Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Huyu memba hakuna mahali amesema akiwekewa sumu, kama alikuwa na ulinzi wa aina yake ilikuwaje habari za ikulu zikawa zinavuja?.
Ina mana huyu memba alijuaje soon mzee atakuja kufa?

Madikteta wengi watavuta sana kwa UVIKO ,mtoa mada alitoa andiko lake May 2020 ambapo JIWE alikuwa kijificha CHATO kuogopa kovidi ,mkeka wake aliobashiri umetiki....Kibetri+Malukanga+uviko hauwezi kutoboa.
 
Wakuu,

Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.

August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.

Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.

Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.

Endelea kusubiri!
Nahisi ulifahamu mpango wa kumdhuru Magufuli na Samia achukue nchi. Hongera umefanikiwa.
Usisahau kutujuza ikiwa Samia atagombea na kusbinda au hatapaewa nafasi ya kugombea.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Cheki kurasa za mwanzo kila kitu ameelezea, kasema mama ni wa muda tu
Soma hii

 
Nahisi ulifahamu mpango wa kumdhuru Magufuli na Samia achukue nchi. Hongera umefanikiwa.
Usisahau kutujuza ikiwa Samia atagombea na kusbinda au hatapaewa nafasi ya kugombea.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Naona alisema kwamba Mama anapita kwa kida tu, yupo atakaechukua nchi ipasavyo, sasa sijui kupita anamaanisha nn
 
Alisema eti haki sio hisani, lakini jana rangi yake ilianza kuonekana...😂🤣
 
Wakuu,

Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.

August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.

Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.

Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.

Endelea kusubiri!
nimegundua we ni jinn sio mtu ,
Serikali za kidunia Kuna nguvu pia za kijini zinaongoza nyuma yake,hususani kwa nafasi kubwa kama ya urais ,Kuna nguvu za majini aswaa wale wakuu
 
Ulimwengu wa roho ni mkubwa sana,kwakifupi haya maisha tulishaishi kiroho na sasa tunamalizia kuishi kimwili.Kwakifupi acha machafu kuwa karibu ya Mungu sana.Kuna mambo ninayoyaona nikisema ninayataje watu watanitafuta waniue au wanidhuru lakini hawatayazuia hayo mambo yasitokee kwani yapo kwenye makadirio ya Mungu na lazima yatatokea.Katika nchi hii mimi maharage ya Ukweni ntakuja kuwa kiongozi ila nimefichwa nafasi gani ya uongozi ntaitumikia nchi yangu,kwamazingira niliyokuwa nayo sasa hili swala nikimwambia mtu lazima ataona nimerukwa na akili yaani kibinadamu ni IMPOSSIBLE lakini kwa Mungu ni EASILY POSSIBLE.
we nawe huna lolote Zaid ya mbwembwe tu na utaperi
 
Back
Top Bottom