rahisi kumuwekea sumu.
Huyu memba hakuna mahali amesema akiwekewa sumu, kama alikuwa na ulinzi wa aina yake ilikuwaje habari za ikulu zikawa zinavuja?.
Ina mana huyu memba alijuaje soon mzee atakuja kufa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…