#COVID19 Rais Biden apatwa na covid 19

#COVID19 Rais Biden apatwa na covid 19

Cha ajabu ni kwamba Joe alishapata chanjo na akapigwa booster kabisa sasa sijui hizi chanjo za covid zinafanyaje kazi
 
Wewe una chuki, kisa dini. Kumbuka hiyo dini uneipata hapahapa duniani.

Hakuna Muislam mwenye chuki na mwengine kwa sababu yoyote isipokuwa awe anafanya mambo ya kifisadi wa aina yoyote ile.

Kumbuka hilo.
 
Hakuna Muislam mwenye chuki na mwengine kwa sababu yoyote isipokuwa awe anafanya mambo ya kifisadi wa aina yoyote ile.

Kumbuka hilo.
Sinasema waislamu wote nimekusema wewe FaizaFoxy, hata Magufuri hukumpenda Kisha mkristo. Hiyo chuki uliyoijifadhi moyoni juu ya ukristo itakuua na utawaacha wakristo na ukristo wao. Ukristo upo na uislamu upo kadharika uyaudi upo hakuna binadami wa kufuta dini hizo kwa kuwa zinatokana na Mungu mwenyewe. Utakufa wewe uache uache hizo dini.
 
Sinasema waislamu wote nimekusema wewe FaizaFoxy, hata Magufuri hukumpenda Kisha mkristo. Hiyo chuki uliyoijifadhi moyoni juu ya ukristo itakuua na utawaacha wakristo na ukristo wao. Ukristo upo na uislamu upo kadharika uyaudi upo hakuna binadami wa kufuta dini hizo kwa kuwa zinatokana na Mungu mwenyewe. Utakufa wewe uache uache hizo dini.
magufuli.

magufuli, mtu wa kwanza kumsifia hapa JF ilikuwa mimi, tena na uzi wake upo mpaka leo. Pitia page ya nyuzi zangu.

Si magufuli tu, yeyote yule, akifanya mazuri atasifiwa mazuri yake, akifanya madudu ataelezwa ukweli na atapondwa kwa madudu yake.

Hayo ya "hukumpenda kisa mkristo" ni ujinga wako tu uliojazwa ukakujaa. Tena wakaristo siyo tu nawapenda kwa kuwa ni wateja wazuri wa kuwafundisha Uislam ni nini, bali pia nawaonea huruma kwa kudanganywa na wazungu kwa ujinga waliojazwa nao ukawajaa.

Sasa kuna mtu akawachukia watu wa namna hiyo? Mnadanganyana tu.
 
magufuli.

magufuli, mtu wa kwanza kumsifia hapa JF ilikuwa mimi, tena na uzi wake upo mpaka leo. Pitia page ya nyuzi zangu.

Si magufuli tu, yeyote yule, akifanya mazuri atasifiwa mazuri yake, akifanya madudu ataelezwa ukweli na atapondwa kwa madudu yake.

Hayo ya "hukumpenda kisa mkristo" ni ujinga wako tu uliojazwa ukakujaa. Tena wakaristo siyo tu nawapenda kwa kuwa ni wateja wazuri wa kuwafundisha Uislam ni nini, bali pia nawaonea huruma kwa kudanganywa na wazungu kwa ujinga waliojazwa nao ukawajaa.

Sasa kuna mtu akawachukia watu wa namna hiyo? Mnadanganyana tu.
Nyinyi mmedanganywa na waarabu
 
Huyu hawezi kuendelea tena, umri umemtupa mkono
Hivi kwa nini anakomaa tu kwa umri ule jamani kuna watu duniani nimeamini wanapenda shida .Hela anazo umri ule ulikuwa wa kutulia nyumbani kutakii duniani huko .Kula maisha stress free

Ingekuwa Afrika wangezomea hadi basi kama walivyozomea Mugabe kuwa kazeeka atoke
 
Hauelewi kuwa biden ni muuwaji wa kimbari?
Kwa dunia ya sasa hakuna jamii inayoongoza kuanzisha chochoko zinazoletelea vita kama waislamu

Vita nyingi zinazoendelea duniani asilimia kubwa ni chochoko za waislamu ndio waanzishaji.Uende msumbiji vita ipo waanzilishi wao,uende Sudan wao,uende Somalia wao,hata hii ya Israel ya Gaza wao ndio walilianzisha October 7,ukienda Yemen wao,Iraq wao,Lebanon wao,Iran walianzisha wao kupindua mfalme,Ya Afghanistan wao na Osama wao,kuangusha twin tower marekani wao,kushambulia ubalozi wa Tanzania na Kenya wao,magaidi ya kibiti ,mkuranga na Rufuji wao

Yaani waislamu ni kero kwa dunia
 
Back
Top Bottom