Rais asiwe Mwenyekiti wa chama ili kuleta Ushindani wa Haki wa kisiasa

Tatizo ccm wanaogopa eti "Rais atakuwa hana meno " . Yaani hata mwenyekiti wa chama anaweza kuanzisha mchakato wa kumwajibisha pale anapopotoka.

Mfano ni South Africa ambapo marais Thabo Mbeki na Jacob Zuma wote wameshawahi kufukuzwa Urais na chama chao kwa kuwa hawakuwa wenyekiti.
 
Mbona tumeshuhudia baadhi ya majirani zetu Rais anahama chama na anaendelea na urais wake vizuri tu, hapa kinachomlinda ni uwepo wa mgombea binafsi.
 
Mbona tumeshuhudia baadhi ya majirani zetu Rais anahama chama na anaendelea na urais wake vizuri tu, hapa kinachomlinda ni uwepo wa mgombea binafsi.
mpaka tubadilishe sheria zetu/katiba. hebu nikumbushe ni nchi ipi hiyo??!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…