Rais Assad aripotiwa kuikimbia Syria, Majeshi ya Waasi yatangaza kuuchukua mji mkuu wa Damascus

Rais Assad aripotiwa kuikimbia Syria, Majeshi ya Waasi yatangaza kuuchukua mji mkuu wa Damascus

Sasa kinachotakiwa ni serikali inayokuja iwe shirikishi kwa maana kwamba jamii ya watu wenye imani tofauti tofauti wawe na haki sawa tofauti na ilivyo katika mataifa mengi yenye idadi kubwa ya waumini wa dini ya kiislam.

Kwa Syria ni ngumu kuna makundi ya waasi ya jamii mbalimbali duniani, wachina, waturkey, warusi, wasaudi yaani magaidi yooote ya kundi la ISIS waliokuwa magerezani duniani waliachiwa wakapelekwa Syria, kilochowashangaza wamagharibi Moscow na Tehran kuruhusu nchi Assad aiachie pasipo mapigano na mauwaji ya kutisha, swali Syria itaelekea wapi na itaweza kudhibitiwa vipi iweze kutawalika, kumbuka wanajeshi wengi wa Syria wamerudi uraiani na wengine wamekimbilia nchi jirani na silaha zao mkononi kusikilizia game linaendeleaje!!!😀
 
Utawala wa kupokezana kifamilia umekwisha!
Harafu inaonekana tayari kulikuwa na Uasi ndani ya Jeshi la Syria.
Haiwezekani mapigano yachukue takribani wiki mbili tu harafu wanajeshi wakimbie!
 
Lengo kuu la Magharibi hususan Baba yao Marekani ilikua Assad aondoke na sijui aliwakosea Nini.

Tangu kipindi Cha Obama, Marekani walishasema Assad ataondoka sema imechukua muda na Nguvu nyingi ayo kutokea, Ao waasi ni ufadhili wa Magharibi na ni ufadhiri wa fedha na rasilimali nyingi za walipa Kodi wao.

Wao awajali nani atakaye fuata ili mradi afuate Matakwa Yao ata akiwa mtu muovu kiasi Gani wao hawana shida mradi waliye mkataa asiwepo ana ondoka.

Ni kama walivyo Fanya Libya, maana Libya imezalisha magaidi wa kutosha ila wao hawajali mradi mpango wao ilikua Gaddafi aondoke mengine yatafuata.
Wazungu ni watu hatari sana hasa kwenye uovu, watapanga na kusubiri kwa muda mrefu mpaka wafanikiwe.

Angalia wanavyo Fanya kwenye Mpira, wame utangaza Sana Ushoga mpaka baadhi ya mawazili wa kuu wa kiume wa baadhi ya Nchi wameolewa.
Wameona haitoshi wameamua wautangaze kupitia mchezo maarufu wa Soka.
kwasasa ni lazima Captain wa timu avae kitambaa Cha unahodha chenye rangi za upinde zinazo unga mkono mapenzi ya jinsia Moja na ilo ata uku kwetu linaweza fika ni swala la muda tu.

Yaani Wana unajisi mchezo unao pendwa zaidi Duniani mojakwamoja bila woga.
Golani alikamatwa na wao Marekani wakamfunga jela miaka 6 na walipomtoa wakampa masharti kwamba aunde kundi (tawi la Al qaeda nchini Syria) la kumshughulikia Assad ndo akaunda Al- Nusra Front.

Na huyu kafanya kazi na Abu Bakri la Baghdad ambae alikuwa ni mkuu wa ISIS nchini Iraq.

Baadae Baghdad akasema ajiengua Al-qaeda na kuingia Syria ambapo alitaka kuimeza Al Nusra Front lakini Golani akakataa wazo hilo na Baghdad aka... mwaka 2019.

Kwa handlers Golani ndie alieonekana afaa kuliko Baghdad as simple as that.

Hivyo leo Golani akipewa heshima zote wala haishangazi.
 
Magharibi imepambana Sana kumuondoa Assad sema Iran na Russia zilijitahidi ilo lisi tokee.

Sasa Russia Kibarua chake kimekua kigumu, Iran kupitia Hezbollah wame ondoka Syria wako Lebanon kwaiyo Assad alikua uchi kwenye ulinzi.

Ndio maana inaonekana kama imekua kazi rahisi kwa waasi kuingia Damascus kuliko ilivyo tarajiwa lakini Mabeberu wa Magharibi wakianza mpango uo Tangu kipindi Cha Obama kilicho tokea wamekisubiri kwa miaka mingi katika uwanja wa vita.
Wanajeshi wa Assad wajinga tu bora ata na hamas walitoa upinzan
 
Mapigano ndani ya Damascus kwa sasa!!!

Rebel forces have declared Syria "free", saying the "tyrant" President Bashar al-Assad has left.

It is the end of a dark era and the beginning of a new one, HTS says on Telegram.

People who were displaced or were imprisoned by the Assad regime's half-century reign can now come home, the rebels say.

It will be a "new Syria" where "everyone lives in peace and justice prevails", HTS says

BBC
Bado kiduku ni swala muda tu
 
Monarch ipo kikatiba sio ya kujitungia. Kwa mfano Swaziland ni monarch kikatiba. Ila Syria sio Monarch kikatiba. Ni kama Tanzania Leo, atoke Nyerere urais halafu Makongoro awe Rais mpaka Leo huwezi kusema hiyo ni Monarch.
Hayo yote yanawezekana ukiwa puppert na western mkuu, huwa hawaangalii katiba ya nchi yako ukilinda maslahi yao, Hivi unaweza kuniambia kati ya Iran na Saudi Arabia nchi ipi ni katili sana kwa raia zake!?
 
Lengo kuu la Magharibi hususan Baba yao Marekani ilikua Assad aondoke na sijui aliwakosea Nini.

Tangu kipindi Cha Obama, Marekani walishasema Assad ataondoka sema imechukua muda na Nguvu nyingi ayo kutokea, Ao waasi ni ufadhili wa Magharibi na ni ufadhiri wa fedha na rasilimali nyingi za walipa Kodi wao.

Wao awajali nani atakaye fuata ili mradi afuate Matakwa Yao ata akiwa mtu muovu kiasi Gani wao hawana shida mradi waliye mkataa asiwepo ana ondoka.

Ni kama walivyo Fanya Libya, maana Libya imezalisha magaidi wa kutosha ila wao hawajali mradi mpango wao ilikua Gaddafi aondoke mengine yatafuata.
Wazungu ni watu hatari sana hasa kwenye uovu, watapanga na kusubiri kwa muda mrefu mpaka wafanikiwe.

Angalia wanavyo Fanya kwenye Mpira, wame utangaza Sana Ushoga mpaka baadhi ya mawazili wa kuu wa kiume wa baadhi ya Nchi wameolewa.
Wameona haitoshi wameamua wautangaze kupitia mchezo maarufu wa Soka.
kwasasa ni lazima Captain wa timu avae kitambaa Cha unahodha chenye rangi za upinde zinazo unga mkono mapenzi ya jinsia Moja na ilo ata uku kwetu linaweza fika ni swala la muda tu.

Yaani Wana unajisi mchezo unao pendwa zaidi Duniani mojakwamoja bila woga

Usikimbilie kupeleka lawama magharibi huu ndo udhaifu wenu,Asad alichokwa na raia wa Syria hakuna mmagharibi aliyemwaga damu hapo ktl mapinduzi haya Bali ni raia wa Syria kwa mustakabali wa taifa lao
 
Ndugu zangu wasuni na washia tuache kupigania

Mtume wetu akitusia adui yetu Ni mayahud na makafiri

Tuwaangamize Hawa ili mola wetu akatuzawadie katika zile bikra tamu alizotuahidia 😋
Mayahudi wana mkono kwenye haya machafuko. Labda Syria nayo inakwenda kuwa kama Lybia ilivyo sasa.
 
AMEENDA WAPI RAFIKI YAKE KIPENZI RUSSIA......AMEENDA WAPI RAFIKI YAKE KIPENZI IRAN....
Kama wanajeshi wako wameshindwa kutetea nchi Urusi na Iran wangesaidia vipi kumtetea!? Jifunze ukraine wanavyokufa wananchi wao itafika mahali ukraine wanaume itakuwa bidhaa adimu, wanajeshi wa Syria ndio wameuza nchi yao kwa ISIS....
 
Rusia si mshirika wa kuaminika
Kwa aina ya wanajeshi wa Syria walivyo kuwa wanapigana hata ungekuwa ww ungetema bungo.

Urusi, Iran na Hizbullah wametumia mabilion ya$ wamemwaga damu za wanajeshi wao wakakusaidia kukomboa ardhi kubwa alafu leo hii unakuja kuipoteza kizembe kabisa,hakuna wa kuvumilia hili aisee.

Hata Marekani alisha wahi kuikimbia na kuiteketeza serikali ya Afghanistan ikangukia mikononi mwa Talbani,pia walisha ikimbia serikali ya Vietnam kaskazini mwisho ikatekwa na wakomonisti, sasa hivi wanataka kuikimbia Ukraine kwa mgongo wa ya Trump.
 
Wapiganaji wa Kiislamu wameingia Damascus ambapo hawakumbana na kipingamizi chochote. Askari wote wa Serikali wameshatoroka zamani.
Rebels wanasema wamemtafuta Rais Assad kila pahali Damascus lakini hayupo.
Meanwhile,Mufti anawaambia rebels wasishambulie watu wa dini tofauti na wao.
Haya ni mapigano ya siku baada ya mapigano kuduaa kwa miaka minne.
Kama hapa Tanzania ambapo watu wote tumepoteana katikaatukio ya wiki mbili zilizopita.
Hii habari kama haijathibitishwa na FaizaFoxy au THE BIG SHOW au Webabu au Ritz au Koshugi sitaiamini hata kama imetolewa na Al Jazeera! Ahahahahaha!!!
 
Haya makundi yanayokuwa yameorodheshwa kama ya kigaidi mbona yana nguvu sana!!

Ina maana majeshi ya nchi husika huwa yako wapi kiasi nchi kuanguka!!

Nilianza kushangaa wakati Taliban anachukua nchi ndani ya mda mfupi!

Ina maana majeshi unakuta na wenyewe wamechoka na tawala zao ama!
 
Back
Top Bottom