Rais Buhari ni mtu mdini ambaye ataizamisha Nigeria, ni suala la muda tu

Rais Buhari ni mtu mdini ambaye ataizamisha Nigeria, ni suala la muda tu

Nadhani undanganya. Kuna Togo,Burkina Faso, Benin, Ghana, Ivory Coast, Liberia, Sierra Leone, Cape Verde, Equatorial Guinea, Guinea Bissau, Sao Tome etc ni za majority christians
Vipi Central Africa na vita zao za kidini kati ya seleka na anti baraka??
 
Vipi Central Africa na vita zao za kidini kati ya seleka na anti baraka??

Central Africa ni majority christians halafu haipo Western Africa ipo Central Africa na DR Congo, Gabon, Congo Brazaville, Rwanda na Burundi ambazo kwa Sasa zimehamia East Africa.
 
Nigeria ilashaanguka tangu iliporuhusu matumizi ya sharia kwenye baadhi ya majimbo yao. Walipandikiza kasa, kuindoa ni shughuli pevu. Ndio maana kuna kitu kinaitwa azimio la abuja linalohusu nchi za afrika zinazoamini dini hiyo. Makao makuu yako abuja huko nigeria. Yaani nigeria ni kinara wa kueneza dini hiyo barani afrika
Shida iko wapi kama wataamua kutumia sheria ya dini ikiwa 95% ya wakazi hao ni watu wa hio Dini??

Mbona vatican wanatumia hio sheria na hakuna anaepinga??
 
Shida iko wapi kama wataamua kutumia sheria ya dini ikiwa 95% ya wakazi hao ni watu wa hio Dini??

Mbona vatican wanatumia hio sheria na hakuna anaepinga??
sawa, hiyo dini isiingilie haki za wengine wasioiamini. Halafu usilete mrejezo wa vatican. Umewahi kuona vatican ikieneza ukatoliki wake kama uislam unavyofanya? Vitican ni mji mdogo ndani ya nchi ya italia umeona italia ikiongozwa kikatoliki? Fahamu italia kuna misikiti na waislam wanaabudu kwa amani bila kubughudhiwa, tofauti na nchi za kiislam ambako makanisa hakuna. Uislam una ubaguzi mwingi sana na unatisha duniani. Licha ya kuwa vatican ina mabalozi katika nchi mbalimbali duniani haienezi ukatoliki kwa nguvu. Fahamu pia kuna wakristo wasio wakatoliki na hawauamini na katoliki haiwabughudhi. Uislam ungekuwa kama ukatoliki isingekuwa nongwa
 
Ukishakuwa mvaa Kobaaz basi tayari wewe ni mpinga kristo

Mizani ya Imani ya mkristo

Bwana Yesu Kristo alieleza mizani na alama za imani kama ifuatavyo:

1. Mkiwa na imani ya punje ya haridali, mtauambia mlima huu, ondoka hapa nenda kule, nao utaondoka; wala halitakuwapo neno lisilowezekana kwenu. (Mathayo17:20; 21:21; Marko 11:22-23, 9:23, Luka 17:6, 12, 13).

2. Bwana akasema: “Kama mngekua na imani kiasi cha chembe ya haridali mngeuambia mkuyu huu, ng'oka, ukapandwe baharini, nao ungewatii.” (Luka 17:7).

3. Yesu akajibu, akawaambia, Amin, nawaambia mkiwa na imani , msipokuwa na shaka, mtafanya si hilo la mtini tu, lakini hata mkiuambia mlima huu, ngo'ka ukatupwe baharini, litatendeka. na yoyote mtakayoyaomba katika sala mkiamini, mtapokea. (Mathayo 21:21-22)

4. Amin, Amin, nawaambieni, yeye aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwani mimi naenda kwa Baba. (Yohana 14:12-13).

5. Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lolote nanyi mtatendewa. (Yohana 15:7).

6. Tena nawaambia, wawili wenu mtakapopatana duniani katika jambo lolote watakalo liomba, watafanyiwa na Baba yangu aliye mbinguni. (Mathayo 7:3-12)

7. Ombeni nanyi mtapewa.... (Mathayo 7:3-12).

Katika mizani hii ya imani ya Wakristo, tumejua kwamba Mkristo atatambulika kwa alama zilizotajwa hapo juu.

Tena hizi ni alama za imani ndogo sana ya chembe ya haridali.

Lakini kama Mkristo atakuwa na imani kubwa ataweza kuonesha miujiza mikubwa zaidi.

Vilevile Mkristo mwenye imani ni yule ambaye ataweza kuonesha miujiza na hasa sawa na ya Bwana Yesu bali mikubwa zaidi kuliko yake.

Sasa kwanza tutafute miujiza ya Bwana Yesu katika Biblia, tumeona baadhi yao kama ifuatavyo:

1. Kuponya wagonjwa (Mathayo 8:16, 9:22, na 15:21).

2. Kuponya walemavu (Mathayo 8:1-3).

3. Kuponya mabubu. (Mathayo 9:3-7; 12-22).

4. Kuponya mwenye kupooza upande mmoja (kiarusi) (Mathayo 8:5-13. 9:1-7, 12:22).

5. Kumponya mwenye kifafa. (Mathayo 17:14-19).

6. Kuponya mkono wenye ukoma. (Mathayo 12:15).

7. Kuponya mgongo uliopinda (Kibyongo) (Luka 13:10).

8. Kuwafufua wafu. (Mathayo 9:24).

9. Kugeuza maji kuwa pombe. (Yohana 2:1-9).

10. Chakula kidogo kitoshe watu elfu tano. (Mathayo 14:13-21).

11. Kutembea juu ya maji. (Mathayo 14:22-23).

12. Kuzuia tufani . ( Mathayo 8:23-33).

Hapa nimetoa baadhi ya mifano tu ya miujiza ya Bwana Yesu.

Kama Wakristo hamuwezi kuonesha miujiza ya aina hii au alama ya imani yenu sawa na Biblia, basi mambo mawili yanathibitika.

A. Bwana Yesu pia hakuonesha mujiza wowote bali ni hadithi za kutungwa tu zisizo na ukweli ndani yake.

B. Siku hizi Mkristo yeyote hana imani sawa na chembe ya haridali, bali wote mumeshapotea tayari na hamuna alama au dalili yoyote ya imani.

Hali hizi zote mbili ni mbaya sana na za kutisha.

Na dawa yake ni moja tu kwamba muingie katika dini ya Mwenyezi Mungu, ISLAM, baada ya kutambua umoja wa Mungu na Mtume Muhammad s.a.w.bila hivyo mutaendelea kufedheheka siku hadi siku.

TAMBIO:

Ninawapa Wakristo tambio (challenge) kwamba kama munayo imani sawa na chembe ya haridali, mtuoneshe miujiza iliyotajwa hapo juu.

Mkristo mmoja au wawili au mujumuike wote, tunataka kuona miujiza tu ya imani yenu, hata Pope wenu ajitokeze
 
sawa, hiyo dini isiingilie haki za wengine wasioiamini. Halafu usilete mrejezo wa vatican. Umewahi kuona vatican ikieneza ukatoliki wake kama uislam unavyofanya? Vitican ni mji mdogo ndani ya nchi ya italia umeona italia ikiongozwa kikatoliki? Fahamu italia kuna misikiti na waislam wanaabudu kwa amani bila kubughudhiwa, tofauti na nchi za kiislam ambako makanisa hakuna. Uislam una ubaguzi mwingi sana na unatisha duniani. Licha ya kuwa vatican ina mabalozi katika nchi mbalimbali duniani haienezi ukatoliki kwa nguvu. Fahamu pia kuna wakristo wasio wakatoliki na hawauamini na katoliki haiwabughudhi. Uislam ungekuwa kama ukatoliki isingekuwa nongwa
 
sawa, hiyo dini isiingilie haki za wengine wasioiamini. Halafu usilete mrejezo wa vatican. Umewahi kuona vatican ikieneza ukatoliki wake kama uislam unavyofanya? Vitican ni mji mdogo ndani ya nchi ya italia umeona italia ikiongozwa kikatoliki? Fahamu italia kuna misikiti na waislam wanaabudu kwa amani bila kubughudhiwa, tofauti na nchi za kiislam ambako makanisa hakuna. Uislam una ubaguzi mwingi sana na unatisha duniani. Licha ya kuwa vatican ina mabalozi katika nchi mbalimbali duniani haienezi ukatoliki kwa nguvu. Fahamu pia kuna wakristo wasio wakatoliki na hawauamini na katoliki haiwabughudhi. Uislam ungekuwa kama ukatoliki isingekuwa nongwa
Kwani Italy ni nchi ya kikristo? Kueneza kwa nguvu maana yake ndiyo nini? Hao wazungu wanaosilimu huko ulaya wanakuwa wameshikiwa mapanga?
Tatizo hii dini yenu imejaa unafiki mnachosema sio mnachokiaminisha.

 
Unanukuu mistari ya biblia kisha unapotosha. Hayo ni mafundisho ya imani, ukisikia kuhamisha mlima jua sio mlima unaouona kama kilimanjaro, tafsiri za biblia hamtazielewa nyie wapinga kristo mtaishia kutimiza unabii tu na mwisho mkatupwe jehanamu na mkuu wenu shetani.
 
Unanukuu mistari ya biblia kisha unapotosha. Hayo ni mafundisho ya imani, ukisikia kuhamisha mlima jua sio mlima unaouona kama kilimanjaro, tafsiri za biblia hamtazielewa nyie wapinga kristo mtaishia kutimiza unabii tu na mwisho mkatupwe jehanamu na mkuu wenu shetani.
 
Unanukuu mistari ya biblia kisha unapotosha. Hayo ni mafundisho ya imani, ukisikia kuhamisha mlima jua sio mlima unaouona kama kilimanjaro, tafsiri za biblia hamtazielewa nyie wapinga kristo mtaishia kutimiza unabii tu na mwisho mkatupwe jehanamu na mkuu wenu shetani.

Tafsiri ya lugha ipi na biblia ipi ??? Tuwekee hiyo tafsiri ya biblia aliyoitafsiri bwana Yesu
 
Usipotoshe maandiko, misingi ya imani ya kikristo huijui. Baki na uislam wako unaouamini. Utaonekana ni mpuuzi kwa upotoshaji unaoufanya
 
Unanukuu mistari ya biblia kisha unapotosha. Hayo ni mafundisho ya imani, ukisikia kuhamisha mlima jua sio mlima unaouona kama kilimanjaro, tafsiri za biblia hamtazielewa nyie wapinga kristo mtaishia kutimiza unabii tu na mwisho mkatupwe jehanamu na mkuu wenu shetani.

Yesu alisema:

1. Katika njia ya Mataifa msiende. (Mathayo 10:5). Lakini Paulo akafundisha:

A. Nimekabidhiwa Injili ya wasiotahiriwa. (Wagalatia 2:7, maandishi ya Paulo).

B. Amewafungulia mataifa mlango wa imani. (Matendo ya Mitume 14:27).



Yesu alisema:

2 Msidhani kuwa nalikuja kuitangua Torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya Torati haitaondoka, hata yote yatimie. Basi mtu yeyote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atayezitenda na kuzifundisha , huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni. Maana nawaambia ya kwamba, Haki yenu isipozidi hiyo haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni. (Mathayo 5:17-20).

Lakini Paulo anasema:

Sheria ni laana. (Wagalatia 2:16-21, 3:10-13). Warumi 7: yote).

3. Bwana Yesu alisema: Msichukuwe dhahabu, wala fedha, wala mapesa mifukoni mwenu: (Mathayo 10:9)

4 Hivyo Wakristo wale ambao wanakusanya mali ni Madajjali (AntiChrist).

5. Bwana Yesu alisema:

Lakini mimi nawaambia msishindane na mtu mwovu; lakini mtu akupigaye shavu la kuume mgeuzie na la pili. Na mtu atakaye kukushitaki na kuitwaa kanzu yako, mwachie na joho pia. (Mathayo 5:39-40).

Hivyo Wakristo wale ambao wanagombana ni Madajjal (Ant Christ).

6. Yesu pia alikataza kuitwa Kristo: Ndipo alipowakataza wanafunzi wake wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ndiye Kristo. (Mathayo 16:20). Hivyo Wakristo ambao wanatangaza kwamba Yesu ndiye Kristo ni Madajjal (Ant Christ).

7. Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu. (Mathayo 10:35, Luka 14:26, 12:51, 5:2)

Hivyo Wakristo ambao wanapenda amani wala hawatumii upanga ni Madajjal (Anti Christ)
 
Back
Top Bottom