Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Wakuu,

Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.

August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.

Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.

Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.

Endelea kusubiri!
Uko sahihi lakini makamu wa rais anateuliwa na rais hachaguliwi, ila Ford alipata bahati kubwa sana ya kuwa rais baada ya makamu wa rais, hii imetokea mara moja tu dunia nzima ya demokrasia. Vipi Korea ya kaskazini?
 
Wakuu,

Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.

August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.

Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.

Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.

Endelea kusubiri!
Soma historia ya Goodluck Jonathan wa Nigeria..
Hiyo ya ford cha mtoto
 
Kumbe upuuzi wako unaendelea. Ila Mungu aliumba watu aina mbalimbali.
IMG_20200510_164606.jpg
IMG_20200510_164544.jpg
 
Kumbe upuuzi wako unaendelea. Ila Mungu aliumba watu aina mbalimbali.View attachment 1445920View attachment 1445921
Mkuu kama unao ufahamu wa masuala ya ndoto na katika mada ile nilieleza kuwa naweza kuliona jambo kwenye ulimwengu wa roho lakini ikachukua muda kutokea.

Haya mambo hatuyaandiki kwa majivuno, dharau na kujionyesha ndio maana haturudi kuelezea zaidi yanapotokea.

Ila nikuambie tu Dr Abdala Kigoda na Samuel Sita walitutoka kama post ile ilivyoeleza bila kumtaja mtu.

Ni vyema kujivika unyenyekevu.
 
Back
Top Bottom