Rais Biden, Waziri wa Ulinzi na Waziri wa mambo ya nje wa Marekani washitakiwa katika mahakama huko Marekani kwa kusaidia uzeshwaji wa Genocide Gaza

Rais Biden, Waziri wa Ulinzi na Waziri wa mambo ya nje wa Marekani washitakiwa katika mahakama huko Marekani kwa kusaidia uzeshwaji wa Genocide Gaza

Isije kuwa wewe ndio mjinga

Wanawake, watoto, wagonjwa na wanafunzi hawajui hata kushika siraha kwanini wasitetewe

Kama wao vidume si wapigane na vidume wenzao wanamganbo wa Hamas
Hizo ni mbinu za kumkabili mpinzani mjinga kama wewe.Unaumiza wale anaowapenda zaidi ili ashuhudie,apate uchungu na ajute.Kwani Hamas walipoanzisha mashambulizi ndani ya Israel walitegemea kitu gani?Kwamba Israel watakuwa na silaha ambazo zikitumika zitachagua magaidi tu na kuwaacha akina mama na watoto?Unafeli wewe!Vita haina miwani.
 
Kesi nyingi za genocide ni pasua kichwa kuthibitika mahakamani. Na mara nyingi huwa zinafunguliwa kwa kuzingatia mihemko na sio kisomi zaidi. Matokeo yake zinaishia kuwa "dead on arrival".
 
Assassination ya mtu kama Soleman ni tangazo la vita tayari. Au umesahau moja ya sababu ya ww1 ni mauaji ya Archiduke Franz Fernand?!
Uhusiano ni mdogo sana.
Achiduke alikua kiongozi mkubwa Soleiman ni moja ya makamanda hiyo inahitaji simple retaliation tu.
Alicholenga jamaa hakuna hot war Trump aloanzisha.
Pia hakuna vita alowahi kuishabikia na kujiunga nayo directly kama Biden.
Kama ipo tujuze.
 
Uhusiano ni mdogo sana.
Achiduke alikua kiongozi mkubwa Soleiman ni moja ya makamanda hiyo inahitaji simple retaliation tu.
Alicholenga jamaa hakuna hot war Trump aloanzisha.
Pia hakuna vita alowahi kuishabikia na kujiunga nayo directly kama Biden.
Kama ipo tujuze.
Trump ni Republican na anajulikana Kwa msimamo wake mkali wa kusupport Israeli kuliko hata Joe Biden.
In short Trump anaona utawala wa Joe Biden unasuasua katika kuunga mkono Israeli.
Pia Soleman hakuwa kamanda mdogo kama unavyodai, he was considered the second most powerful person in Iran after Ayatollah Khamenei
 
Trump ni Republican na anajulikana Kwa msimamo wake mkali wa kusupport Israeli kuliko hata Joe Biden.
In short Trump anaona utawala wa Joe Biden unasuasua katika kuunga mkono Israeli.
Pia Soleman hakuwa kamanda mdogo kama unavyodai, he was considered the second most powerful person in Iran after Ayatollah Khamenei
Trump kuna namna zake za kuisapoti nchi kidiplomasia.
Ila hakuendekeza vita kama afanyavyo Biden.
Kama iko vita aliyojiingiza directly ilete hapa.
Qassem Soleiman ilihitaji limited retaliation sio full scale war .
Embu uwe unatizama matukio yapi ya kuingia full scale war na yapi yanahitaji retaliation.
 
Rais Joe Biden awa rais wa kwanza katika historia ya Marekani kufunguliwa kesi ya uhusika wa mauaji ya Kimbari.
Hii inatokana na msaada wa silaha na kiintelijensia na kushindwa kwake kuchukua hatua stahiki zilizomo katika uwezo wake kuzuia mauaji ya kimbari huko Gaza.

Kesi hiyo imefunguliwa na watetezi wa haki za binadamu huko Oakland Calfornia Marekani.

Taarifa zaidi: Biden makes history: 1st sitting US president sued for complicity in genocide

------------------------------------------------

Joe Biden sears his name in history by becoming the first sitting American president to be sued for complicity in genocide over the United States' abetment in the Israeli regime's ongoing genocidal war against the Gaza Strip.

The first hearing in the case was being held at the federal courthouse in Oakland, California on Friday.

Human rights bodies and Palestinian US citizens are plaintiffs in the lawsuit, which was lodged by the Center for Constitutional Rights (CCR), a New York-based legal advocacy organization, in mid-November.

The CCR filed the lawsuit on behalf of Dr. Omar Al-Najjar, a physician at Nasser Medical Complex in the city of Khan Younis in southern Gaza, as well as Palestinian human rights groups Defense for Children International – Palestine and al-Haq.

The lawsuit also names US Defense Secretary Lloyd Austin and Secretary of State Antony Blinken.

The Israeli regime has been waging war against Gaza since October 7, 2023, following an operation carried out by the Palestinian territory's resistance groups.

More than 26,000 Palestinians, some 70 percent of whom are women, children, and adolescents, have been killed in the brutal onslaught so far, while upwards of 64,100 others have been injured.

The United States has been providing the war with all-out military and political support. It has armed the regime with more than 10,000 tons of military hardware, and blocked ratification of all United Nations Security Council resolutions that have called for cessation of the Israeli aggression.
Katiba yao haiwapi kinga ya kutoshitakiwa ?
 
Back
Top Bottom