Rais Buhari ni mtu mdini ambaye ataizamisha Nigeria, ni suala la muda tu

Rais Buhari ni mtu mdini ambaye ataizamisha Nigeria, ni suala la muda tu

Kwa pande zote zilikuwa zinalazimishwa. Kuna nyingine kuhusu "Spain Inquistion" ulitendeka umafia kwa waislamu na wayahudi.
Pia, kuna mgogoro mkubwa kati ya "Catholics" na "Protestants" ndani ya North Ireland hadi leo. Taarifa hizi huwa haziwekwi kwenye vichwa vya habari vikubwa.
Hao wenyewe mnaowaita mitume na manabii walikua wanawalazimisha watu kwa nguvu kuamini mapokeo yao.Kwa mfano dini za kikirsto na kiislamu ukiwa mfuasi hautakiwi kuhoji na ukihoji wanasema unafanya kufuru.
 
sasa kama unaona kuna propaganda, kwani uislam una nini cha maana zaidi ya kuwa ni utamaduni wa muarabu? Muafrika ni muhanga tu kwa hao wazungu na waarabu. Bora hao wajapani na wakorea wana miungu yao.muafrika anashabikia miungu ya kigeni huku akiacha Mungu wake. Yaani amekuwa brainwashed. Hayo madini waachiwe wenyewe
Kwa kifupi muafrika ni KIHIYO
 
N
uepo kama Compore na hata huyu aliyepindua serikali iliyopita.Majina ya kifaransa yasikuchanganye mkuu.
Nisaidie kujua kuwa campaore ni muislam,nimejitahid kutafuta nimeshindwa,Mimi nilimsikia ripota wa aljazeera akitaja Hilo tatizo akielezea ugaidi wa Burkina Faso
 
Hao wenyewe mnaowaita mitume na manabii walikua wanawalazimisha watu kwa nguvu kuamini mapokeo yao.Kwa mfano dini za kikirsto na kiislamu ukiwa mfuasi hautakiwi kuhoji na ukihoji wanasema unafanya kufuru.
Labda ukiristo ndiyo hawahoji,uislam kule watu wanahoji na ukienda kinyume na maandiko unatolewa uongozi na haya kuswalisha huswalishi,sheikh kiumbe alikoswa header msikitini baada ya kufosi kuswalisha
 
tena hao wanigeria wanatia aibu sana, wanaukumbatia uislam kuliko waislam wenyewe wa mashariki ya kati, wanauana wenyewe kwa wenyewe kipumbavu kisa dini
Waafrika bhana yaani wanauana kwa tamaduni ya watu wengine.Wakati wenye tamaduni hiyo wanakula bata kwa pesa za mafuta na gesi
 
Kakudanganya nani!?..Jonathan ili ashinde ilibidi awe na mgombea mwenzangu muislam,Nigeria waislam ni wengi
Nigeria ina utaratibu wake waliojiwekea. Kama awamu hii Rais ni Muislamu kutoka Kaskazini ambako ndiko asilimia kubwa ni Waislamu, awamu inayofuata ni ya Mkristo ambao ni wengi zaidi kutoka Kusini mwa Nigeria. Na makamu huwa ni wa dini tofauti na Rais.
 
Wale wapuuzi sijui inakuaje wanastawi. Huwa naiona Nigeria kama moja ya nchi yenye jeshi dhaifu sana.
Boko Haraam wale wanafanya kile kinachoitwa vita ya kuviziana "guerilla war". Ni ngumu sana kupambana na jeshi la aina hiyo yaani ambalo haliko organized kama majeshi rasmi ya nchi yalivyo. US alikaa Afghanistan miaka 20 na bado hakuweza kuwamaliza Taleban. Je, utasema US alikuwa na jeshi dhaifu!?
 
Chuki dhidi ya UISLAM na WAISLAM itawamaliza nyie watu


Hata muuchukie UISLAM na WAISLAM hamtaweza kuwamaliza mtawaletea tu shida za hapa na pale

BOKO HARAM kundi la kigaidi linalojinasibisha na UISLAM na WAISLAM ambalo linafadhiliwa pakubwa sana na US ISRAEL EU na NATO

BUHARI sijakufatilia ila kama umechaguliwa na WANAIGERIA endelea kupiga kazi maneno hayajawahi kuisha midomoni mwa watu

MUNGU ibariki NIGERIA na BUHARI na WANAIGERIA wote kwaujumla wao

Sent using Jamii Forums mobile app
Si muda utadai hata Taleban anafadhiliwa pakubwa na hao uliowataja.
 
Nigeria ina utaratibu wake waliojiwekea. Kama awamu hii Rais ni Muislamu kutoka Kaskazini ambako ndiko asilimia kubwa ni Waislamu, awamu inayofuata ni ya Mkristo ambao ni wengi zaidi kutoka Kusini mwa Nigeria. Na makamu huwa ni wa dini tofauti na Rais.
Kwamba wakiristo ni wengi zaidi Nigeria au unamaanisha nini!?..suala la dini limekua likitumika kwenye uchaguzi Nigeria kiasi uchaguzi uliopita vijana wakasema (niliowaona tv) hawataki kudanganywa kupitia dini, Nigeria zaidi ya 50% ni waislam,huko kaskazini ndiko waarabu walikoingilia tokea kwao,na kusini hasa pwani wazungu waliiingilia huko na kufanya biashara ya utumwa,lakini overall Nigeria waislam ni wengi na mgombea mkiristo sharti awe na mwenza muislam bila hivyo hatoboi
 
Boko Haraam wale wanafanya kile kinachoitwa vita ya kuviziana "guerilla war". Ni ngumu sana kupambana na jeshi la aina hiyo yaani ambalo haliko organized kama majeshi rasmi ya nchi yalivyo. US alikaa Afghanistan miaka 20 na bado hakuweza kuwamaliza Taleban. Je, utasema US alikuwa na jeshi dhaifu!?
Anyway nashindwa kukubaliana wala kupingana nawe. Nachoweza kusema sitaki kuamini mfano hapa kwetu kama kunaweza kutokea kikundi kikawa mpaka na mamlaka ya kudhibiti baadhi ya maeneo na kutusumbua muda mrefu.

Ni wazi Nigeria kuna watu wa ndani ya serikali wanaunga mkono kinachofanywa na Boko Haram. Nina wasiwasi huenda Buhari anawaunga mkono pia. Kusema amesaidia kuwatuliza ni kwa sababu aliyeko madarakani ni mtu anayewaunga mkono.
 
Huu muda uliotumia kuchambua siasa za Nigeria ungetoa ushaur juu ya changamoto za nch yako Kama

Tozo

Mfumuko wa Bei

Kukatika kwa umeme

Ukosefu wa ajira nadhan nchi ingekuwa mbali Sana

Halafu tambua mchakato wa kumpata mgombea n wa wanachama sio wa Rais Buhari

TUHESHIMU DEMOKRASIA ZA WENZETU
Hili jukwaa la kimataifa. Haya uliyopendekeza kayaanzishie uzi kwenye jukwaa la siasa kule, tutakuja kuchangia.
 
Hili jukwaa la kimataifa. Haya uliyopendekeza kayaanzisha uzi kwenye jukwaa la siasa kule, tutakuja kuchangia.
Huwa nashindwa kuelewa watu ni kwamba huwa wanakurupa au ndiyo tabia ya watanzania kutopenda kusoma. Mtu hajui hata maana ya kuwa na majukwaa tofautitofauti.

Achana naye ni mjinga mmoja.
 
Central Africa ni majority christians halafu haipo Western Africa ipo Central Africa na DR Congo, Gabon, Congo Brazaville, Rwanda na Burundi ambazo kwa Sasa zimehamia East Africa.
Zimehama kisiasa na wala sio geographically.
 
Back
Top Bottom