Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
wa awamu ya ngapi ?Samia Suluhu Hassan ni Rais halali wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Sasa sijui wewe unaiongelea katiba ipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wa awamu ya ngapi ?Samia Suluhu Hassan ni Rais halali wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Sasa sijui wewe unaiongelea katiba ipi
Hiyo Habari au neno awamu linatajwa wapi kwenye katiba ipi au Sheria ipi au kanuni ipi. Nani kamuambieni kuwa Kuna ulazima wa kusema Habari awamu mpaka mpigie watu kelele hizi za awamu. Rais halali wa nchi hazuiwi hata akiamua asijiite awamu. Mwendawazimu aliyeanzisha mambo ya awamu ndie anayewasumbua. Kwa Sasa mama ndie rais wa jmt na TAL anapumua. Kubalini tu hilowa awamu ya ngapi ?
Hiyo Habari au neno awamu linatajwa wapi kwenye katiba ipi au Sheria ipi au kanuni ipi. Nani kamuambieni kuwa Kuna ulazima wa kusema Habari awamu mpaka mpigie watu kelele hizi za awamu. Rais halali wa nchi hazuiwi hata akiamua asijiite awamu. Mwendawazimu aliyeanzisha mambo ya awamu ndie anayewasumbua. Kwa Sasa mama ndie rais wa jmt na TAL anapumua. Kubalini tu hiloKwanini huyo mama analazimisha kuwa ni Rais wa awamu ya sita ilhali haupo uchaguzi uliofanyika tofauti na yeye kuwa Rais wa katiba?
Kwa nini analazimisha awe Rais wa awamu ya sita?
Kuna nini nyuma ya lazimisho hilo?!
Haya mambo yalishajadiliwa sana humuNaelewa na ndiyo maana Utawala wao ukaitwa awamu ya tano sasa ajabu kwa nini yeye anajitaa ni Rais wa awamu ya sita?!
Kwanini huyo mama analazimisha kuwa ni Rais wa awamu ya sita ilhali haupo uchaguzi uliofanyika tofauti na yeye kuwa Rais wa katiba?
Kwa nini analazimisha awe Rais wa awamu ya sita?
Kuna nini nyuma ya lazimisho hilo?!
Nilipost bandiko linalofanana na hili lakini watu hawakuelewaKwanini huyo mama analazimisha kuwa ni Rais wa awamu ya sita ilhali haupo uchaguzi uliofanyika tofauti na yeye kuwa Rais wa katiba?
Kwa nini analazimisha awe Rais wa awamu ya sita?
Kuna nini nyuma ya lazimisho hilo?!
Sawa jpm alikuwa wa awamu5 na huyu akiwepo,sasa huyu utamwitaje wa awamu ya 6?kama ulikuwa unamtambua jpm, basi na huyu mama alichaguliwa, hata kama wewe haukumchagua. kwenye picha ya jpm alikuwa anapigiwa pia huyu. au huelewi hilo?
Anaongele awamu,hapingi kuwa siyo Rais.Samia Suluhu Hassan ni Rais halali wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Sasa sijui wewe unaiongelea katiba ipi
Kiasi cha gairoSamia ndo Rais wa Awamu ya 6 na yupo Madarakani hadi 2030 utake usitake
Umenena vema sisi wajinga,tunaeza badirika.wewe ni mpumbavu ndiyo maana hata ukielimishwa huelewi na huroelewaHuu ujinga tumepigana nao Sana lkn bado unaendelea kutamalaki.
Naandika tena kwa faida ya wajinga wengine.
Awamu ni kichwa Cha rais na legacy yake. Awamu siyo vipindi vya urais Kama ilivyobainishwa na katiba.
Ndiyo maana Zanzibar iko awamu ya 8.
Wajinga wote mmeelewa Sasa??
Urais habadirishi jinsia ya mtu.Acha kusema "huyo mama" unamkosea adabu bibie.. muheshimu aise, ndiyo rais wako ujuwe.
Basi tumwite babaMuite "Mheshimiwa" au "mama samia" na siyo "huyo mama"
Ni Rais wa6 siyo awamu ya 6Raisi mpya anapoingia madarakani kisheria inakuwa ni awamu mpya .! Bila kujali kaingiaje na ana ruksa ya kuingia na sera zake mwenyewe bila kufuata za mtangulizi wake, sio Tanzania tu hii ni sheria ya kikatiba ya nchi nyingi tu duniani.
Na ndio sababu awamu ya sasa inaitwa awamu ya 6 kwa sababu Samia ni raisi wa 6 kushika madaraka ya Tanzania.
je aliapishwa au hakuapishwaKwanini huyo mama analazimisha kuwa ni Rais wa awamu ya sita ilhali haupo uchaguzi uliofanyika tofauti na yeye kuwa Rais wa katiba?
Kwa nini analazimisha awe Rais wa awamu ya sita?
Kuna nini nyuma ya lazimisho hilo?!
Lakini JPM na SSH wote walichaguliwa kweli na sisi wananchi ili wamalizie au watuongoze kipindi Cha pili Cha awamu ya Tano. Sasa awamu ya Sita umetoka wapi? Hebu tuelimishane kidogokama ulikuwa unamtambua jpm, basi na huyu mama alichaguliwa, hata kama wewe haukumchagua. kwenye picha ya jpm alikuwa anapigiwa pia huyu. au huelewi hilo?
Hii ni kwa mujibu wa kifungu kipi Cha katiba mkuu, hebu type elimu na sisi ili tuwe kwenye ufahamu mmojaje aliapishwa au hakuapishwa
ukiapishwa kuwa raisimaana yakehuoniutawala mpya na awamumpya, angeendelea kuongoza bila kuapishwa ingeendelea awamuileile