Rais Buhari ni mtu mdini ambaye ataizamisha Nigeria, ni suala la muda tu

Rais Buhari ni mtu mdini ambaye ataizamisha Nigeria, ni suala la muda tu

Nigeria wana utaratibu wao kuwa WAGOMBEA LAZIMA WAWE MCHANGANYIKO, KAMA MGOMBEA URAIS NI MKRISTO BASI MAKAMU WAKE NI MUISLAM NA KINYUME CHAKE.
Siyo utaratibu rasmi Bali ili ushinde na Kama si muislam basi uwe na mgombea mwenzangu muislam bila hivyo hutoboi
 
Nimefika NIGERIA mwaka Jana tu hapo, WAISLAM ni wengi kuliko WAKRISTO, Mbaya zaidi, ni Nadra kukuta Wakristo upande wa Kaskazini ila ni rahisi kukuta Waislam upande wa Kusini.
Usijidanganye kabisa kuhusu hilo.
Correct! KASKAZINI SI KUNA KATA KICHWA ie SHARIA law.
 
Kwann unatumia sentence nchi zote za Africa magharibi majority ni slamia
Huko uislam umeingia Karne ya 9,wakati ukiristo umeingia na utumwa karne 5 baadae,Cameroon Sina hakika na demography yake
 
Huu muda uliotumia kuchambua siasa za Nigeria ungetoa ushaur juu ya changamoto za nch yako Kama

Tozo

Mfumuko wa Bei

Kukatika kwa umeme

Ukosefu wa ajira nadhan nchi ingekuwa mbali Sana

Halafu tambua mchakato wa kumpata mgombea n wa wanachama sio wa Rais Buhari

TUHESHIMU DEMOKRASIA ZA WENZETU
 
Buhari ametumia miaka yote serkalini kujaribu kuifanya nchi ya nigeria iwe na utamaduni wa mashariki ya kati.

Nigeria inafanya uchaguzi hivi karibuni na kwa makusudi amempa mwislamu mwenzake amrithi ili kukamilisha mpango wao mchafu wa muda mrefu.

Ikumbukwe lile kundi la kigaidi la boko haram linalapigania dini linaungwa mkono na wanasiasa na wanasiasa wanaonyoshewa mkono ni huyu buhari.

Ndio maana alipoingia madarakani boko haram ni km walufutika ila wakati yupo mtangulizi wake Jonathan, Boko Haram ilikaribia kuangusha serikali, wanasiasa hawa wanapokea mapesa kutoka iran na nchi nyingine za kiislam kuwaumiza wasio wasio Waislam.

Kule nigeria kuna majinmbo yenye waislam wengi haya majimbo wakristo wanateswa na kuchinjwa nyumba zao za ibada zinachomwa moto na boko haram ila bwana buhari ni kama haoni.

Hii imepelekea Rais mstaafu wa nchi hiyo olusagani obasanjo kujitenga na huyu mharibifu wa nchi buhari na kuzusha uhasama kati yao.

Huu ni mwanzo tu wa kuanguka kwa nchi ya Nigeria
Nchi ya Nigeria imepasuka na itaendelea kupasuka.
Umeandika uzandiki tu, halafu matatizo ya Nigeria hayakuletwa na Buhari kama unavyopotosha ila ameyarithi tu kama walivyoyarithi kina Obasanjo.

Kuhusu bokoharam, ni wakati huu wa Buhari kundi hilo limerudishwa nyuma na kupoteza maeneo isipokuwa changamoto ya magenge ya utekaji (bandits), Iswap ndio yanachangia amani kuzorota, Buhari kajitahidi mno kulivunja nguvu bokoharam.

Nigeria watamchagua wanayemtaka wala Buhari hawezi kuwachagulia Rais.
 
Huu muda uliotumia kuchambua siasa za Nigeria ungetoa ushaur juu ya changamoto za nch yako Kama

Tozo

Mfumuko wa Bei

Kukatika kwa umeme

Ukosefu wa ajira nadhan nchi ingekuwa mbali Sana

Halafu tambua mchakato wa kumpata mgombea n wa wanachama sio wa Rais Buhari

TUHESHIMU DEMOKRASIA ZA WENZETU
MUCH RESPECT KAKA! 👍🏾🙌🏾🙏🏾
 
Chuki dhidi ya UISLAM na WAISLAM itawamaliza nyie watu


Hata muuchukie UISLAM na WAISLAM hamtaweza kuwamaliza mtawaletea tu shida za hapa na pale

BOKO HARAM kundi la kigaidi linalojinasibisha na UISLAM na WAISLAM ambalo linafadhiliwa pakubwa sana na US ISRAEL EU na NATO

BUHARI sijakufatilia ila kama umechaguliwa na WANAIGERIA endelea kupiga kazi maneno hayajawahi kuisha midomoni mwa watu

MUNGU ibariki NIGERIA na BUHARI na WANAIGERIA wote kwaujumla wao

Sent using Jamii Forums mobile app
Umetisha sana bwana utam... hakika point na maoni yako ni matam kama kisheti 👍🏾
 
Buhari ananyoshewa mkono kuwa ni moja ya wafadhili wa boko Haram na wakati wake wakiwa madarakani wametulia sio kwamba wamethibitiwa
Umeandika uzandiki tu, halafu matatizo ya Nigeria hayakuletwa na Buhari kama unavyopotosha ila ameyarithi tu kama walivyoyarithi kina Obasanjo.

Kuhusu bokoharam, ni wakati huu wa Buhari kundi hilo limerudishwa nyuma na kupoteza maeneo isipokuwa changamoto ya magenge ya utekaji (bandits), Iswap ndio yanachangia amani kuzorota, Buhari kajitahidi mno kulivunja nguvu bokoharam.

Nigeria watamchagua wanayemtaka wala Buhari hawezi kuwachagulia Rais.
 
Buhari ametumia miaka yote serkalini kujaribu kuifanya nchi ya nigeria iwe na utamaduni wa mashariki ya kati.

Nigeria inafanya uchaguzi hivi karibuni na kwa makusudi amempa mwislamu mwenzake amrithi ili kukamilisha mpango wao mchafu wa muda mrefu.

Ikumbukwe lile kundi la kigaidi la boko haram linalapigania dini linaungwa mkono na wanasiasa na wanasiasa wanaonyoshewa mkono ni huyu buhari.
Hatuna namna ya kuwasaidia Nigeria maana sisi wenyewe changamoto mpya nyingi kila siku
 
Buhari ananyoshewa mkono kuwa ni moja ya wafadhili wa boko Haram na wakati wake wakiwa madarakani wametulia sio kwamba wamethibitiwa
Mkono hata IRAQ alinyooshewa kua anasilaha za SUMU lakini hakua nazo

Wanaomnyooshea mkono waje na ushahidi sio tu shutma

MUHAMADUU BUHARI piga kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Buhari ametumia miaka yote serkalini kujaribu kuifanya nchi ya nigeria iwe na utamaduni wa mashariki ya kati.

Nigeria inafanya uchaguzi hivi karibuni na kwa makusudi amempa mwislamu mwenzake amrithi ili kukamilisha mpango wao mchafu wa muda mrefu.

Ikumbukwe lile kundi la kigaidi la boko haram linalapigania dini linaungwa mkono na wanasiasa na wanasiasa wanaonyoshewa mkono ni huyu buhari.

Ndio maana alipoingia madarakani boko haram ni km walufutika ila wakati yupo mtangulizi wake Jonathan, Boko Haram ilikaribia kuangusha serikali, wanasiasa hawa wanapokea mapesa kutoka iran na nchi nyingine za kiislam kuwaumiza wasio wasio Waislam.

Kule nigeria kuna majinmbo yenye waislam wengi haya majimbo wakristo wanateswa na kuchinjwa nyumba zao za ibada zinachomwa moto na boko haram ila bwana buhari ni kama haoni.

Hii imepelekea Rais mstaafu wa nchi hiyo olusagani obasanjo kujitenga na huyu mharibifu wa nchi buhari na kuzusha uhasama kati yao.

Huu ni mwanzo tu wa kuanguka kwa nchi ya Nigeria
Nchi ya Nigeria imepasuka na itaendelea kupasuka.
Chuki yenu dhidi ya uislam ni kubwa na kidogo ktk chuki zenu ndo mnadhihirisha , ila yaliyoko nyoyoni mwenu ni makubwa zaidi. Hamlali ila mnawaza ni namna gan mtaufuta uislam dunian but hamtaweza
 
Wanajitambulisha km waislam ambao wanatumia silaha za kimarekan,magar ya kijapan na pikipik za kichina.

Wakijisikia hamu ya kugonga wanavamia shule na kuteka mabint wabichiiiiiiii ili kukidh haja zao.
Sasa km wanatumia magari ya kimarekan, japan na china huoni km hayo mataifa ndo wafadhiri wao km ilivo IS ni kundi la mmarekan na magharibi? Akili ongee
 
Back
Top Bottom