Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,042
- 19,787
Wewe huna akili kabisa
Rais Samia kwa jina lake na pesa yake binafsi amegawa pikipiki 18,200 zenye nembo yake ambazo thamani yake ni TZS 54 bilioni. Kwa kuwa (siyo fedha za serikali), bunge halijaidhinisha. Swali la ufahamu hapa, SSH anatoa fedha hizo wapi? Mshahara au posho?
Wewe mwenye akili nyingi sana utathibitisha iko siku sio nyingi..!!