Yeye anasadikika halafu mwenzie anazo tiari za kutoshaAkithubutu kupiga ameharibu, Inasadikika Iran anazo tayari missiles capable of carrying nuclear ambapo hatasita kuzitumia kwa Israel.
Hizi zikifika katika anga la Israel hata zikitunguliwa bado zina impact mbaya katika ardhi ya mayahudi
Hivi Tz tuna hata makombora kweli!!? Au ni mwendo wa kuvunja tofali!?Hivi Iran tayari anazo hizo nuclear?
Apige tuapige tuone nini kitatokea
Pumbafu zetu na aibu zetu.Hivi Tz tuna hata makombora kweli!!? Au ni mwendo wa kuvunja tofali!?
tunataka tuone wakiheshimiana mwisho wa vitaApige tu
Maana yake ni kwamba military bases na viwanda vya silaha vimewekwa kwenye target. Hivyo vinu vya nyuklia vitapigwa tu pia.
Do not trust western hata nukta moja
Myahudi wa Buza unajua mipango ya kina NyetahIran akitumia hizo nyukilia na Israel akazitumia , huoni kama Utani inaweza kufutwa? Ukiona Biden anasema hivi kwamba amemuomba Netanyahu asipige vinu vya Nyuklia vya Iran tena publically ujue amekubali na tena ametoa ndege na makombora na ulinzi, na ukiona Israel inachelewa ujue inafanya mipango , kukagua na kuweka tayari silaha za nyuklia endapo Iran itatumia silaha hizo.
Wadau hamjamboni nyote?
Rais Biden amuomba Netanyau asilipue kinu cha nyuklia Iran
Soma Pia: Naftali Bennett ataka kinu cha nyuklia na mfumo wa kuzalisha nishati Iran kulipuliwa
======
Biden urges against attack on Iran nuclear sites as Israel mulls payback
Remains of a ballistic missile lying in the desert, near Israel’s southern city of Arad on Wednesday following an attack from Iran.
US President Joe Biden on Wednesday said Israel should not strike Iranian nuclear sites in a retaliation for an Iranian missile attack the previous day, saying a response must be proportional.
Asked by reporters if the Jewish state should hit at the disputed nuclear program after Iran's greatest-ever attack on its soil, Biden said, "no".
An international consensus among world powers in the G7 group was that retaliation was warranted but should be limited, he added.
“All seven of us agree that they have a right to respond, but they have to respond proportionally
meisha sema inasemekana na kiukweli iyo propaganda ya technology Israel imeupiga mwingi 😁 🤣 maana ndio hoja kuu ya waisrael wa mbagala chalambeHivi wamarekani halisi ni watu gani hasa?maana yake inaonekana Marekani ni nchi ilioshehene watu kutoka mataifa mbalimbali ni taifa ambalo halina mwenyewe kihalisia.
Kwa hiyo unaweza ukasema kuwa Marekani inaisaidia Israel kumbe ni waisrael walewale wanasaidiana kwa kuzuga kuwa ni wamarekani,kwa sababu pia inasemekana kuwa watalamu wengi wa mambo ya kitekinolojia duniani ni waisrael.
Israel hana chuki na waislam maana Kuna waisrael wengi tu ni waislam bali anachuki na wapumbavu sasa kama waislamu wamo kwenye kundi la wapumbavu hiyo unasema wewe.Hata kama wangekuwa wanajitegemea Israel kuvishambulia vinu vya nyukilia vya Iran ni kurisk, chuki yako dhidi ya waisilam isikutie upofu.
Tumia jicho la uchambuzi siyo mahaba, zipo sababu nyingi za kukaa kikao G7 mojawapo ni masirahi mapana ya kiuchumi, mataifa mengi ya magharibi yanategemea sana middle east. Hivyo kushambulia vinu vya nuclear ni kusababisha vurugu KUBWA the whole of middle east.Tunaposema Iran ni tishio iwe inaeleweka hivyo maana mmejionea wenyewe ili Israel alipe kisasi imehitaji kikao cha mataifa saba kukubaliana.
Halafu kuna kunguni inasema Israel ana nguvu wakati maamuzi hawezi kufanya mwenyewe hadi bwana zake wakae vikao kuijadili Iran na yanaathari zitakazojitokeza baada ya kisasi.
Mikwara tu, hawezi kuwa na hizo silaha.Hivi Iran tayari anazo hizo nuclear?
Umenyoosha ukweli bila ushabikiWatu wanashindwa kujua marekani, israel and Europe allies they are one and the same Marekan leo kesho anamtafutia ayatollah timing. Wanataka waweke puppet pale kama ilivyo iraq na Libya..
So chochote watakachokisema public ni kumislead.. israel na washirika wake wanapanga pa kupiga na kias gan wa inflict demage, Israel akipiga iran iran akirusha any nuclear warhead.. Europe nzima na marekan watamshukia rasmi kwa kigezo kuwa ame violate international rules kuwa nuclear itumike kwenye kuzalisha enery tu..
Yaan Iran anazid kujaa kwenye mfumo wao taratibu.. njia pekee ya kumuokoa akishakaa kwenye mfumo wao ni ikiwa Russia, na China, waingilie kati kijeshi kumuokoa.. kama Russia alivyofanya wa Syria.
Nje ya hapo hakuna taifa litasimama na Iran akishukiwa na Europe na US
Ww umeona umandika kitu cha maana sana au akili yako ndo imeishia hapoWatu wanashindwa kujua marekani, israel and Europe allies they are one and the same Marekan leo kesho anamtafutia ayatollah timing. Wanataka waweke puppet pale kama ilivyo iraq na Libya..
So chochote watakachokisema public ni kumislead.. israel na washirika wake wanapanga pa kupiga na kias gan wa inflict demage, Israel akipiga iran iran akirusha any nuclear warhead.. Europe nzima na marekan watamshukia rasmi kwa kigezo kuwa ame violate international rules kuwa nuclear itumike kwenye kuzalisha enery tu..
Yaan Iran anazid kujaa kwenye mfumo wao taratibu.. njia pekee ya kumuokoa akishakaa kwenye mfumo wao ni ikiwa Russia, na China, waingilie kati kijeshi kumuokoa.. kama Russia alivyofanya wa Syria.
Nje ya hapo hakuna taifa litasimama na Iran akishukiwa na Europe na US
Ametoa maelezo ya Iran.Unamaanisha nini kwamba mashambulizi yote yanayofanywa na Israel kwa Hama's, Hezbollah na maeneo mengine yanabaraka ya umoja wa mataifa isipokuwa Iran peke yake ndiowanaojiamlia wenyewe kushambulia popote wanapotaka bila kuwa na baraka za umoja wa mataifa?.