Rais Biden ndiyo kalikoroga kabisa. Asema watakuwa pamoja na Israel kwa kila hali. Na Israel sio waliopiga hospitali ya Gaza

Anaitetea Israel mbele ya kadamnasi na wale aliotaraji wamelala katika kumuamini kwa kila anachosema.Unaonaje na wao wakisema wako pamoja na wapalestina mbele yake kama alivyokwishaanza Elsisi wa Misri.
kwan si mlishangilia walichofanya hamas , mnataka huruma ya watu ya nin?
 
Biden sio mnafiki alichoongea ndicho alichopanga kukizungumza hajaenda middle East kutuliza hasira za waarabu ana mission zake tofauti kabisa.

Hao waarabu waliosusa ndio watakuwa wakwanza kuomba msaada USA njaa itakapoingia.

Hilo Taifa hamna wa kuligusa hata kama haulipendi utalazimika tu kulipenda
 
Mataifa yenye akili tu, ndio huweza kusimama na watoto wa Yakobo. Misimamo ya U. S.A ipo clear siku zote na hilo dunia ililitazamia. Mungu ibariki Israel.
 
Hawa makobazi bado sana, waache walikoroge watatwangwa wote tena Iran na ka program kake ka nyuklia uchwara ndio wanamtamani haswa. Mungu ibariki Israel.
 
Maandamano yameongezeka nchi nyingi za kiislamu huku Marekani na Israel wakiwataka wananchi wao kujihadhari au kutokwenda baadhi ya nchi.
Makubwa zaidi yametokea Lebanon ,Jordan.Turkey na Iran
 
Mataifa yenye akili tu, ndio huweza kusimama na watoto wa Yakobo. Misimamo ya U. S.A ipo clear siku zote na hilo dunia ililitazamia. Mungu ibariki Israel.
Wajinga mbona mpo wengi?hao waisraeli ni wahuni tu wauaji na mashoga.ni taifa la kishetani.
 
Sasa ikiwa yy mwenyewe kaangamiza raia kibao Iraq,Libya,Afghanistan ndio ataumia kwa hao Wapalestina. Wamekutana hapo wote makatili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…