Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
Tulia mda ufike kwanzaNi nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia mda ufike kwanzaNi nani?
FDR wa tz!!!Ni nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumia akili,
Yule mama wa mipasho akishika nchi Chadema kuchukua nchi itakuwa sawa na keserereka kwenye barafu za mlima K'Njaro.
Jamaa wewe ni mmoja wao? Kumbe aliuawa!Stay tuned mkuu, mambo yanakaribia kuanza..
...🙄🙄🙄Mkuu kuna operation imeshapewa next stage.. 'execute'.. itakuwa mixed feelings kwa wengi.
Kwa haya yanayoendelea ya tozo plus mafuta plus mfumuko wa bei ni Kama utani ila muda utaongeaKwamba mama atateua mtu kushika uVP, then Mama nae atangulie/atangulizwe mbele za haki au ajiuzuru (kwa kulazimishwa nyuma ya pazia) ili huyo VP wa mfukoni atwae Nchi?
Hii Thread ni ya May 2020. Wagagagigikoko! 🙂
Kuna watu mnaona mbali. Mlijua kuna mipasho toka May 2020? Wengine tumekuja kujua baada ya Ndugai kupashwa.Tumia akili,
Yule mama wa mipasho akishika nchi Chadema kuchukua nchi itakuwa sawa na keserereka kwenye barafu za mlima K'Njaro.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu mnaona mbali. Mlijua kuna mipasho toka May 2020? Wengine tumekuja kujua baada ya Ndugai kupashwa.
sawaMkuu kuna operation imeshapewa next stage.. 'execute'.. itakuwa mixed feelings kwa wengi.
Uko wapi mzee wangu? Chama lako bado limelala, bora hata Umoja PartyTumia akili,
Yule mama wa mipasho akishika nchi Chadema kuchukua nchi itakuwa sawa na keserereka kwenye barafu za mlima K'Njaro.
Ni nani huyoooo?Mama atapita tu kwa muda, yupo atakayechukua ipasavyo.
Eti inasemekana Gwaji boy!! TUSUBIRI!!Ni nani huyoooo?
Hebu elezea kidogo mkuuMama atapita tu kwa muda, yupo atakayechukua ipasavyo.
Omusolo...Haiwezi tokea TZ. Inahitaji mifumo inayojitegemea (checks and balance) ambayo hatuna hapa kwetu.
Ila ninachokiona ni kwamba jamaa hakufanya utabiri,ila alikuwa na taarifa.
kumbuka gape ya muda wakati anatoa uzi huu na tukio linatokea siyo kubwa kivile.Kwahiyo yawezekana tayari alishapata taarifa!
😳