Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhali. Warioba alishajiona kama naye ni rais.
Kwani kikwete alikuwa ni mjumbe?Mbona hiyo picha Kikwete hayumo?
Usirudie tena kuniquote. Sitaki mazoea na wewe.Kwani kikwete alikuwa ni mjumbe?
KIkwete kakosa nidhamu kwa wazee wake Jaji Warioba na Makamu wake watu wazima na waliotumikia serikali kwa muda sana angeagana nao kama alivyowakaribisha IKULU hakuna sababu ya kudharau watu waliowakilisha mawazo ya wananchi hii ni mbaya sana
Kwenye gazeti la jana la Raia Mwema,bado jaji Warioba analalamika kuwa "Ikulu imetutupia virago" na magari walinyaganywa mchana wakarudi nyumbani kwa miguu.
True !Kikwete alikuwa na ajenda ya siri kuichakachua rasimu ya Warioba.
True !