King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Huyu memba hakuna mahali amesema akiwekewa sumu, kama alikuwa na ulinzi wa aina yake ilikuwaje habari za ikulu zikawa zinavuja?.
Ina mana huyu memba alijuaje soon mzee atakuja kufa?
Madikteta wengi watavuta sana kwa UVIKO ,mtoa mada alitoa andiko lake May 2020 ambapo JIWE alikuwa kijificha CHATO kuogopa kovidi ,mkeka wake aliobashiri umetiki....Kibetri+Malukanga+uviko hauwezi kutoboa.