Muonekano wa Daraja la muda linalotumika kupitisha vifaa kwa ajili ya ujenzi sambamba na ujenzi wa nguzo za Daraja la mto Pangani ukiendelea Wilayani mkoani Tanga, tarehe 26 Februari, 2025.
Mtendaji Mkuu wa TANROADS, Mha. Mohamed Besta akizungumza na viongozi mbalimbali katika sherehe ya Uwekeji wa Jiwe la Msingi katika barabara ya Mkange - Pangani - Tanga ( km 170 .8) pamoja na Daraja la Mto Pangani (m 525).l wilayani Pangani tarehe 26 Februari, 2025.
Njia fupi kabisa kulifikia bwawa la Nyerere na Hifadhi ya Nyerere ni kupitia Kisarawe lakini karibu miaka 30 barabara hiyo ujenzi wake haujafika hata kilometa 30 kutoka Pugu Kajiungeni ambapo kuna mpaka wa Ilala na Kisarawe.
Huu ni ubaguzi wa waziwazi kwa watu Kisarawe kwa sababu hakuna barabara nyingine yoyote yenye lami wilaya nzima zaidi ya hiyo.