Mshughulishaji
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 1,351
- 1,875
Mtoa mada ana udini ni wale waleNadhani wako nusu kwa nusu.
Lakini alicho kisema huyo mtoa mada hakina mashiko maana Buhari anapendwa na watu wa dini zote kutokana na kuweza kuwadhibiti boko Haram.