Rais Biden amsihi sana Netanyau asishambulie vinu vya nyuklia vya iran

Rais Biden amsihi sana Netanyau asishambulie vinu vya nyuklia vya iran

Wenye akili wanaingalia dunia na matokeo yatakuwaje usifikili wanakaa vikao vya alikasusu
Haya hufanyika kwa Iran tu enhe? Ingekuwa Misri ama Syria ndiye ameishambulia Israel unadhani hivi vikao vingekaliwa enhe?

Acha kuwa kondoo fungua ubongo wako ufikiri mwenyewe usishikiwe akili kila kitu kipo wazi dunia ya leo.
 
Mbona hili lipo wazi kabisa ni maelekezo kutoka Marekani nini Israel afanye. Intelligence yenyewe wakati Iran anamshambulia Israel mara zote ni Marekani ndiyo anamshtua Israel kwamba atashambuliwa muda fulani
Hivi wamarekani halisi ni watu gani hasa?maana yake inaonekana Marekani ni nchi ilioshehene watu kutoka mataifa mbalimbali ni taifa ambalo halina mwenyewe kihalisia.

Kwa hiyo unaweza ukasema kuwa Marekani inaisaidia Israel kumbe ni waisrael walewale wanasaidiana kwa kuzuga kuwa ni wamarekani,kwa sababu pia inasemekana kuwa watalamu wengi wa mambo ya kitekinolojia duniani ni waisrael.
 
Haya hufanyika kwa Iran tu enhe? Ingekuwa Misri ama Syria ndiye ameishambulia Israel unadhani hivi vikao vingekaliwa enhe?

Acha kuwa kondoo fungua ubongo wako ufikiri mwenyewe usishikiwe akili kila kitu kipo wazi dunia ya leo.
Wewe ndiyo ufungue akili unayejua vita ni kama porojo za kijiwe Cha kahawa. Vita ni akili kubwa.siyo Iran anarusha vimondo bila akili
 
unyakuo wa watakatifu wa duniani kwenda mbinguni( rapture of the world)utatokea kabla ya hizo silaha nzito za nyuklia za siri za iran kutumika(iran ina silaha nzito sana za nyuklia ambazo zikitumika ni kama zitaangamiza watu wengi sana.Kwa ufunuo wa kiroho Yesu amewafunulia baadhi ya watu na amewaonyesha kupitia ulimwengu wa roho hizo silaha za siri za nyulkia za iran na hatari zaidi ila kwa kuwq yule azuiaye zisitumike neema yake bado ipo neema ya Yesu kristo ,amesema hataruhusu zitumike ikiwa watakatifu bado angali duniani ili wasipatwe na hayo madhara.Ni baada ya Yesu kuwanyakua watakatifu wake ndiponzitatumika.HITIMISHO unyakuo umekaribia sana kwa wale waamini wasafiri wenzangu tunaosafiri kwenda mbinguni safari imeiva,tusafishe mavazi yetu yawe meupe ,tujisafishe,tuwe tayari kwa safari ya kwenda mbinguni.maana baada ya unyakuo watakao achwa duniani itaingia katika DHIKI KUU.Mungu atusaidie watu wa Mungu hayo mabaya yasitupate.
 
Wahajemi ni watata na Wavumilivu sana tofauti na waarabu wengi huko wao wamevumilia uchokozi wote wa Israel sasa hivi wapo tayari kwa vita.
Jifunze kutofautisha kati ya A na H usiseme ni typing error maana ndo utetezi wenu,hapo sio wahajemi ni waajemi
 
Iran akitumia hizo nyukilia na Israel akazitumia , huoni kama Utani inaweza kufutwa? Ukiona Biden anasema hivi kwamba amemuomba Netanyahu asipige vinu vya Nyuklia vya Iran tena publically ujue amekubali na tena ametoa ndege na makombora na ulinzi, na ukiona Israel inachelewa ujue inafanya mipango , kukagua na kuweka tayari silaha za nyuklia endapo Iran itatumia silaha hizo.
Israel ifanye vyote na sio kuthubutu kushambulia vinu vya nyukilia vya Iran,akifanya hivyo atakabiliwa na kisasi ambacho dunia haijawahi kushuhudia.
 
unyakuo wa watakatifu wa duniani kwenda mbinguni( rapture of the world)utatokea kabla ya hizo silaha nzito za nyuklia za siri za iran kutumika(iran ina silaha nzito sana za nyuklia ambazo zikitumika ni kama zitaangamiza watu wengi sana.Kwa ufunuo wa kiroho Yesu amewafunulia baadhi ya watu na amewaonyesha kupitia ulimwengu wa roho hizo silaha za siri za nyulkia za iran na hatari zaidi ila kwa kuwq yule azuiaye zisitumike neema yake bado ipo neema ya Yesu kristo ,amesema hataruhusu zitumike ikiwa watakatifu bado angali duniani ili wasipatwe na hayo madhara.Ni baada ya Yesu kuwanyakua watakatifu wake ndiponzitatumika.HITIMISHO unyakuo umekaribia sana kwa wale waamini wasafiri wenzangu tunaosafiri kwenda mbinguni safari imeiva,tusafishe mavazi yetu yawe meupe ,tujisafishe,tuwe tayari kwa safari ya kwenda mbinguni.maana baada ya unyakuo watakao achwa duniani itaingia katika DHIKI KUU.Mungu atusaidie watu wa Mungu hayo mabaya yasitupate.
Umeandika nini mkuu? 😂😂😂
 
Maana yake ni kwamba military bases na viwanda vya silaha vimewekwa kwenye target. Hivyo vinu vya nyuklia vitapigwa tu pia.

Do not trust western hata nukta moja
Akipiga na vya kwake vita pigwa pia.
 
Maneno yamekuwa meengi ,yeye arudishe vyuma tu Tehran.Mbona Syria,Lebanon na Palestina huwa hasubiri ruhusa wala vikao vya bwana Jo.Sijakuzoea hivi Myahudi .
 
G7 wote wamekaa kikao kuisaidia Israel kilipa kisasi wakati mwanaume mmoja tu Iran ameshusha vyuma direct bila kikao na taifa lolote.

Bado utasikia makondoo ya bwana yanasema Iran hana nguvu yoyote.

Unadhani Israel ingeshambuliwa na Syria ungeona vikao vya namna hii? Tukubaliane Iran ni tishio sio kwa mashariki ya kati pekee bali EU yote.
G7 wamekaa kikao kuiomba Israel imkanye Iran, isipige kuua. Elewa mantiki yani ni kikao cha kuibembeleza Israel.

G7 haiwezi kaa kikao kujadili kuiomba Iran ishambulie kwa kiasi.
 
Iran akitumia hizo nyukilia na Israel akazitumia , huoni kama Utani inaweza kufutwa? Ukiona Biden anasema hivi kwamba amemuomba Netanyahu asipige vinu vya Nyuklia vya Iran tena publically ujue amekubali na tena ametoa ndege na makombora na ulinzi, na ukiona Israel inachelewa ujue inafanya mipango , kukagua na kuweka tayari silaha za nyuklia endapo Iran itatumia silaha hizo.
Wakati Iran na washirika wake wamelala???
 
Tunaposema Iran ni tishio iwe inaeleweka hivyo maana mmejionea wenyewe ili Israel alipe kisasi imehitaji kikao cha mataifa saba kukubaliana.

Halafu kuna kunguni inasema Israel ana nguvu wakati maamuzi hawezi kufanya mwenyewe hadi bwana zake wakae vikao kuijadili Iran na athari zitakazojitokeza baada ya kisasi.
Mental case.
 
G7 wote wamekaa kikao kuisaidia Israel kilipa kisasi wakati mwanaume mmoja tu Iran ameshusha vyuma direct bila kikao na taifa lolote.

Bado utasikia makondoo ya bwana yanasema Iran hana nguvu yoyote.

Unadhani Israel ingeshambuliwa na Syria ungeona vikao vya namna hii? Tukubaliane Iran ni tishio sio kwa mashariki ya kati pekee bali EU yote.
Mental case.
 
Iran akitumia hizo nyukilia na Israel akazitumia , huoni kama Utani inaweza kufutwa? Ukiona Biden anasema hivi kwamba amemuomba Netanyahu asipige vinu vya Nyuklia vya Iran tena publically ujue amekubali na tena ametoa ndege na makombora na ulinzi, na ukiona Israel inachelewa ujue inafanya mipango , kukagua na kuweka tayari silaha za nyuklia endapo Iran itatumia silaha hizo.
Iran Hana SILAHA za Nyukilia....ana vinu vya Nyukilia.

Israel anazo .

Israel anaona hii ndo nafasi ya kulipua vinu vya Nyukilia kupitia mgongo wa kulipiza.


Iran vinu vyake vya Nyukilia kavitawanya tawanya maeneo mbalimbali.

Shambulio lolote la Israel dhidi ya Vinu vya Nyukilia vya Iran, maana yake ni kuwaruhusu wairan washambulie Kinu pekee Cha Nyukilia Cha Waisrael DAMONA ambacho Israel inakitumia kuzalisha SILAHA na pia itawapa Wairan nafasi ya kujaribu kushambulia Vituo Siri vya kuhifadhia hizo Nyukilia.


Mafanikio ya Juzi ya Wairan, ni matokeo ya Teknolojia ya kivita ya Warusi , Warusi wamechoka .


Jana Kwa mara ya kwanza, Wasirael wameishambulia Lebanon Kwa kutumia DRONES na MELI VITA...

Maana yake nini?? KUNA UWEZEKANO MKUBWA SANA KUA, MAKOMBORABYA WAIRAN YAMEHARIBU NDEGE VITA ZA WAISRAEL.
 
Mimi nashangazwa sana huku kupeana taarifa kuwa ntashambulia. Bibi Netanyau anapigana kama mwenda wazimu wakati wenzake wanapiga kwa kupeana taarifa. Netanyau ajifunze kuwa superpower unahitaji uwajibikaji.
 
Utazani ana huo uwezo 😅😅muajemi sio mtu
 

Attachments

  • GY1mSHlXEAASSjn.jpeg
    GY1mSHlXEAASSjn.jpeg
    27.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom