Rais Buhari ni mtu mdini ambaye ataizamisha Nigeria, ni suala la muda tu

Rais Buhari ni mtu mdini ambaye ataizamisha Nigeria, ni suala la muda tu

Kwani Italy ni nchi ya kikristo? Kueneza kwa nguvu maana yake ndiyo nini? Hao wazungu wanaosilimu huko ulaya wanakuwa wameshikiwa mapanga?
Tatizo hii dini yenu imejaa unafiki mnachosema sio mnachokiaminisha.

View attachment 2525793
Nasikia Uhuru wa kuabudu dini tofauti na Uislamu kwa baadhi ya nchi za Kiislamu haupo. Ukibadili dini ni kama umejitangazia kifo.
 
Kwamba wakiristo ni wengi zaidi Nigeria au unamaanisha nini!?..suala la dini limekua likitumika kwenye uchaguzi Nigeria kiasi uchaguzi uliopita vijana wakasema (niliowaona tv) hawataki kudanganywa kupitia dini, Nigeria zaidi ya 50% ni waislam,huko kaskazini ndiko waarabu walikoingilia tokea kwao,na kusini hasa pwani wazungu waliiingilia huko na kufanya biashara ya utumwa,lakini overall Nigeria waislam ni wengi na mgombea mkiristo sharti awe na mwenza muislam bila hivyo hatoboi
Hao vijana uliowaona ndio wawakilishi wa waNigeria wote karibia milioni 200!?
 
Naamini Nigeria ndiyo nchi yenye wasomi wengi zaidi na wajinga wengi zaidi barani Africa.
pamoja na usomi wao lakini kuna ujinga mwingi sana. Kwa ushirikina wanavuma wao, udini wao. Kwa hili la dini kutumika kwenye baadhi ya majimbo ni kero bora wabaki na ushirikina
 
pamoja na usomi wao lakini kuna ujinga mwingi sana. Kwa ushirikina wanavuma wao, udini wao. Kwa hili la dini kutumika kwenye baadhi ya majimbo ni kero bora wabaki na ushirikina

Wewe unashabikia ushirikina itakuwa na wewe ni mwenzao 😝😝
 
Buhari ametumia miaka yote serkalini kujaribu kuifanya nchi ya nigeria iwe na utamaduni wa mashariki ya kati.

Nigeria inafanya uchaguzi hivi karibuni na kwa makusudi amempa mwislamu mwenzake amrithi ili kukamilisha mpango wao mchafu wa muda mrefu.

Ikumbukwe lile kundi la kigaidi la boko haram linalapigania dini linaungwa mkono na wanasiasa na wanasiasa wanaonyoshewa mkono ni huyu buhari.

Ndio maana alipoingia madarakani boko haram ni km walufutika ila wakati yupo mtangulizi wake Jonathan, Boko Haram ilikaribia kuangusha serikali, wanasiasa hawa wanapokea mapesa kutoka iran na nchi nyingine za kiislam kuwaumiza wasio wasio Waislam.

Kule nigeria kuna majinmbo yenye waislam wengi haya majimbo wakristo wanateswa na kuchinjwa nyumba zao za ibada zinachomwa moto na boko haram ila bwana buhari ni kama haoni.

Hii imepelekea Rais mstaafu wa nchi hiyo olusagani obasanjo kujitenga na huyu mharibifu wa nchi buhari na kuzusha uhasama kati yao.

Huu ni mwanzo tu wa kuanguka kwa nchi ya Nigeria
Nchi ya Nigeria imepasuka na itaendelea kupasuka.

Nianze kwa kuuliza ni utamaduni gani kwasasa ni unakubalika na matabaka yote.

Wa kimagharibi (marekani na ulaya)
Wa kimashariki ( Russia na China
Wa mashariki ya kati (Utamafuni wa kiislam)

Pili yawezekana kabisa mleta mada katoa taarifa hizi kutoka kwa mchungaji wake wa kilokole.

Else atupatie source ya taarifa yake.

Tatu yaelekea kabisa kuwa mleta mada ni muathitika wa information warfare.

Vita kubwa iliopo na inaendelea duniani ni vita vya taarifa, especially 'Disinformation'. Anaelewa maana yake au kajiingizwa kichwa kichwa.
 
pamoja na usomi wao lakini kuna ujinga mwingi sana. Kwa ushirikina wanavuma wao, udini wao. Kwa hili la dini kutumika kwenye baadhi ya majimbo ni kero bora wabaki na ushirikina

 
Nasikia Uhuru wa kuabudu dini tofauti na Uislamu kwa baadhi ya nchi za Kiislamu haupo. Ukibadili dini ni kama umejitangazia kifo.
Ungezitaja hizo nchi ambazo uhuru wa kuabudu hamna. Ukiamini vitu vya kusikia hata kwa maisha ya kawaida itakupelekea kuamini tuhuma za kitu fulani ambazo hazina ukweli bila kuchunguza.
Karibia nchi zote zenye waislamu wengi kuna wakristo na wamejenga makanisa. Ingekuwa watu hawataki wakristo waabudu, wangezuia hayo makanisa kutokana na wingi wao.
 
Nigeria ina utaratibu wake waliojiwekea. Kama awamu hii Rais ni Muislamu kutoka Kaskazini ambako ndiko asilimia kubwa ni Waislamu, awamu inayofuata ni ya Mkristo ambao ni wengi zaidi kutoka Kusini mwa Nigeria. Na makamu huwa ni wa dini tofauti na Rais.
HII NI UONGO na hauna MAANA YOYOTE. NIGERIA IMEWAHI KUONGOZWA NA MARAIS WAISLAM MFULULIZO TANGU
BUHARI, BABANGIDA, na ABACHA.
 
HII NI UONGO na hauna MAANA YOYOTE. NIGERIA IMEWAHI KUONGOZWA NA MARAIS WAISLAM MFULULIZO TANGU
BUHARI, BABANGIDA, na ABACHA.
Acha ujinga na upumbavu. Unataja watu waliochukua nchi kwa mapinduzi ya kijeshi! Wanajeshi wanapopindua huwa wanazingatia hilo!? Weka "CARD" ili network isome.
 
Ungezitaja hizo nchi ambazo uhuru wa kuabudu hamna. Ukiamini vitu vya kusikia hata kwa maisha ya kawaida itakupelekea kuamini tuhuma za kitu fulani ambazo hazina ukweli bila kuchunguza.
Karibia nchi zote zenye waislamu wengi kuna wakristo na wamejenga makanisa. Ingekuwa watu hawataki wakristo waabudu, wangezuia hayo makanisa kutokana na wingi wao.
Huo uhuru wa kuabudu unaleta wewe. Nilichoandika sio hiki unachojaribu kusema hapa.
 
Back
Top Bottom