Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
dini ni imani tu, ni bayana ya mambo yasiyoonekana, huwezi kulazimisha watu kuamini na kuabudu kitu kisichoonekana ni upuuzi mtupu
Hayo maneno yako umeyatoa kitabu kipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dini ni imani tu, ni bayana ya mambo yasiyoonekana, huwezi kulazimisha watu kuamini na kuabudu kitu kisichoonekana ni upuuzi mtupu
dini ni imani tu, ni bayana ya mambo yasiyoonekana, huwezi kulazimisha watu kuamini na kuabudu kitu kisichoonekana ni upuuzi mtupu
Ni KWELI kwenye Biblia hakuna mahali walipoandika uislam kuwa ni dini. Ila Kuna mahali wameandika Yesu ndiye njia KWELI na Uzima mtu hauwezi kwenda peponi bila kumwamini na kumfuata Yesu.
| Differences of the Ministries of Jesus and Paul | |
| Jesus: | Paul: |
| 1. Preached the gospel of the kingdom | 1. Preached the gospel of the grace of God |
| 2. Defined the “kingdom of heaven” as Israel’s prophetic earthly kingdom | 2. Defined the “kingdom of heaven” as the heavenly position of the body of Christ |
| 3. Presented Himself as the Messiah and King of the Jews (Israel) | 3. Presented Jesus as the risen Lord, Head of the Church, the body of Christ |
| 4. Preached repentance, water baptism, keeping the Law, forgiving others, and faith in who He was as necessary for salvation | 4. Preached faith alone in the death, burial, and resurrection of Christ as necessary for salvation |
| 5. Had Jews as His audience (a couple exceptions) | 5. Had Gentiles as his primary audience |
| 6. Operated under the Mosaic Law | 6. Operated under grace |
Dini ya mabikra 72 mkuu
Kaangalie hiyo list na utajiri wao na urudi tena hapa.Waislamu wengi nigeria wapo kaskazini ambako kuna shida sana na ndo eneo maskini sana.
Matajiri wa nigeria asilimia kubwa ni wakristo.
Japo dangote ni muislamu
Wavaa kobaaz wana vina saba vya shetani.
Ni KWELI kwenye Biblia hakuna mahali walipoandika uislam kuwa ni dini. Ila Kuna mahali wameandika Yesu ndiye njia KWELI na Uzima mtu hauwezi kwenda peponi bila kumwamini na kumfuata Yesu.
Kwa uandishi wako huu inaonyesha wewe ndio mdini.Buhari ametumia miaka yote serkalini kujaribu kuifanya nchi ya nigeria iwe na utamaduni wa mashariki ya kati.
Nigeria inafanya uchaguzi hivi karibuni na kwa makusudi amempa mwislamu mwenzake amrithi ili kukamilisha mpango wao mchafu wa muda mrefu.
Ikumbukwe lile kundi la kigaidi la boko haram linalapigania dini linaungwa mkono na wanasiasa na wanasiasa wanaonyoshewa mkono ni huyu buhari.
Ndio maana alipoingia madarakani boko haram ni km walufutika ila wakati yupo mtangulizi wake Jonathan, Boko Haram ilikaribia kuangusha serikali, wanasiasa hawa wanapokea mapesa kutoka iran na nchi nyingine za kiislam kuwaumiza wasio wasio Waislam.
Kule nigeria kuna majinmbo yenye waislam wengi haya majimbo wakristo wanateswa na kuchinjwa nyumba zao za ibada zinachomwa moto na boko haram ila bwana buhari ni kama haoni.
Hii imepelekea Rais mstaafu wa nchi hiyo olusagani obasanjo kujitenga na huyu mharibifu wa nchi buhari na kuzusha uhasama kati yao.
Huu ni mwanzo tu wa kuanguka kwa nchi ya Nigeria
Nchi ya Nigeria imepasuka na itaendelea kupasuka.
Huyu mgombea Urais anaeitwa PETER ndie anachukua nchi awamu hii huko Nigeria
Nigeria was never meant to be a country, Nigeria started off as a British company . To understand Nigeria you need to know where it came from.
My point of view ...
Nigeria is still under British rule,Nigeria will never be stable
Wavaa kobaaz wana vina saba vya shetani.
Yesu alisema:
1. Katika njia ya Mataifa msiende. (Mathayo 10:5). Lakini Paulo akafundisha:
A. Nimekabidhiwa Injili ya wasiotahiriwa. (Wagalatia 2:7, maandishi ya Paulo).
B. Amewafungulia mataifa mlango wa imani. (Matendo ya Mitume 14:27).
Yesu alisema:
2 Msidhani kuwa nalikuja kuitangua Torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya Torati haitaondoka, hata yote yatimie. Basi mtu yeyote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atayezitenda na kuzifundisha , huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni. Maana nawaambia ya kwamba, Haki yenu isipozidi hiyo haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni. (Mathayo 5:17-20).
Lakini Paulo anasema:
Sheria ni laana. (Wagalatia 2:16-21, 3:10-13). Warumi 7: yote).
3. Bwana Yesu alisema: Msichukuwe dhahabu, wala fedha, wala mapesa mifukoni mwenu: (Mathayo 10:9)
4 Hivyo Wakristo wale ambao wanakusanya mali ni Madajjali (AntiChrist).
5. Bwana Yesu alisema:
Lakini mimi nawaambia msishindane na mtu mwovu; lakini mtu akupigaye shavu la kuume mgeuzie na la pili. Na mtu atakaye kukushitaki na kuitwaa kanzu yako, mwachie na joho pia. (Mathayo 5:39-40).
Hivyo Wakristo wale ambao wanagombana ni Madajjal (Ant Christ).
6. Yesu pia alikataza kuitwa Kristo: Ndipo alipowakataza wanafunzi wake wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ndiye Kristo. (Mathayo 16:20). Hivyo Wakristo ambao wanatangaza kwamba Yesu ndiye Kristo ni Madajjal (Ant Christ).
7. Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu. (Mathayo 10:35, Luka 14:26, 12:51, 5:2)
Hivyo Wakristo ambao wanapenda amani wala hawatumii upanga ni Madajjal (Anti Christ)
Acha upotoshaji
Asante. Naomba usome Mathayo hiyo hiyo 22:1-14.Umepatia , zawadi yako hii
SWALI: Je! Bwana Yesu alitumwa kwa Waisraeli tu peke yao au kwa watu wote wa mataifa..Maana yeye mwenyewe alisema katika Mathayo 10:5, kwamba wasihubiri kwa watu wa Mataifa.
JIBU: Tusome..
Mathayo 10:5 “Hao Thenashara Yesu aliwatuma, akawaagiza, akisema, Katika njia ya Mataifa msiende, wala katika mji wo wote wa Wasamaria msiingie.
6 Afadhali shikeni njia kuwaendea kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli”
Mt 15:24 SUV
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli
AnashindaBuhari ni mdini peter hawezi kushinda,buhari amepandikiza udini mbaya sana ndio maana anashutumiwa kufadhili boko haram
Asante. Naomba usome Mathayo hiyo hiyo 22:1-14.
Halafu nisaidie hapo Yesu alikuwa na maana gani? Au alikuwa anazungumza kuhusu Nini? Kumbuka kwenye Biblia hakuna kukariri huku ni ufahamu wa kiroho zaidi.
Halafu Soma Yohana Mt. 1:10-14.
Alikuwako ulimwenguni hata kwa yeye ulimwengu ukipata kuwako, Wala ulimwengu haukumtambua. Alikuja kwake Wala waliowake hawakumpokea. Bali wate waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu.(Endele)
Je unaelewa Nini juu ya mistari hiyo hapo juu??? Kumbuka huku hatukariri baba.
Asante. Naomba usome Mathayo hiyo hiyo 22:1-14.
Halafu nisaidie hapo Yesu alikuwa na maana gani? Au alikuwa anazungumza kuhusu Nini? Kumbuka kwenye Biblia hakuna kukariri huku ni ufahamu wa kiroho zaidi.
Halafu Soma Yohana Mt. 1:10-14.
Alikuwako ulimwenguni hata kwa yeye ulimwengu ukipata kuwako, Wala ulimwengu haukumtambua. Alikuja kwake Wala waliowake hawakumpokea. Bali wate waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu.(Endele)
Je unaelewa Nini juu ya mistari hiyo hapo juu??? Kumbuka huku hatukariri baba.
Asante. Naomba usome Mathayo hiyo hiyo 22:1-14.
Halafu nisaidie hapo Yesu alikuwa na maana gani? Au alikuwa anazungumza kuhusu Nini? Kumbuka kwenye Biblia hakuna kukariri huku ni ufahamu wa kiroho zaidi.
Halafu Soma Yohana Mt. 1:10-14.
Alikuwako ulimwenguni hata kwa yeye ulimwengu ukipata kuwako, Wala ulimwengu haukumtambua. Alikuja kwake Wala waliowake hawakumpokea. Bali wate waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu.(Endele)
Je unaelewa Nini juu ya mistari hiyo hapo juu??? Kumbuka huku hatukariri baba.