Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Kimsingi JAL 2, tayari... Na hyu KM nae kashawekwa Kando... Yajayo yanachanganyaπŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡
 
Mkuu, Kuna tukio lolote unaloliona litatokea mwakani au hata mwaka huu?
 
Binafsi sioni dalili zozote zaidi ya kuona teuzi na tenguzi pekee. Japo mwenye uzi wake hajawahi kutokeza hadharani kubatilisha alichokiandika ngoja tuone mpaka mwisho wa mwaka huu.
 
Mkuu Jambo dogo Kama hili haulijui kweli? Shadow government ipo kokote Duniani na ndio inayo run Nchi hata Rais hawezi kuwafahamu maisha yake yoteeee.
 
Mkuu Jambo dogo Kama hili haulijui kweli? Shadow government ipo kokote Duniani na ndio inayo run Nchi hata Rais hawezi kuwafahamu maisha yake yoteeee.
Utapeli tu, hakuna kitu kama hicho.

Haya yako US ambako wafanyabiashara wakubwa ndio wameikamata serikali, na maamuzi yote shurti yaendane na matakwa yao.

Nchi kama Russia hawana ujinga huo, China hawana ujinga huo...
 
The state walipokuwa kazini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…