econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Yalishapangwa hayo tuko nyakati za mwisho kuelekea NWO, ila Wakristo wa Syria watamkumbuka sana Assad, leo hi I unamtoa Assad mnawaweka ISIS, il Israel iweze kuongeza Ardhi kusini mwa Syria😀
Sidhani. Wakristo wengi wapo Alepo na waasi walipoteka Alepo hawakuua hata mkristo mmoja. Hawa wamekuja kivingine. Ile Ideology ya ISIS wameiondoa.