Rais Biden ashauriwa kutogombea uraisi wa Marekani, sababu analiaibisha na kulivua nguo taifa lake

Inamaana ww una akili kubwa kuliko wamarekani wenyewe?
 
Nani wamemshauri?
Hakuna aliemshauri.

Lengo nilikuwa nataka niandike ASHAURIWE lakn kwa bahati mbaya nikaandika ASHAURI, baadae nikagundua kosa langu, nikawaomba mods wanadili waandike ASHAURIWE kwa bahati mbaya na wao tena wakasahau wakaandika ASHAURIWA.

So maana nzima imebadilika na mimi nikaamua niache hivyo hivyo ilivyoandikwa na mods.

Soma comment yang namb 7 utaona.
 
Wazee tuyaache ya huko unyamwezini wenyewe wapambane nayo turudi kupambana na ya kwetu umakondeni.
 
Kajamaa.kaongonwewe
Kwa hiyo hii pia wanaifatilia et hahahahah
 
Kajamaa.kaongonwewe
Kwa hiyo hii pia wanaifatilia et hahahahah
Kwani unafikiri ni kwanini Marekani huwapa watu wa mataifa mbali mbali ikiwemo Tanzania uraia na kisha kuwatumia katika vitengo mbali mbali vya serikali?

Wewe unaweza kuandika kiswahili chako ukafikiri mzungu hatojua ulichoandika, lakin haujui kuwa kuna mtanzania mwenzako alieenda Marekani akapewa uraia wa huko na kupewa kazi katika kitengo fulan na huyo ndio atakaetafsiri ulichoandika kwa maboss zake wazungu, kisha hao wazungu wakiona kuwa ulichoandika kina hatarisha usalama wa taifa lao wataangalia njia ya kudhibiti. Lakin wakiona ni maneno ya kawaida watapotezea maisha yaendelee.
 
Shina la uovu wote duniani.
Marais wote wanaomuunga mkono bideni na serikali yake wapumzike.
Trump ni JPM wa Dunia.
Alisababisha nchi za Afrika na Asia zianze kujitambua kwa kujiletea maendeleo zenyeweg
 
Shina la uovu wote duniani.
Marais wote wanaomuunga mkono bideni na serikali yake wapumzike.
Trump ni JPM wa Dunia.
Alisababisha nchi za Afrika na Asia zianze kujitambua kwa kujiletea maendeleo zenyeweg
Naunga mkono ulichoandika mkuu πŸ‘
 
Vijana hawakuwepo wakati anagombea? Na umri wake mkubwa bado Wamarekani waliona ndiye Rais anayewafaa. Wamvumilie tu.
 
Vijana hawakuwepo wakati anagombea? Na umri wake mkubwa bado Wamarekani waliona ndiye Rais anayewafaa. Wamvumilie tu.
Umri hausimami. Wakati anagombea umri wake ulikuwa chini ya huu alionao today. Alaf kingine afya yake imezorota sana, ni tofauti ni miaka mi4 au mi5 alipokuwa makamu wa raisi.

Nina imani afya yake na matendo yake ya sasa yatatumiwa na Trump kutafutia kura. Na nina imani wengi watampa kwa sababu hizi mbili na nyingine ambazo hatukuzitaja hapa.

Kibabu wakikipa mi4 mingine, kuna siku watakikuta kimekaukia ndani ya ofisi.
 
Umewasikia Wamarekani wenyewe wakilalamika kuhusu umri wa Biden? By the way, Trump mdogo kiumri? Ahahahahaha!!!
 
Chombo gan cha habar kimeandika huu uhalo uliondika wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…