Tumia akili 😆😆Samahani mkuu nikuulize wewe umejuaje vipo yaani una access ya kujua hivi vitu kumzidi DG mwenyewe? Yeye asijue wewe umejua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia akili 😆😆Samahani mkuu nikuulize wewe umejuaje vipo yaani una access ya kujua hivi vitu kumzidi DG mwenyewe? Yeye asijue wewe umejua?
Hao ni wapiga ramli wala hawana wanachofahamu!Samahani mkuu nikuulize wewe umejuaje vipo yaani una access ya kujua hivi vitu kumzidi DG mwenyewe? Yeye asijue wewe umejua?
Before Wednesday?Huo hapo chini.
Wakuu
Mwaka 1779 jenerali wa Marekani, Benedict Arnold, alianza kuingia makubaliano ya usaliti na majeshi ya uingereza ili kuwasaidia kushinda vita kule Marekani.
Mkakati wake kudhoofisha ngome pale New York uligundulika na aliyekuwa handler wake upande wa uingereza meja John Andre alikamatwa na majeshi ya Marekani na kunyongwa.
Upande wa pili nikawa nimeingia ofisini kwa director nikakuta mazungumzo fulani nikahitaji ufafanuzi.
Nikauliza mbona ilisitishwa? Akajibu, "that's above your paycheck". Nikamwambia hata bado hajastaafishwa akajibu, "JAL 1 is done, 2 and 3 are next".
Nikasema mbona kitabu na fdr hamna dalili akasema stop huku akinionesha nitoke pale ofisini. Basi nikainuka na kusema nilishaaga akajibu, "taarifa zinatoka juu kuja chini".
Akabonyeza namba kwenye simu wakati namalizia kutoka nikasikia anatamka "code PJLK, next stage is ON, desert mission, original plan, over and out."
Nilisikia mlango unagongwa kumbe ni binti yangu aliyekuwa anatoka alfajiri. Hapo nikajua kumbe ilikuwa ni ndoto.
Just a few days.
theState.
Vp mkuu kimeumanaBefore Wednesday?
Raha ya milele umpe e bwana, inalilah waynailaih rajiun.
Maturubai tunapeleka wapi mkoani au Dar?
Kwamba "Desert mission".Huo hapo chini.
Wakuu
Mwaka 1779 jenerali wa Marekani, Benedict Arnold, alianza kuingia makubaliano ya usaliti na majeshi ya uingereza ili kuwasaidia kushinda vita kule Marekani.
Mkakati wake kudhoofisha ngome pale New York uligundulika na aliyekuwa handler wake upande wa uingereza meja John Andre alikamatwa na majeshi ya Marekani na kunyongwa.
Upande wa pili nikawa nimeingia ofisini kwa director nikakuta mazungumzo fulani nikahitaji ufafanuzi.
Nikauliza mbona ilisitishwa? Akajibu, "that's above your paycheck". Nikamwambia hata bado hajastaafishwa akajibu, "JAL 1 is done, 2 and 3 are next".
Nikasema mbona kitabu na fdr hamna dalili akasema stop huku akinionesha nitoke pale ofisini. Basi nikainuka na kusema nilishaaga akajibu, "taarifa zinatoka juu kuja chini".
Akabonyeza namba kwenye simu wakati namalizia kutoka nikasikia anatamka "code PJLK, next stage is ON, desert mission, original plan, over and out."
Nilisikia mlango unagongwa kumbe ni binti yangu aliyekuwa anatoka alfajiri. Hapo nikajua kumbe ilikuwa ni ndoto.
Just a few days.
theState.
Duuuuuh hatari, itakuwa basi hiyo si idara, kwa sababu kiongozi anayeongoza idara iweje asijue vitengo vyote?Tiss ina vitengo vingi sana mkuu; hata huyo mkurugenzi wao kuna vingine hata havijui.
Mkuu Gagnija nisaidie code hizi japo inbox mkuu,Huo hapo chini.
Wakuu
Mwaka 1779 jenerali wa Marekani, Benedict Arnold, alianza kuingia makubaliano ya usaliti na majeshi ya uingereza ili kuwasaidia kushinda vita kule Marekani.
Mkakati wake kudhoofisha ngome pale New York uligundulika na aliyekuwa handler wake upande wa uingereza meja John Andre alikamatwa na majeshi ya Marekani na kunyongwa.
Upande wa pili nikawa nimeingia ofisini kwa director nikakuta mazungumzo fulani nikahitaji ufafanuzi.
Nikauliza mbona ilisitishwa? Akajibu, "that's above your paycheck". Nikamwambia hata bado hajastaafishwa akajibu, "JAL 1 is done, 2 and 3 are next".
Nikasema mbona kitabu na fdr hamna dalili akasema stop huku akinionesha nitoke pale ofisini. Basi nikainuka na kusema nilishaaga akajibu, "taarifa zinatoka juu kuja chini".
Akabonyeza namba kwenye simu wakati namalizia kutoka nikasikia anatamka "code PJLK, next stage is ON, desert mission, original plan, over and out."
Nilisikia mlango unagongwa kumbe ni binti yangu aliyekuwa anatoka alfajiri. Hapo nikajua kumbe ilikuwa ni ndoto.
Just a few days.
theState.
Kwamba !!?Before Wednesday?
Raha ya milele umpe e bwana, inalilah waynailaih rajiun.
Maturubai tunapeleka wapi mkoani au Dar?
Akikupa ni fowardie kwangu pmMkuu Gagnija nisaidie code hizi japo inbox mkuu,
1. JAL 1 is done, 2 and 3 are next
2. PJLK?
3. Desert mission?
Natanguliza Asante
🙏🙏🙏🙏
Huku Bara!!?Kwamba "Desert mission".
Sawa NAMBA MOJA AJAYE NCHINIAki
Akikupa ni fowardie kwangu pm
😂😂😂😂 Duuuuh code hizi si mchezoHuku Bara!!?
MkuuHuo hapo chini.
Wakuu
Mwaka 1779 jenerali wa Marekani, Benedict Arnold, alianza kuingia makubaliano ya usaliti na majeshi ya uingereza ili kuwasaidia kushinda vita kule Marekani.
Mkakati wake kudhoofisha ngome pale New York uligundulika na aliyekuwa handler wake upande wa uingereza meja John Andre alikamatwa na majeshi ya Marekani na kunyongwa.
Upande wa pili nikawa nimeingia ofisini kwa director nikakuta mazungumzo fulani nikahitaji ufafanuzi.
Nikauliza mbona ilisitishwa? Akajibu, "that's above your paycheck". Nikamwambia hata bado hajastaafishwa akajibu, "JAL 1 is done, 2 and 3 are next".
Nikasema mbona kitabu na fdr hamna dalili akasema stop huku akinionesha nitoke pale ofisini. Basi nikainuka na kusema nilishaaga akajibu, "taarifa zinatoka juu kuja chini".
Akabonyeza namba kwenye simu wakati namalizia kutoka nikasikia anatamka "code PJLK, next stage is ON, desert mission, original plan, over and out."
Nilisikia mlango unagongwa kumbe ni binti yangu aliyekuwa anatoka alfajiri. Hapo nikajua kumbe ilikuwa ni ndoto.
Just a few days.
theState.
Huo hapo chini.
Wakuu
Mwaka 1779 jenerali wa Marekani, Benedict Arnold, alianza kuingia makubaliano ya usaliti na majeshi ya uingereza ili kuwasaidia kushinda vita kule Marekani.
Mkakati wake kudhoofisha ngome pale New York uligundulika na aliyekuwa handler wake upande wa uingereza meja John Andre alikamatwa na majeshi ya Marekani na kunyongwa.
Upande wa pili nikawa nimeingia ofisini kwa director nikakuta mazungumzo fulani nikahitaji ufafanuzi.
Nikauliza mbona ilisitishwa? Akajibu, "that's above your paycheck". Nikamwambia hata bado hajastaafishwa akajibu, "JAL 1 is done, 2 and 3 are next".
Nikasema mbona kitabu na fdr hamna dalili akasema stop huku akinionesha nitoke pale ofisini. Basi nikainuka na kusema nilishaaga akajibu, "taarifa zinatoka juu kuja chini".
Akabonyeza namba kwenye simu wakati namalizia kutoka nikasikia anatamka "code PJLK, next stage is ON, desert mission, original plan, over and out."
Nilisikia mlango unagongwa kumbe ni binti yangu aliyekuwa anatoka alfajiri. Hapo nikajua kumbe ilikuwa ni ndoto.
Just a few days.
theState.
Soma post # 823.Kichwa cha habari aliandikaje!!?kabla ya huu uzi!!?
Original plan.... Ile Ile ya aliyeokota dodo marekani. Plan Inaendelea hata kama plan A imekufa mziba pengo wameshampata.Aliyeelewa atufafanulie
Misukule ya jiwe wanaomba watu wote wafe , mazuzu kweli haya majituMsifikiri ni jambo jema....
Code ziko wazi sana mbonaHebu fungua hizo "code" mkuu