Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
It doesn't make any difference altogetherThat is an oxymoron.
And the correct form would be "a dead man walking", not "dead man walking".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It doesn't make any difference altogetherThat is an oxymoron.
And the correct form would be "a dead man walking", not "dead man walking".
You don't even have the sense to specify what doesn't.It doesn't make any difference altogether
Naona una utani na mwashamba🤣😀😀Kwa namna mama anaupiga mwingi, tutegemee rais mwanamke USA kabla ya uchaguzi 😎
Wewe una chuki, kisa dini. Kumbuka hiyo dini uneipata hapahapa duniani.Niwache chuki kwa huyo muuwaji wa kimbari?
Wacha ujinga.
IndeedGod is everything, Trump for Presidency 2024
🤣🤣🤒Mambo yanazidi kuwa matamu. Acha Trump arudi mzigoni tena this time atembelee shithole countries
Wewe una chuki, kisa dini. Kumbuka hiyo dini uneipata hapahapa duniani.
Sinasema waislamu wote nimekusema wewe FaizaFoxy, hata Magufuri hukumpenda Kisha mkristo. Hiyo chuki uliyoijifadhi moyoni juu ya ukristo itakuua na utawaacha wakristo na ukristo wao. Ukristo upo na uislamu upo kadharika uyaudi upo hakuna binadami wa kufuta dini hizo kwa kuwa zinatokana na Mungu mwenyewe. Utakufa wewe uache uache hizo dini.Hakuna Muislam mwenye chuki na mwengine kwa sababu yoyote isipokuwa awe anafanya mambo ya kifisadi wa aina yoyote ile.
Kumbuka hilo.
magufuli.Sinasema waislamu wote nimekusema wewe FaizaFoxy, hata Magufuri hukumpenda Kisha mkristo. Hiyo chuki uliyoijifadhi moyoni juu ya ukristo itakuua na utawaacha wakristo na ukristo wao. Ukristo upo na uislamu upo kadharika uyaudi upo hakuna binadami wa kufuta dini hizo kwa kuwa zinatokana na Mungu mwenyewe. Utakufa wewe uache uache hizo dini.
Mzee ajiondoe tu kwenye hizi mbio za Urais ampishe Kamala Harris.Rooting for Old Joe. Get well soon.
Nyinyi mmedanganywa na waarabumagufuli.
magufuli, mtu wa kwanza kumsifia hapa JF ilikuwa mimi, tena na uzi wake upo mpaka leo. Pitia page ya nyuzi zangu.
Si magufuli tu, yeyote yule, akifanya mazuri atasifiwa mazuri yake, akifanya madudu ataelezwa ukweli na atapondwa kwa madudu yake.
Hayo ya "hukumpenda kisa mkristo" ni ujinga wako tu uliojazwa ukakujaa. Tena wakaristo siyo tu nawapenda kwa kuwa ni wateja wazuri wa kuwafundisha Uislam ni nini, bali pia nawaonea huruma kwa kudanganywa na wazungu kwa ujinga waliojazwa nao ukawajaa.
Sasa kuna mtu akawachukia watu wa namna hiyo? Mnadanganyana tu.
Nyinyi mmedanganywa na waarabu
Kuna wauaji duniani kuwa zidi hao jamaa zenu wanaosemaga alah akbaruHauelewi kuwa biden ni muuwaji wa kimbari?
Sikushangai umejazwa ujinga, umekujaa vilivyo.Kuna wauaji duniani kuwa zidi hao jamaa zenu wanaosemaga alah akbaru
Hivi kwa nini anakomaa tu kwa umri ule jamani kuna watu duniani nimeamini wanapenda shida .Hela anazo umri ule ulikuwa wa kutulia nyumbani kutakii duniani huko .Kula maisha stress freeHuyu hawezi kuendelea tena, umri umemtupa mkono
Kwa dunia ya sasa hakuna jamii inayoongoza kuanzisha chochoko zinazoletelea vita kama waislamuHauelewi kuwa biden ni muuwaji wa kimbari?