Tumia akili
Member
- Apr 1, 2013
- 66
- 1,232
- Thread starter
- #21
Sawa mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu.
Uko sahihi lakini makamu wa rais anateuliwa na rais hachaguliwi, ila Ford alipata bahati kubwa sana ya kuwa rais baada ya makamu wa rais, hii imetokea mara moja tu dunia nzima ya demokrasia. Vipi Korea ya kaskazini?Wakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
Kuna mixture ya mambo mengi.. tungoje.Una maana haya madharau dhidi ya covid19 hata backfire na kumpiga kulekule alikojificha?😎
Au unakusudia kusema nini?
Napita tu jameni....
Tumia akili,
Yule mama wa mipasho akishika nchi Chadema kuchukua nchi itakuwa sawa na keserereka kwenye barafu za mlima K'Njaro.
Mkuu Korea Kaskazini sina taarifa nako, mimi naongelea huku.Uko sahihi lakini makamu wa rais anateuliwa na rais hachaguliwi, ila Ford alipata bahati kubwa sana ya kuwa rais baada ya makamu wa rais, hii imetokea mara moja tu dunia nzima ya demokrasia. Vipi Korea ya kaskazini?
Vipi Mkuu, parapanda linakaribia kupigwa huko? Mliopo jikoni mtujuze tafadhali.Ngoja muda utupe muda mkuu.
Kwa hii Tanzania?Mkuu kuna operation imeshapewa next stage.. 'execute'.. itakuwa mixed feelings kwa wengi.
Dadavua tu Mkuu wa kikosi, hapa ndio mahala pake.Kuna mixture ya mambo mengi.. tungoje.
Soma historia ya Goodluck Jonathan wa Nigeria..Wakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
Hata maana ya udaku huelewiBadala ya hoja unaleta udaku.
Elezea vizuri maana kama ni kujiuzulu kwa huku kwetu sahau.Stay tuned mkuu, mambo yanakaribia kuanza..
Mkuu kama unao ufahamu wa masuala ya ndoto na katika mada ile nilieleza kuwa naweza kuliona jambo kwenye ulimwengu wa roho lakini ikachukua muda kutokea.Kumbe upuuzi wako unaendelea. Ila Mungu aliumba watu aina mbalimbali.View attachment 1445920View attachment 1445921
Ingekuwa sahihi kama matukio haya yangekuwa yale ya kwenye sheria ila hili ni contingency plan.Haiwezi tokea TZ. Inahitaji mifumo inayojitegemea (checks and balance) ambayo hatuna hapa kwetu.
Uko sahihi mkuu.Kwa hii Tanzania?
Sikubaliani nawe wala sikataliani nawe.