Rais asiwe Mwenyekiti wa chama ili kuleta Ushindani wa Haki wa kisiasa

Rais asiwe Mwenyekiti wa chama ili kuleta Ushindani wa Haki wa kisiasa

Tatizo ccm wanaogopa eti "Rais atakuwa hana meno " . Yaani hata mwenyekiti wa chama anaweza kuanzisha mchakato wa kumwajibisha pale anapopotoka.

Mfano ni South Africa ambapo marais Thabo Mbeki na Jacob Zuma wote wameshawahi kufukuzwa Urais na chama chao kwa kuwa hawakuwa wenyekiti.
 
Wazo lako ni zuri sana lakini wasiwasi wangu ni TIHIS IS AFRICA siasa zetu hazijapevuka kwenye kuipenda nchi na watu wake, wengi wa viongozi wetu wanatanguliza maslahi yao binafsi mbele,

Hivyo wakiwa zaidi ya mmoja kwenye ngazi za juu sana huko nchi unaiweka kuangukia kwenye msukosuko wa hatari sana. Kwamba siku moja Mwenyekiti wa Chama akitofautiana na Rais, rais akafukuzwa kwenye chama unajua nini kitatokea?!?.

Majuzi tu hapa Rais alivyoaga dunia maneno yalizuka nani ataapishwa iwe kwenye hili?!?

ooh!! sijui mimi
Mbona tumeshuhudia baadhi ya majirani zetu Rais anahama chama na anaendelea na urais wake vizuri tu, hapa kinachomlinda ni uwepo wa mgombea binafsi.
 
Mbona tumeshuhudia baadhi ya majirani zetu Rais anahama chama na anaendelea na urais wake vizuri tu, hapa kinachomlinda ni uwepo wa mgombea binafsi.
mpaka tubadilishe sheria zetu/katiba. hebu nikumbushe ni nchi ipi hiyo??!!
 
Back
Top Bottom