Rais Biden kukutana viongozi kutoka Angola, DR Congo, Tanzania na Zambia

Kwa hiyo reli hii ikikamolika tutegemee PK kudondoshwa ama????? Maana utegemezi wake kwa USA kupora madini ya CONGO DR utakuwa umekwisha.
 
Ziara za mabeberu Huwa zenye manufaa Kwa Nchi zao.Tofauti na viongozi wa afrika wao wakienda ubeberuni ni kuomba msaada lakini mabeberu yakija Huku ni uwekezaji tu
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…