Ghana wanafina hata 25m nchi nzima!?.. Cameroon!?...Nigeria Ina watu 200+m,zaidi ya nusu waislam,hiyo ni zaidi ya 100m,ambapo population za hizo nchi ulizotaja hazifikiiGogo, ivory coast, cameroon,equ guinea,nk majority ni wakatolic na protestant
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ghana wanafina hata 25m nchi nzima!?.. Cameroon!?...Nigeria Ina watu 200+m,zaidi ya nusu waislam,hiyo ni zaidi ya 100m,ambapo population za hizo nchi ulizotaja hazifikiiGogo, ivory coast, cameroon,equ guinea,nk majority ni wakatolic na protestant
huku nako upo ukipinga ukristo, kazi unayoWapi imeandikwa katika biblia ukristo ni dini
Duuh!!Wale Wana support ya majenerali ndani ya jeshi na wanawana
huku nako upo ukipinga ukristo, kazi unayo
Mchawi si lazima apae na ungo Chifu, Wapumbavu kama hao huwa sijibizani nao kabisa tena huwa napita kimya kimya nimuache na upumbavu wake.Wewe unamtaja mungu afu unaiita binadamu wenzio jitu?????Upo serious kweli na huyo mungu au umemgeuza shemeji yako???
Jana alivurugwa mpaka akahisiGavana na Professional Driver ni ID ya mtu mmoja.Wapi napinga? Nielimishe wapi kwenye biblia imeandikwa ukristo ni dini?
😛😛😛Jana alivurugwa mpaka akahisiGavana na Professional Driver ni ID ya mtu mmoja.
Allahu atie nuru kwa LOTH HEMA
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kama utani, wakristo naijeria wanapukutika kwa kasi sana.Population kubwa ya Nigeria ni wakristo, hilo anajidanganya
Blaahblaah tu,wanaenezaje!?Nigeria ilashaanguka tangu iliporuhusu matumizi ya sharia kwenye baadhi ya majimbo yao. Walipandikiza kasa, kuindoa ni shughuli pevu. Ndio maana kuna kitu kinaitwa azimio la abuja linalohusu nchi za afrika zinazoamini dini hiyo. Makao makuu yako abuja huko nigeria. Yaani nigeria ni kinara wa kueneza dini hiyo barani afrika
huoni udini nchini humo? Ile nchi kuruhusu matumizi ya sharia isingeishia hapo tu ingeenea afrika nzima. Africa would be islamizedBlaahblaah tu,wanaenezaje!?
naona mmeni tag, nipo, kwenye ule uzi nimekuambia tulia nijikoki nishibe nondo, nasoma nije nikusambaratishe kwa hoja maridhiwa sijakimbia. Nataka vijana wa kiislam muwe na akili safiJana alivurugwa mpaka akahisiGavana na Professional Driver ni ID ya mtu mmoja.
Allahu atie nuru kwa LOTH HEMA
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
naona mmeni tag, nipo, kwenye ule uzi nimekuambia tulia nijikoki nishibe nondo, nasoma nije nikusambaratishe kwa hoja maridhiwa sijakimbia. Nataka vijana wa kiislam muwe na akili safiJana alivurugwa mpaka akahisiGavana na Professional Driver ni ID ya mtu mmoja.
Allahu atie nuru kwa LOTH HEMA
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sawa kijana kikubwa tuelimishane tu tafuta nondonaona mmeni tag, nipo, kwenye ule uzi nimekuambia tulia nijikoki nishibe nondo, nasoma nije nikusambaratishe kwa hoja maridhiwa sijakimbia. Nataka vijana wa kiislam muwe na akili safi
Mkuu kutokana na ukosefu wa usalama ndiyo maana wakristo hawapo maeneo ya kaskazini. Muslim kasikazini wanamaisha magumu balaa.Nimefika NIGERIA mwaka Jana tu hapo, WAISLAM ni wengi kuliko WAKRISTO, Mbaya zaidi, ni Nadra kukuta Wakristo upande wa Kaskazini ila ni rahisi kukuta Waislam upande wa Kusini.
Usijidanganye kabisa kuhusu hilo.