Under which Article of URT Constitution? Being a Head of State hakumfanyi kuisigina Katiba. He is not above the Constitution. Endeleeni ku support kila ujinga hadi siku atakapowa amputate since he is a Head of State.Anauwezo huo kama head of state na sio kama head of government, hayo ni mamlaka yake ya kikatiba.
Ieleweke kwa nani? weka ushahidi apa acha siasa za Mahaba
Hapo pa kulivunja Bunge soma vizuri katiba imefafanua mambo gani yakitokea atavunja Bunge na pia, utambue Kwa mujibu wa katiba yetu Rais alivunja Bunge anakuwa amejitumbua mwenyewe kwakuwa anakoma kuwa Rais na uchaguzi unaitishwaRais wa Tanzania kwa mujibu wa katiba ni mkuu wa nchi na kiongozi mkuu wa serikali pia hivyo Spika na Jaji mkuu wako chini yake.
Rais anapotoa maagizo ni vizuri tukaelewa anayatoa katika capacity gani na siyo kuibuka na kuanza kumpinga bila uelewa.
Kwa mfano Rais kama mkuu wa nchi anaweza kulivunja bunge wakati wowote anaporidhika kuna sababu za kufanya hivyo kadhalika anaweza kutoa miongozo fulani kwa Spika au Jaji mkuu.
Tunaposema mihimili ya Serikali, Bunge na Mahakama ni sawa hatumaanishi kwamba viongozi wake wako sawa, la hasha ndio maana mahakama iko chini ya wizara ya katiba na sheria na bunge liko chini ya ofisi ya Waziri mkuu kiutawala.
Mafungu ya fedha za bunge yapitishwa kupitia ofisi ya Waziri mkuu na matumizi yake ni lazima yawe kwa mujibu wa utaratibu wa mlipaji mkuu wa serikali.
Hivyo ni sahihi kabisa Rais Magufuli " kumkumbusha" Spika kwamba fedha ya serikali ina utaratibu wake hivyo wabunge wa Chadema wasiohudhuria vikao wasilipwe posho.
Endapo Spika atapuuza basi taratibu za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.
Niko tayari kusahihishwa.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Ninawasi wasi na koment yako, mbona waliitisha michango ili walipe faini, kuna uwezekano wanahitaji pesa.By the way posho yenyewe ni kama 6m kwa siku 20 zilizovaki?sasa mtu kama mbowe,sugu,matiko wa risk maisha yao kwa 6m haiwezekani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawazo mgando KABISAWakuu, ile dhana ya uwepo wa Mihimili Mitatu inayojitegemea ni DANGANYA TOTO TU. Magufuli amedhihirisha hilo leo kwa kuagiza Ndugai asilipe posho za Wabunge walioamua kujiweka "karantini".
Kama Rais ana mamlaka ya kuliingilia Bunge, vipi kuhusu Mahakama? Atashindwaje kutoa maagizo yanayofanana na hayo kwenye Tume yake ya Uchaguzi hapo Oktoba?
My take: Tuna utawala wa Mkono wa Chuma, tusitarajie Uchaguzi Huru hapo Oktoba mwaka huu.
Hapo kwenye "red" unamaanisha nini Mkuu?Ni mkuu wa nchi kwani mbowe anapata wapi mamlaka ya kuzuia wabunge wasiende kwenye vikao vya bunge.unalupwaje mshahara Kama hufanyi kazi.you guys don't politicise.if you don't work never it.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais hakupaswa kutamka kauli ile, hapo ndipo utata wa uwepo wa mihimili mitatu unapoanzia. Magufuli amedhihirisha kuwa yeye ni mtawala wa MABAVU. Period.Ebo! Kumbe ulitegemea walipwe kwa kujiweka karantine na makahaba hotelini dodoma! Nina uhakika hata mh. Spika angefanya hivyo hata bila kushauriwa na rais! Kama hii kwako ni chungu pole lakini ndio ukwwli!
Jielekeze kwenye hoja iliyopo mezani Mkuu, punguza mahaba.Jiwekeni Karantini tu,posho hakuna.Hivyo ubunge mlisomea wapi nyinyi!
Shubaah miit.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ulielewa aliposema huu muhimili umejichimbia chini zaidi?😂😂😂Wakuu, ile dhana ya uwepo wa Mihimili Mitatu inayojitegemea ni DANGANYA TOTO TU. Magufuli amedhihirisha hilo leo kwa kuagiza Ndugai asilipe posho za Wabunge walioamua kujiweka "karantini".
Kama Rais ana mamlaka ya kuliingilia Bunge, vipi kuhusu Mahakama? Atashindwaje kutoa maagizo yanayofanana na hayo kwenye Tume yake ya Uchaguzi hapo Oktoba?
My take: Tuna utawala wa Mkono wa Chuma, tusitarajie Uchaguzi Huru hapo Oktoba mwaka huu.
Siyo mbowe wewe huogopi ugonjwa hebu tuache siasakwenye ugonjwa kwani afya haina cha posho hainunuliwiTuliwaasa Chadema
Wabunge wa Chadema wakichaguliwa na Watanzania wakawawakilishe bungeni
Ila Mbowe kwa ubabe wake bila kushirikiana na Spika amewakataza wabunge wa Chadema wasihudhurie vikao
Kwanza ieleweke Mbowe huwakata wabunge wake zaidi ya milion kwenye mshahara wa mbunge
Leo anawakataza wasichukue hata posho ?
Mbowe ajitathimini akae pembeni akili imefika kikomo
Hoja hapa ni uhalali wa hilo AGIZO la Rais. Ni kweli tuna Mihimili mitatu inayojitegemea au ni danganya toto tu?labda mnisaidie wadau posho mbunge anaipata pale anapouzuria kikao sasa km hakuuzuria kikao hiyo posho anapata wapi labda kama mshahara ndio auzurie au asiuzurie ndio anapata
Sent using Jamii Forums mobile app
This is nonsense..Rais wa Tanzania kwa mujibu wa katiba ni mkuu wa nchi na kiongozi mkuu wa serikali pia hivyo Spika na Jaji mkuu wako chini yake.
Rais anapotoa maagizo ni vizuri tukaelewa anayatoa katika capacity gani na siyo kuibuka na kuanza kumpinga bila uelewa.
Kwa mfano Rais kama mkuu wa nchi anaweza kulivunja bunge wakati wowote anaporidhika kuna sababu za kufanya hivyo kadhalika anaweza kutoa miongozo fulani kwa Spika au Jaji mkuu.
Tunaposema mihimili ya Serikali, Bunge na Mahakama ni sawa hatumaanishi kwamba viongozi wake wako sawa, la hasha ndio maana mahakama iko chini ya wizara ya katiba na sheria na bunge liko chini ya ofisi ya Waziri mkuu kiutawala.
Mafungu ya fedha za bunge yapitishwa kupitia ofisi ya Waziri mkuu na matumizi yake ni lazima yawe kwa mujibu wa utaratibu wa mlipaji mkuu wa serikali.
Hivyo ni sahihi kabisa Rais Magufuli " kumkumbusha" Spika kwamba fedha ya serikali ina utaratibu wake hivyo wabunge wa Chadema wasiohudhuria vikao wasilipwe posho.
Endapo Spika atapuuza basi taratibu za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.
Niko tayari kusahihishwa.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Hoja hapa ni uhalali wa hilo AGIZO la Rais. Ni kweli tuna Mihimili mitatu inayojitegemea au ni danganya toto tu? Ikiwa Bunge na Mahakama vimewekwa MFUKONI na Rais, vipi kuhusu ile Tume yake ya Uchaguzi?Rais wa Tanzania kwa mujibu wa katiba ni mkuu wa nchi na kiongozi mkuu wa serikali pia hivyo Spika na Jaji mkuu wako chini yake.
Rais anapotoa maagizo ni vizuri tukaelewa anayatoa katika capacity gani na siyo kuibuka na kuanza kumpinga bila uelewa.
Kwa mfano Rais kama mkuu wa nchi anaweza kulivunja bunge wakati wowote anaporidhika kuna sababu za kufanya hivyo kadhalika anaweza kutoa miongozo fulani kwa Spika au Jaji mkuu.
Tunaposema mihimili ya Serikali, Bunge na Mahakama ni sawa hatumaanishi kwamba viongozi wake wako sawa, la hasha ndio maana mahakama iko chini ya wizara ya katiba na sheria na bunge liko chini ya ofisi ya Waziri mkuu kiutawala.
Mafungu ya fedha za bunge yapitishwa kupitia ofisi ya Waziri mkuu na matumizi yake ni lazima yawe kwa mujibu wa utaratibu wa mlipaji mkuu wa serikali.
Hivyo ni sahihi kabisa Rais Magufuli " kumkumbusha" Spika kwamba fedha ya serikali ina utaratibu wake hivyo wabunge wa Chadema wasiohudhuria vikao wasilipwe posho.
Endapo Spika atapuuza basi taratibu za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.
Niko tayari kusahihishwa.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Hoja hapa ni uhalali wa hilo AGIZO la Rais. Ni kweli tuna Mihimili mitatu inayojitegemea au ni danganya toto tu? Ikiwa Bunge na Mahakama vimewekwa MFUKONI na Rais, vipi kuhusu ile Tume yake ya Uchaguzi?Spika Bosi wake ni Mkuu wa CCM, ambaye ni Raisi wa JMTZ, na fedha yote ya Serikali ya JMTZ msimamizi wake ni Raisi wa JMTZ, Bunge linapewa fedha za walipa kodi wa JMTZ na msimamizi wa Kodi zetu ni Raisi wa JMTZ, ...
Mbona wanaosema mwenyeketi wa ccm taifa anaingilia mahakama huwa mnakataa au kubisha kwamba hilo haliwezekani, kwamba Mahakama ziko huru.
Kwa mchanganuo huo huo ulioutoa ukiupeleka mahakamani, na ukaapply mtiririko huo huo, inawesekana.
Sio sawa lakini anawaingilia. Maana kasema NIMEMWAGIZA speaker awakate posho.