King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Huyu memba hakuna mahali amesema akiwekewa sumu, kama alikuwa na ulinzi wa aina yake ilikuwaje habari za ikulu zikawa zinavuja?.
Ina mana huyu memba alijuaje soon mzee atakuja kufa?
Nasubiri na huu utabiri utimieMama atapita tu kwa muda, yupo atakayechukua ipasavyo.
Mama yupi?Tumia akili,
Yule mama wa mipasho akishika nchi Chadema kuchukua nchi itakuwa sawa na keserereka kwenye barafu za mlima K'Njaro.
Kama nakuona vile...hamna lolote mbwembwe tu
Hapo anamaanisha Samia...kuhusu ile kauli yake juu ya risasi zilizopigwa kwa lisu...alisema askari wake ni imara hawawezi kukosa mtu kwa risasi nyingi vile....Sasa kwa maneno yake ndo ameamua kumuita MAMA WA MIPASHOMama yupi?
DuhMkuu kuna operation imeshapewa next stage.. 'execute'.. itakuwa mixed feelings kwa wengi.
Nahisi ulifahamu mpango wa kumdhuru Magufuli na Samia achukue nchi. Hongera umefanikiwa.Wakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
Cheki kurasa za mwanzo kila kitu ameelezea, kasema mama ni wa muda tuNahisi ulifahamu mpango wa kumdhuru Magufuli na Samia achukue nchi. Hongera umefanikiwa.
Usisahau kutujuza ikiwa Samia atagombea na kusbinda au hatapaewa nafasi ya kugombea.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Soma hiiCheki kurasa za mwanzo kila kitu ameelezea, kasema mama ni wa muda tu
Duh hatari sanaSoma hii
Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda
Imeamuliwa 'next stage' isitishwe. Baadhi ya maombi ya unyenyekevu ya 'theState': 1. Sheria zifuatwe na zile zisizofaa zibadilishwe. 2. Mwakani kuwe na mwendelezo wa kuandika katiba ambapo bunge liundwe na lisilazimike kuingiza wabunge waliopo sasa isipokuwa wale wenye tija. 3. Wabunge...www.jamiiforums.com
Kwahi ndio mmeshamu-execute sio?Mkuu kuna operation imeshapewa next stage.. 'execute'.. itakuwa mixed feelings kwa wengi.
Hiiii, we jamaaa weweeeee, kwahiyo na huyu mama nae anapita?!!!Mama atapita tu kwa muda, yupo atakayechukua ipasavyo.
Alimaanisha kujiuzulu kuishi au?Elezea vizuri maana kama ni kujiuzulu kwa huku kwetu sahau.
Naona alisema kwamba Mama anapita kwa kida tu, yupo atakaechukua nchi ipasavyo, sasa sijui kupita anamaanisha nnNahisi ulifahamu mpango wa kumdhuru Magufuli na Samia achukue nchi. Hongera umefanikiwa.
Usisahau kutujuza ikiwa Samia atagombea na kusbinda au hatapaewa nafasi ya kugombea.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
nimegundua we ni jinn sio mtu ,Wakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
we nawe huna lolote Zaid ya mbwembwe tu na utaperiUlimwengu wa roho ni mkubwa sana,kwakifupi haya maisha tulishaishi kiroho na sasa tunamalizia kuishi kimwili.Kwakifupi acha machafu kuwa karibu ya Mungu sana.Kuna mambo ninayoyaona nikisema ninayataje watu watanitafuta waniue au wanidhuru lakini hawatayazuia hayo mambo yasitokee kwani yapo kwenye makadirio ya Mungu na lazima yatatokea.Katika nchi hii mimi maharage ya Ukweni ntakuja kuwa kiongozi ila nimefichwa nafasi gani ya uongozi ntaitumikia nchi yangu,kwamazingira niliyokuwa nayo sasa hili swala nikimwambia mtu lazima ataona nimerukwa na akili yaani kibinadamu ni IMPOSSIBLE lakini kwa Mungu ni EASILY POSSIBLE.