Pre GE2025 Rais aweka jiwe la msingi ujenzi wa daraja la Mto Pangani la Bilioni 107, Urefu wa Mita 525

Pre GE2025 Rais aweka jiwe la msingi ujenzi wa daraja la Mto Pangani la Bilioni 107, Urefu wa Mita 525

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Njia fupi kabisa kulifikia bwawa la Nyerere na Hifadhi ya Nyerere ni kupitia Kisarawe lakini karibu miaka 30 barabara hiyo ujenzi wake haujafika hata kilometa 30 kutoka Pugu Kajiungeni ambapo kuna mpaka wa Ilala na Kisarawe.
Huu ni ubaguzi wa waziwazi kwa watu Kisarawe kwa sababu hakuna barabara nyingine yoyote yenye lami wilaya nzima zaidi ya hiyo.
Kisarawe imetengwa sana kuanzia utawala wa kwanza, wa pili hadi huu wa 6.

Miaka ya nyuma ilikuwa ukitoka Pugu Kajiungeni kwenda Kisarawe kama kilomita moja hivi unakutana na kona ya Kinyanyiko, ilitesa sana kipindi cha masika kabla lami haijawekwa.

Lami yenyewe imesuasua na ni kilomita chache sana, ndio maaana Kisarawe haistawi kabisa.

Umenikumbusha life la Minaki high school enzi ya Mjale mkuu wa shule, Jafo akiwa waziri wa Chakula😂
 
Daraja la Magufuri busisi kilometer 3 ujenzi wake ni bilion 99 halafu hili daraja la pangan urefu wake Miter 500 gharama yake bilion 107

Endeleen kutupiga
Siyo kweli kwamba gharama za daraja la busisi ni billion 99.

December 7th, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 07 Desemba, 2019 ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa daraja la Kigongo – Busisi lenye urefu wa kilometa 3.2 na upana wa mita 28.45 litakalounganisha mawasiliano ya barabara kati ya Mikoa ya Mwanza na Geita kukatisha Ziwa Victoria.

Sherehe za uwekaji jiwe la msingi zimefanyika katika eneo la Kigongo, Wilaya ya Misungwi Mkoani Mwanza na kuhudhuriwa na wananchi na viongozi mbalimbali wakiwemo Spika wa Bunge Mhe. Job Yustino Ndugai, Mawaziri na Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu, viongozi wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama, Wakuu wa Mikoa ya Mwanza, Geita na Kagera, Wabunge, viongozi wa taasisi mbalimbali, viongozi wa Dini na viongozi wa vyama vya siasa.

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale amesema ujenzi wa daraja hilo pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa kilometa 1.66 umepangwa kukamilika mwezi Julai 2023 kwa gharama ya jumla ya shilingi Bilioni 699, fedha zote zinatolewa na Serikali ya Tanzania.
 
Siyo kweli kwamba gharama za daraja la busisi ni billion 99.

December 7th, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 07 Desemba, 2019 ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa daraja la Kigongo – Busisi lenye urefu wa kilometa 3.2 na upana wa mita 28.45 litakalounganisha mawasiliano ya barabara kati ya Mikoa ya Mwanza na Geita kukatisha Ziwa Victoria.

Sherehe za uwekaji jiwe la msingi zimefanyika katika eneo la Kigongo, Wilaya ya Misungwi Mkoani Mwanza na kuhudhuriwa na wananchi na viongozi mbalimbali wakiwemo Spika wa Bunge Mhe. Job Yustino Ndugai, Mawaziri na Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu, viongozi wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama, Wakuu wa Mikoa ya Mwanza, Geita na Kagera, Wabunge, viongozi wa taasisi mbalimbali, viongozi wa Dini na viongozi wa vyama vya siasa.

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale amesema ujenzi wa daraja hilo pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa kilometa 1.66 umepangwa kukamilika mwezi Julai 2023 kwa gharama ya jumla ya shilingi Bilioni 699, fedha zote zinatolewa na Serikali ya Tanzania.
Beira Boy utarudi kweli mkuu?.
 
Siyo kweli kwamba gharama za daraja la busisi ni billion 99.

December 7th, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 07 Desemba, 2019 ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa daraja la Kigongo – Busisi lenye urefu wa kilometa 3.2 na upana wa mita 28.45 litakalounganisha mawasiliano ya barabara kati ya Mikoa ya Mwanza na Geita kukatisha Ziwa Victoria.

Sherehe za uwekaji jiwe la msingi zimefanyika katika eneo la Kigongo, Wilaya ya Misungwi Mkoani Mwanza na kuhudhuriwa na wananchi na viongozi mbalimbali wakiwemo Spika wa Bunge Mhe. Job Yustino Ndugai, Mawaziri na Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu, viongozi wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama, Wakuu wa Mikoa ya Mwanza, Geita na Kagera, Wabunge, viongozi wa taasisi mbalimbali, viongozi wa Dini na viongozi wa vyama vya siasa.

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale amesema ujenzi wa daraja hilo pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa kilometa 1.66 umepangwa kukamilika mwezi Julai 2023 kwa gharama ya jumla ya shilingi Bilioni 699, fedha zote zinatolewa na Serikali ya Tanzania.
Afadhali umemuumbua huyo mnafiki na hater asiyemithilika. Kuna watu wanaopata tabu sana awamu hii........wanatakani mambo yasiende lkn wapi, ndo kwanza yanasonga.

Isitoshe, watu wanajitoa ufahamu sana, kipindi kilichopita kilikumbwa na upigaji sana kwenye suala la gharama za ujenzi Ili kuwakamata kirahisi malofa. Hv si ni kipindi hicho ghorofa ilijengwa kwa milioni 50 sijui 500 hapo Dar......hili linawezekana vp?!!!!!
 
Back
Top Bottom