Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.

Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.

Endelea kusubiri!
Kwamba mama atateua mtu kushika uVP, then Mama nae atangulie/atangulizwe mbele za haki au ajiuzuru (kwa kulazimishwa nyuma ya pazia) ili huyo VP wa mfukoni atwae Nchi?

Hii Thread ni ya May 2020. Wagagagigikoko! 🙂
 
Mkuu upoooooo, unabii wako umetimia mkuu, salute mkuu upoooooooo,
 
Bro we ni noma bado kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…