cassavaleaves
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 1,799
- 2,237
Mwisho wake umefika, hana jinsi yoyote ya kumbakisha madarakani.
Ila hii oparesheni ya waasi imenishangaza sana, ndani ya muda mfupi wamechukua nchi!
Russia kushindwa kuipa support Syria naona kaka Russia inasingiziwa tu. Issue kubwa ni Jeshi la Syria kutotaka kupigana. Russia ingefanya nn katika mazingira kama hayo?Vita ya Ukraine vimeinyong'onesha urusi hivyo kushindwa kumpa support ya kutosha Assad hence kupinduliwa kirahisi.
Na pia waziri mkuu wamempa mamlaka ya kuendesha taasisi zote zq kiserikaliNaona kwa Sasa wamekuja kivingine. Wameahidi amani na Usalama. Na hata walipoteka miji hawakuua watu.
Najiuliza Urusi wako wapi...?? Maana wamekuwa wakimtetea kwa muda mrefu sasaAssad is done and dusted!
Ni nderemo na vifijo tu kwenye mitaa ya Damascus.
Familia moja imetawala Syria kwa miaka 54!
These people have no discernment, whatsoever.
Dah,Rais Assad aripotiwa kuikimbia Syria, Majeshi wa Waasi yatangaza kuuchukua mji mkuu wa Damascus
Watu walio seeious na maisha hao. Sio sie oh tunamuachia mungu 🤣🤣🤣🤣Mwisho wake umefika, hana jinsi yoyote ya kumbakisha madarakani.
Ila hii oparesheni ya waasi imenishangaza sana, ndani ya muda mfupi wamechukua nchi!
Magari ya pickups za kubebebea mkaa ndiyo yameukomboa mji.Mapigano ndani ya Damascus kwa sasa!!!
Rebel forces have declared Syria "free", saying the "tyrant" President Bashar al-Assad has left.
It is the end of a dark era and the beginning of a new one, HTS says on Telegram.
People who were displaced or were imprisoned by the Assad regime's half-century reign can now come home, the rebels say.
It will be a "new Syria" where "everyone lives in peace and justice prevails", HTS says
BBC
=====
View attachment 3171862
Alfajiri ya leo, Desemba 8, 2024, utawala wa miaka 53 wa familia ya Assad nchini Syria umefikia kikomo rasmi.
Vikundi vya waasi vimechukua udhibiti wa mji wa Damascus, huku Rais Bashar al-Assad akiripotiwa kukimbilia mafichoni kusikojulikana.
View attachment 3171863
US ni mtu mbaya sana, wakishirikiana na mayahudi ni mpango maalum lakini pia Syria wenyewe wametumika kuna walio wanafiki pia hata katika jeshi hilo hilo la Assad wako wengi waliounga mkono opposition walipisha njia na kuvua gwanda watu wasonge mbele,Mwisho wake umefika, hana jinsi yoyote ya kumbakisha madarakani.
Ila hii oparesheni ya waasi imenishangaza sana, ndani ya muda mfupi wamechukua nchi!
SaudiaHayo yote yanawezekana ukiwa puppert na western mkuu, huwa hawaangalii katiba ya nchi yako ukilinda maslahi yao, Hivi unaweza kuniambia kati ya Iran na Saudi Arabia nchi ipi ni katili sana kwa raia zake!?
Urusi iko buay na vita vya nchini kwake ndio maana saiduzi wake mkuu hakuonekana na ikatumia kaa wekaness pointKiuhalisia hili la waasi kufanikiwa kwa haraka haraka hapo Syria hata mimi limenishangaza sana, inaonekana dunia inakwenda kasi sana kwenye mambo mengi na kuna vitu vingi mnoo vinaendelea chini kwa chini hapa duniani na hatuvijui.
Naked. TruthNi hivi, hao wanajeshi wa jeshi la Syria wamechoka na vita.
Miaka 13 ya vita isiyoeleweka ni mingi sana.
Kupigana vita si kuwa na jeshi na vifaa tu.
Morali ya kupigana nayo ni ‘essential’ piece of the puzzle.
Familia moja imetawala nchi kwa miaka 54. Imejitajirisha beyond belief.
Wanajeshi hawalipwi ujira wa maana.
Sasa waendelee kupigana vita na waasi kwa manufaa ya nani? Kumbakisha Assad madarakani?
Hao wanajeshi nao ni raia wa Syria. Ugumu wa maisha uliopo unawagusa na wao pia ilhali Assad na familia wanaishi kama wako peponi.
Inafikia muda hao wanajeshi nao akili zinawarudia na wanaona hakuna umuhimu wa kuyaweka maisha yao hatarini kulipigania lifisadi.
I hope CCM is taking note…..
Wewe mbona hukuileta?Habari ya tangu Jana unaleta sasa hivi
Angalizo murua kabisa!Ni hivi, hao wanajeshi wa jeshi la Syria wamechoka na vita.
Miaka 13 ya vita isiyoeleweka ni mingi sana.
Kupigana vita si kuwa na jeshi na vifaa tu.
Morali ya kupigana nayo ni ‘essential’ piece of the puzzle.
Familia moja imetawala nchi kwa miaka 54. Imejitajirisha beyond belief.
Wanajeshi hawalipwi ujira wa maana.
Sasa waendelee kupigana vita na waasi kwa manufaa ya nani? Kumbakisha Assad madarakani?
Hao wanajeshi nao ni raia wa Syria. Ugumu wa maisha uliopo unawagusa na wao pia ilhali Assad na familia wanaishi kama wako peponi.
Inafikia muda hao wanajeshi nao akili zinawarudia na wanaona hakuna umuhimu wa kuyaweka maisha yao hatarini kulipigania lifisadi.
I hope CCM is taking note…..
Umeonaaeee, Assad bila msaada wa Iran na Urusi angekwisha ondolewa toka mwaka 2013.Mwisho wake umefika, hana jinsi yoyote ya kumbakisha madarakani.
Ila hii oparesheni ya waasi imenishangaza sana, ndani ya muda mfupi wamechukua nchi!
Jeshi limemamua kumtosa.Mwisho wake umefika, hana jinsi yoyote ya kumbakisha madarakani.
Ila hii oparesheni ya waasi imenishangaza sana, ndani ya muda mfupi wamechukua nchi!
Kabisa aisee, hilo la kugombana wao kwa wao linaonekana kabisa...Ila haya mambo huwa kama yana laana flani hivi.
Sasa hivi watu wanasherehekea lakini baadaye wataishia kufarakana na kuanza kutwangana tena kugombea madaraka.