Nyakati zote Nigeria na nchi nyingi za west Africa waislam ni wengi,west Africa 75% ni waislamSio kweli, Waislamu wanazaliana kwa wingi zaidi na sasa Nigeria ina Waislamu wengi kuliko Wakristo
Jaribu ku Google
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyakati zote Nigeria na nchi nyingi za west Africa waislam ni wengi,west Africa 75% ni waislamSio kweli, Waislamu wanazaliana kwa wingi zaidi na sasa Nigeria ina Waislamu wengi kuliko Wakristo
Jaribu ku Google
Population kubwa ya Nigeria ni wakristo, hilo anajidanganya
Mh. Afadhali sisi tuliomba Mungu akatuondolea lile jitu lililokuwa linapanda chuki kwenye taifa letu
Udini unakusumbua sana
Nadhani wako nusu kwa nusu.
Lakini alicho kisema huyo mtoa mada hakina mashiko maana Buhari anapendwa na watu wa dini zote kutokana na kuweza kuwadhibiti boko Haram.
NOTEDHuwajui fulani yoruba na hausa wewe
Wale wapuuzi sijui inakuaje wanastawi. Huwa naiona Nigeria kama moja ya nchi yenye jeshi dhaifu sana.
Nimefika NIGERIA mwaka Jana tu hapo, WAISLAM ni wengi kuliko WAKRISTO, Mbaya zaidi, ni Nadra kukuta Wakristo upande wa Kaskazini ila ni rahisi kukuta Waislam upande wa Kusini.Population kubwa ya Nigeria ni wakristo, hilo anajidanganya
Nigeria wana utaratibu wao kuwa WAGOMBEA LAZIMA WAWE MCHANGANYIKO, KAMA MGOMBEA URAIS NI MKRISTO BASI MAKAMU WAKE NI MUISLAM NA KINYUME CHAKE.Kakudanganya nani!?..Jonathan ili ashinde ilibidi awe na mgombea mwenzangu muislam,Nigeria waislam ni wengi
Sio kweli, kuna nchi kama Ghana utasema ina waislam wengi?Nyakati zote Nigeria na nchi nyingi za west Africa waislam ni wengi,west Africa 75% ni waislam
Dini ya mabikra 72 mkuuBoko haram ni wa dini gani?
Imeandikwa kwenye Qur'an.Wapi imeandikwa katika biblia ukristo ni dini
Ghana, Cameroon, Ivory Coast (50/50) hizo nchi wakristo ni wengi.Sio kweli, kuna nchi kama Ghana utasema ina waislam wengi?
Nyakati zote Nigeria na nchi nyingi za west Africa waislam ni wengi,west Africa 75% ni waislam
Huko uislam umeingia Karne ya 9,wakati ukiristo umeingia na utumwa karne 5 baadae,Cameroon Sina hakika na demography yakeHow about cameroon,coted divorce ghana, togo and others
Kinachokusukuma kudhani Ghana Haina waislam wengi ni nini!?Sio kweli, kuna nchi kama Ghana utasema ina waislam wengi?
Lete ushahidiImeandikwa kwenye Qur'an.