HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Si maono ni planned..Kuna watu mna maono
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si maono ni planned..Kuna watu mna maono
Watoe pole kisa na Mkasa?Mweh!.. mabeberu sio watu wazuri! Naamini huko yalipo yanachekelea kama yalivyochekelea hadharani alipokufa Rais wa Venezuela na wa Libya!
Sijaona hata pole toka kwa Rais wa US!
Power Struggle itasababisha hili litokeeUmetimia kwa 50% bado 50% mkuu, nadhani Uzi huu tuuPIN na ukitimia kwa kadri ya maandiko haya Basi tuuweke kwenye vitabu vya historia ya Tanzania (nadhani haitapita miaka 4);
Nakubaliana nawe mkuu, basi Mungu akitupa uhai tukutane wakati huo. TuuPIN chiefUmetimia kwa 50% bado 50% mkuu, nadhani Uzi huu tuuPIN na ukitimia kwa kadri ya maandiko haya Basi tuuweke kwenye vitabu vya historia ya Tanzania (nadhani haitapita miaka 4);
Anamaanisha kuwa huyu Mama hatafika 2025Duhh so it means 2025 atachukua mwingine mama atapigwa chini !??
Kweli dunia Ina mambo
Hata akiiona hatabadilisha lililopangwaMama wa watu asiione hii post dunia ina mengi sana hii
Hawajaona mbali bali wamepanga kitokeeWaona mbali.
Kwani MAGAMBA MATATU alisharudi baada ya kutabiri kitachotokea 2015 na utawala wa Jiwe utavyokua?Huyu Jamaa Tumia akili huwa harudi kujigamba haya mambo yakitimia, fuatilia tabiri zake utaona.
Sio miujiza hii kitu ilipangwa iwe hiviKwa mara ya kwanza naona miujiza zaidi ya Fix za wachungaji
AiseeWakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
Ni kuwa wenye nchi hawakumtaka ilitokea bahati mbaya akapewa fimboKipi kipo nyuma ya pazia juu ya kifo hiki mkuu naona wengi wanaonekana walitabiri hili eidha miaka kadhaa nyuma ama miezi michache tu nyuma hapo. Kipi kimejificha tujuze hata kwa ufupi tu mkuu
Mbona jamani mnapenda sana kuisinfizia kovid19 uongo wakati yenyewe imejikalia tu kimya?Wakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
Badala ya hoja unaleta udaku.
Mkuu naona dalili za hili uliloandika hapa kutokea kama ulivyotabiri.
Kazi ipo!!Jaman jf ina mambo nyie watabir Kama Mungu amewapa vipawa mkae navyo kimya maana tunaanza kuogopa Sasa
RIP MAGUFULI
Kwa kuwa sio lazima kukubali ulichokisema basi hichi nakuambia huo ni UONGO MUJARABUDada Mungu yupo na ukiwa karibu naye sana ukajiepusha na machafu,Mungu atakuficha tu kifo chako.Binafsi hakuna ajali ya ndege inaweza kutokea katika dunia hii mimi nisioteshwe.Tatizo tukitabiri mtuona tumerukwa na akili lakin kama mngekuwa mnafanyia kazi maono yetu mngechukua tahadhari.Lakini maono mengi yanatoka kwa mungu na ni mipango ya mungu so lazima yatimie huwezi kubadilin mpango wa mungu
Sio Kama anachosema . Alichosema nikweli maana alicho kibashiri kimetimia asilimia 75Hv wadau kama anachosema mtoa mada ni kweli hv ni nan katika nchi hii ni engineer wa kupanga hii mipango wakati Rais ndo top. Kuanzia mkurugenzi wa usalama wa taifa na vyombo vingine vya usalama wote wanaripoti kwake. Au kuna mtu mwngine nje ya mfumo Mwenye uwezo wa kuwaendesha hawa watendaj wengine bila rais kufaham?
We jamaa ulijuaje?Wakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!