Rais Buhari ni mtu mdini ambaye ataizamisha Nigeria, ni suala la muda tu

Rais Buhari ni mtu mdini ambaye ataizamisha Nigeria, ni suala la muda tu

Acha ujinga na upumbavu. Unataja watu waliochukua nchi kwa mapinduzi ya kijeshi! Wanajeshi wanapopindua huwa wanazingatia hilo!? Weka "CARD" ili network isome.
We jamaa huna akili marais Wa kuchaguliwa wa NIGERIA ni wanne tu kama ndio hivyo.
1. OBASANJO

2. OMAR YAR'DUA (Alifia madarakani Makamu wake G. JONATHAN akamalizia muhula)

3. G. JONATHAN na hii ni kutokana na NGUVU ya mamlaka aliyoachiwa na YAR'DUA na ulipofika uchaguzi wa kipindi chake cha pili alipigwa CHINI.

4. MUHAMMADU BUHARI
Huyu mpaka ni mwaka wa 8 ndio anamaliza muda wake mwaka huu.

Kwa nilivyoona mwaka jana tu hapo, P. OBI anapendwa na vijana hasa hawa wa mitandaoni, akisaidiwa zaidi na watu kama P SQUARE kwenye kampeni zake na hii ni kutokana na kutoka kabila moja la IGBO.

Kwa hali ya NIGERIA na kwa siasa zao, nampa nafasi BABU TINUBU au ATIKU ABUBAKAR.

We jamaa ni kilaza, na hakuna huo utaratibu wa kupokeza eti akitoka muislam basi aje mkristo, ingekuwa hivyo WAGOMBEA WOTE WA URAIS WANGEKUWA WAKRISTO NA WAGOMBEA WENZA WAO WANGEKUWA WAISLAM.
 
sasa kama unaona kuna propaganda, kwani uislam una nini cha maana zaidi ya kuwa ni utamaduni wa muarabu? Muafrika ni muhanga tu kwa hao wazungu na waarabu. Bora hao wajapani na wakorea wana miungu yao.muafrika anashabikia miungu ya kigeni huku akiacha Mungu wake. Yaani amekuwa brainwashed. Hayo madini waachiwe wenyewe
Ndio maana kwenye uzi fulani nilikuQuote na kusema "ramsi hauna akili" na sikukosea, kama Uislamu no utamaduni wa Muarabu kwa nini Waarabu waliupiga vita vikali kea miaka mingi wakati ni jambo rahisi tu kuukubali utamaduni wao ?

Historia umesoma kweli na kujua kabla ya Uislamu Waarabu walikuwa na utamaduni gani na Uislamu umeleta mabadiliko gani kutokana na mila na tamaduni zao ?

You are Certified Popoma..
 
sasa kama unaona kuna propaganda, kwani uislam una nini cha maana zaidi ya kuwa ni utamaduni wa muarabu? Muafrika ni muhanga tu kwa hao wazungu na waarabu. Bora hao wajapani na wakorea wana miungu yao.muafrika anashabikia miungu ya kigeni huku akiacha Mungu wake. Yaani amekuwa brainwashed. Hayo madini waachiwe wenyewe

Mungu wa kiafrika unayemfuata ni yupi ? Au ni yule Marehemu Wanyonyi mkenya?
 
We jamaa huna akili marais Wa kuchaguliwa wa NIGERIA ni wanne tu kama ndio hivyo.
1. OBASANJO

2. OMAR YAR'DUA (Alifia madarakani Makamu wake G. JONATHAN akamalizia muhula)

3. G. JONATHAN na hii ni kutokana na NGUVU ya mamlaka aliyoachiwa na YAR'DUA na ulipofika uchaguzi wa kipindi chake cha pili alipigwa CHINI.

4. MUHAMMADU BUHARI
Huyu mpaka ni mwaka wa 8 ndio anamaliza muda wake mwaka huu.

Kwa nilivyoona mwaka jana tu hapo, P. OBI anapendwa na vijana hasa hawa wa mitandaoni, akisaidiwa zaidi na watu kama P SQUARE kwenye kampeni zake na hii ni kutokana na kutoka kabila moja la IGBO.

Kwa hali ya NIGERIA na kwa siasa zao, nampa nafasi BABU TINUBU au ATIKU ABUBAKAR.

We jamaa ni kilaza, na hakuna huo utaratibu wa kupokeza eti akitoka muislam basi aje mkristo, ingekuwa hivyo WAGOMBEA WOTE WA URAIS WANGEKUWA WAKRISTO NA WAGOMBEA WENZA WAO WANGEKUWA WAISLAM.
Kilaza ni wewe uliyetaja wanajeshi kama Marais wa kuchaguliwa. Narudia tena weka "CARD" network isome.
 
Mungu wa kiafrika unayemfuata ni yupi ? Au ni yule Marehemu Wanyonyi mkenya?
we ni mtoto wa leo hujui kuwa kabla ya kuja kwa wazungu na waarabu waafrika waliamini Mungu huyuhuyu tunayemuabudu. Hoja yangu ni kwamba kwa nini kuwe na mitafaruku kati ya waislam na wasio waislam wakati inajulikana asili ya uislam ni jamii za kiarabu toka mbali? Waafrika tusichukiane kwa ajili ya tofauti za dini za kigeni na kienyeji
 
Huko uislam umeingia Karne ya 9,wakati ukiristo umeingia na utumwa karne 5 baadae,Cameroon Sina hakika na demography yake

Ukristo umeingia na utumwa kivipi, mbona quran ina verse zinazohusu watumwa. Na hata mtume alifanya biashara za utumwa

Quran, sunnah na hadith zimeeleza mengi kuhusu mtume na watumwa wake
 
we ni mtoto wa leo hujui kuwa kabla ya kuja kwa wazungu na waarabu waafrika waliamini Mungu huyuhuyu tunayemuabudu. Hoja yangu ni kwamba kwa nini kuwe na mitafaruku kati ya waislam na wasio waislam wakati inajulikana asili ya uislam ni jamii za kiarabu toka mbali? Waafrika tusichukiane kwa ajili ya tofauti za dini za kigeni na kienyeji
Maelezo yako umetoa kitabu gani kuwa mkiabudu mungu huyu , ? Yupi, ? Wanyonyi au Yesu
 
Labda ukiristo ndiyo hawahoji,uislam kule watu wanahoji na ukienda kinyume na maandiko unatolewa uongozi na haya kuswalisha huswalishi,sheikh kiumbe alikoswa header msikitini baada ya kufosi kuswalisha

Dini ambayo huruhusiwi kuibadili. Ukihama tu unaitwa murtad na adhabu yake unakatwa kichwa ndiyo ikuruhusu kuhoji.

Kesho nenda msikitini baada ya ibada hoji waislamu wenzako kwa nini mtume muhammad alikuwa anatombaz watumwa wake ? Uone kitakachokukuta
 
Ungezitaja hizo nchi ambazo uhuru wa kuabudu hamna. Ukiamini vitu vya kusikia hata kwa maisha ya kawaida itakupelekea kuamini tuhuma za kitu fulani ambazo hazina ukweli bila kuchunguza.
Karibia nchi zote zenye waislamu wengi kuna wakristo na wamejenga makanisa. Ingekuwa watu hawataki wakristo waabudu, wangezuia hayo makanisa kutokana na wingi wao.


Saudi arabia ndio baba wa uislamu. Nyumbani kwa mtume muhammad, nyumbani kwa Quran, nyumbani kwa mecca na madinna

Waislamu wote macho yako saudi arabia na wanaamini ni ardhi takatifu

Tuambie saudi arabia kuna makanisa mangapi '?

Je inaruhusiwa kujengwa kanisa saudi arabia ?
 
Saudi arabia ndio baba wa uislamu. Nyumbani kwa mtume muhammad, nyumbani kwa Quran, nyumbani kwa mecca na madinna

Waislamu wote macho yako saudi arabia na wanaamini ni ardhi takatifu

Tuambie saudi arabia kuna makanisa mangapi '?

Je inaruhusiwa kujengwa kanisa saudi arabia ?
Unapo zungumzia kitu utumie akili na sio mihemko

Ushasema Saudi Arabia ni kitovu cha miji mitukufu ya makka na madina na ndio kituvu cha Waislamu Alafu unataka kanisa

Vipi tuambie Vatican kuna msikiti?

Na je kujenga msikiti Vatican inaruhusiwa?

Kinacho zungumziwa uhuru wa kuabudu ukienda Saudi Arabia kama wewe ni mkiristo hakuna anae kulazimisha kusilimu wala kufanya ibada za kiislamu

Utafanya ibada zako kwako kwa utaratibu wako!!!



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwani wapi imeandikwa tafsiri ya neno dini katika biblia?
Ni KWELI kwenye Biblia hakuna mahali walipoandika uislam kuwa ni dini. Ila Kuna mahali wameandika Yesu ndiye njia KWELI na Uzima mtu hauwezi kwenda peponi bila kumwamini na kumfuata Yesu.
 
Ukristo umeingia na utumwa kivipi, mbona quran ina verse zinazohusu watumwa. Na hata mtume alifanya biashara za utumwa

Quran, sunnah na hadith zimeeleza mengi kuhusu mtume na watumwa wake
Ukiristo umeingia na biashara ya utumwa afrika magharibi na baadae ukoloni,ndiyo maana kwa Nigeria ukiristo uko pwani zaidi
 
Ni KWELI kwenye Biblia hakuna mahali walipoandika uislam kuwa ni dini. Ila Kuna mahali wameandika Yesu ndiye njia KWELI na Uzima mtu hauwezi kwenda peponi bila kumwamini na kumfuata Yesu.

Umepatia , zawadi yako hii

SWALI: Je! Bwana Yesu alitumwa kwa Waisraeli tu peke yao au kwa watu wote wa mataifa..Maana yeye mwenyewe alisema katika Mathayo 10:5, kwamba wasihubiri kwa watu wa Mataifa.




JIBU: Tusome..

Mathayo 10:5 “Hao Thenashara Yesu aliwatuma, akawaagiza, akisema, Katika njia ya Mataifa msiende, wala katika mji wo wote wa Wasamaria msiingie.

6 Afadhali shikeni njia kuwaendea kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli”

Mt 15:24 SUV
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli
 
Unaweza kutoa Aya za Qur'an kuthibitisha Madai yako!?

Sijakariri quran maana mimi sio muislam.

Wewe unaejua ndio unapaswa useme nimedanganya kwamba murtad hapati adhabu ya kifo

Sababu gani inafanya mtu aitwe murtad kwenye uislamu

Na Kisha Niambie adhabu ya murtad ni nini kwenye dini ya kiislamu?
 
Sijakariri quran maana mimi sio muislam.

Wewe unaejua ndio unapaswa useme nimedanganya kwamba murtad hapati adhabu ya kifo

Sababu gani inafanya mtu aitwe murtad kwenye uislamu

Na Kisha Niambie adhabu ya murtad ni nini kwenye dini ya kiislamu?

Hii hapa

Deutoronomy6


If your brother, the son of your mother, your son or your daughter, the wife [c]of your bosom, or your friend who is as your own soul, secretly entices you, saying, ‘Let us go and serve other gods,’ which you have not known, neither you nor your fathers,

7 of the gods of the people which are all around you, near to you or far off from you, from one end of the earth to the other end of the earth,

8 you shall not [d]consent to him or listen to him, nor shall your eye pity him, nor shall you spare him or conceal him;

9 but you shall surely kill him; your hand shall be first against him to put him to death, and afterward the hand of all the people.

10 And you shall stone him with stones until he dies, because he sought to entice you away from the Lord your God, who brought you out of the land of Egypt, from the house of bondage.
 
Hii hapa

Deutoronomy6


If your brother, the son of your mother, your son or your daughter, the wife [c]of your bosom, or your friend who is as your own soul, secretly entices you, saying, ‘Let us go and serve other gods,’ which you have not known, neither you nor your fathers,

7 of the gods of the people which are all around you, near to you or far off from you, from one end of the earth to the other end of the earth,

8 you shall not [d]consent to him or listen to him, nor shall your eye pity him, nor shall you spare him or conceal him;

9 but you shall surely kill him; your hand shall be first against him to put him to death, and afterward the hand of all the people.

10 And you shall stone him with stones until he dies, because he sought to entice you away from the Lord your God, who brought you out of the land of Egypt, from the house of bondage.

Weka kiswahili sijui kiingereza

Kwamba murtad ni nani na adhabu yake ni nini kwenye uislamu
 
Back
Top Bottom