Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Naku baliana mkuu hiyo Ina maanisha twanga sio usitwangeIran akitumia hizo nyukilia na Israel akazitumia , huoni kama Utani inaweza kufutwa? Ukiona Biden anasema hivi kwamba amemuomba Netanyahu asipige vinu vya Nyuklia vya Iran tena publically ujue amekubali na tena ametoa ndege na makombora na ulinzi, na ukiona Israel inachelewa ujue inafanya mipango , kukagua na kuweka tayari silaha za nyuklia endapo Iran itatumia silaha hizo.
Kama CCM wanavowategemea polisi kwenye mambo yao🤣🤣Israel akiendelea kumtegemea marekani kwenye mambo yake atafeli pakubwa sana
How?????Ugaidi utaongezeka dunian kote akifanya hivo
Madaktari wako kwenye kikao kwa ajili ya mama mjamzito ambaye mimba yake iko complicated..sasa hapo unadhan tishio hilo lina madhara kwa nani, mgonjwa au matabibu? Myahudi mdio tiba ya ugaidi, so before the theatre, it is wise to discuss the surgical proceduresTunaposema Iran ni tishio iwe inaeleweka hivyo maana mmejionea wenyewe ili Israel alipe kisasi imehitaji kikao cha mataifa saba kukubaliana.
Halafu kuna kunguni inasema Israel ana nguvu wakati maamuzi hawezi kufanya mwenyewe hadi bwana zake wakae vikao kuijadili Iran na athari zitakazojitokeza baada ya kisasi.
😂😂 Hiyo surgical procedure kwa Iran tu siyo?Madaktari wako kwenye kikao kwa ajili ya mama mjamzito ambaye mimba yake iko complicated..sasa hapo unadhan tishio hilo lina madhara kwa nani, mgonjwa au matabibu? Myahudi mdio tiba ya ugaidi, so before the theatre, it is wise to discuss the surgical procedures
Si ndio baba la magaidi?😂😂 Hiyo surgical procedure kwa Iran tu siyo?
Kubali tu Iran ndiye mbabe wa mabeberu wote akiwamo Israel anayedekadeka kwa mabwana zake asaidiwe.
Asipo mtegemea nani atampa silaha ambazo zina mfanya kuwa na kiburi hapo mashariki ya kati?Israel akiendelea kumtegemea marekani kwenye mambo yake atafeli pakubwa sana
Ifike mahali watengeneze za kwao wenyewe hii vita ikiisha watajifunza vitu vingi sana ikiwemo hilo la silaha.Asipo mtegemea nani atampa silaha ambazo zina mfanya kuwa na kiburi hapo mashariki ya kati?
Hivi Israel akivishambulia vinu vya nyukilia vya Iran unategemea vyinu vya nyukilia vya Israel vitakuwa salama? Na unajua ni maelfu ya watu wangapi watakufa pande zote iwapo mionzi ya Nyukilia itakapo vuja maada ya mashambulizi hayo?
Baden hajasema maneno hayo kwa sababu anaionea huruma Iran bali kasema hivyo kuitatharisha Israel juu ya maafa yatakayo sababishwa na hatua hiyo.
Biden hajui ndoto ya netanyahu imetimia, ndoto ya netanyahu maisha yake yote ni kuanzisha vita ya USA na Iran sasa imeishatimia.Wadau hamjamboni nyote?
Rais Biden amuomba Netanyau asilipue kinu cha nyuklia Iran
Soma Pia: Naftali Bennett ataka kinu cha nyuklia na mfumo wa kuzalisha nishati Iran kulipuliwa
======
Biden urges against attack on Iran nuclear sites as Israel mulls payback
Remains of a ballistic missile lying in the desert, near Israel’s southern city of Arad on Wednesday following an attack from Iran.
US President Joe Biden on Wednesday said Israel should not strike Iranian nuclear sites in a retaliation for an Iranian missile attack the previous day, saying a response must be proportional.
Asked by reporters if the Jewish state should hit at the disputed nuclear program after Iran's greatest-ever attack on its soil, Biden said, "no".
An international consensus among world powers in the G7 group was that retaliation was warranted but should be limited, he added.
“All seven of us agree that they have a right to respond, but they have to respond proportionally
Yani wewe hata ujui unaongea nini ! Kuna tofsuti ya kutumia silaha za nyuklia na vinu vya nuclea ..kama Israel atapiga vinu vya iran basi irani naye atapiga vinu vya Israel...madhara kwa Israel yatakuwa makuba mara,1000 ya irani kwa sababu eneo la Israel ni dogo hivyo mionzi ya hatari ya vinu vyake kuathiri nchi karibu yoteya israel ...kumbuka ukubwa wa nchi ya iran ni mara mbili ya tanzania ni nchi kubwa sanaIran akitumia hizo nyukilia na Israel akazitumia , huoni kama Utani inaweza kufutwa? Ukiona Biden anasema hivi kwamba amemuomba Netanyahu asipige vinu vya Nyuklia vya Iran tena publically ujue amekubali na tena ametoa ndege na makombora na ulinzi, na ukiona Israel inachelewa ujue inafanya mipango , kukagua na kuweka tayari silaha za nyuklia endapo Iran itatumia silaha hizo.
Yaan jamaa wamesema akirudia tu kwa uharibifu ..wowote Iran itapeleka shock wave ya makombora kule televive..hii ndo kauli ambayo Netanyahu anaielewaTunaposema Iran ni tishio iwe inaeleweka hivyo maana mmejionea wenyewe ili Israel alipe kisasi imehitaji kikao cha mataifa saba kukubaliana.
Halafu kuna kunguni inasema Israel ana nguvu wakati maamuzi hawezi kufanya mwenyewe hadi bwana zake wakae vikao kuijadili Iran na athari zitakazojitokeza baada ya kisasi.
Israel hatothubutu kufanya hivyo anazijua vizuri akili za Waajemi watalipa kisasi immediately tena kikali kuwahi kushuhudiwa.
Yemen wsmetangaza vita na Israel jana.Akipiga na vya kwake vita pigwa pia.
Just like always, we all know how it will end.Tunaposema Iran ni tishio iwe inaeleweka hivyo maana mmejionea wenyewe ili Israel alipe kisasi imehitaji kikao cha mataifa saba kukubaliana.
Halafu kuna kunguni inasema Israel ana nguvu wakati maamuzi hawezi kufanya mwenyewe hadi bwana zake wakae vikao kuijadili Iran na athari zitakazojitokeza baada ya kisasi.
Hata kama wangekuwa wanajitegemea Israel kuvishambulia vinu vya nyukilia vya Iran ni kurisk, chuki yako dhidi ya waisilam isikutie upofu.Ifike mahali watengeneze za kwao wenyewe hii vita ikiisha watajifunza vitu vingi sana ikiwemo hilo la silaha.
Nasema mbwai mbwai ,wapigwe mpaka wachakee, mijitu daily anzisha vita , nipo na WayahudiIran sio Vatican,kua inalindwa na mgambo 🤣🤣
Yapigwe ma Iran mpaka yakomeWw unadhani watu wanafanya mambo kwa mihemko?
Baden hajasema hivyo kwa sababu ya kuionea huruma Iran bali anaonya matokeo ya mashambulizi hayo.
Gaidi no 1 Biden na no.2 ni netanyahuUgaidi utaongezeka dunian kote akifanya hivo