Rais Dkt. Hussein Mwinyi kumuwakilisha Rais Samia Suluhu kwenye mkutano wa Wakuu wa nchi SADC

Rais Dkt. Hussein Mwinyi kumuwakilisha Rais Samia Suluhu kwenye mkutano wa Wakuu wa nchi SADC

8 April 2021
Maputo, Mozambique

SADC to deploy technical mission


SADC leaders have concluded their extraordinary summit on terrorism in northern Mozambique. They've agreed a regional response is needed and are planning a technical deployment to Mozambique. The Mozambican president condemned attacks in Cabo Delgado province, and says security will be intensified. Professor Adriano Nuvunga from Maputo is director of the Mozambique Centre for Democracy and Development and gave reaction to developments there

Source : eNCA
 
Pili: Ndio Raisi Mwinyi anawajibika kuripoti kwa Samia, Samia ndiye mkuu wa nchi/raisi wa nchi
Ikiwa kama Rais, hawajibiki kwa Samia Suluhu, Urais wa Zanzibar sio jambo la Muungano. Labda akiwa ameenda kama mjumbe wa baraza la mawaziri wa JMT
 
Hakuna tatizo. Hata JPM alikuwa anamtuma JK na Mkapa kwenye vikao vya nje wakati Makamu wake yupo. Rais anaweza tuma yeyote hata wewe.

Pamoja na mengine, kikao kitajadili issue ya magaidi wa Msumbiji, Rais Mwinyi ni mtu sahihi coz alikuwa Waziri wa Ulinzi na mara kadhaa majeshi yetu yamepambana na hao waasi na kuwafurusha.
Na ameenda na waziri wa Ulinzi pia ukiangalia hapo kuna hoja waziri aliyetoka ambaye ni Mwinyi na waziri mpya
 
Ndugu zangu!

Hebu tupeane ilimu kidogo. Kwenye mkutano wa SADC inasemekana Rais wetu atawakilishwa na Rais wa Zanzibar, Dr Hussein Mwinyi.

Hii ikoje kiitifaki?

Rais wa Mwinyi anawajibika kuripoti kwa Samia?

Huko SADC Zanzibar ni nchi mwanachama?

Maswali ni mengi, karibuni tujadili.
Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar ipo kwa mujibu wa sura ya nne ya katiba ya Tanzania ya 1977 na inafanya kazi kwa mujibuu wa katiba hiyo na katiba ya Zanzibar. Aidha kwa mujibu wa ibara yab 54 ya katiba ya Tanzania, Rais wa Zanzibar ni mjumbe wa baraza la mawaziri la Jamhuri ya Muungano.
 
Ndugu zangu!

Hebu tupeane ilimu kidogo. Kwenye mkutano wa SADC inasemekana Rais wetu atawakilishwa na Rais wa Zanzibar, Dr Hussein Mwinyi.

Hii ikoje kiitifaki?

Rais wa Mwinyi anawajibika kuripoti kwa Samia?

Huko SADC Zanzibar ni nchi mwanachama?

Maswali ni mengi, karibuni tujadili.
Zanzibar ni sehemu ya Muungano kwa hiyo kutuwakilisha Mwinyi ni sawa kabisa na isitoshe Mwinyi ni Mtanzania,yale atakayopata na kuyafanya kwennye mkutano ni ya kwa manufaa ya Tanzania,kwa hilo anza kufikiria mambo ya maana kuuliza au kukosoa.
 
Halina Mashaka hilo Kwani Katiba yetu Chapter 2 Article 4 Inaeleza

"4) Subject to the other provisions of this Constitution, the authority of the Government of the United Republic shall be exercised by either the President himself or by delegation of such authority to other persons holding office in the service of the United Republic. "

Hii inampa nguvu Mh. Rais kufanya mwenyewe au kuteua Mtu yeyote anayehudumu katika serikali ya Jamhuri ya Muungano Kumuwakilisha katika Masuala yoyote ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano anayoona yanafaa.

Hivyo, Binafsi sioni kama kakosea, ukizingatia hajamchagua Mtu Bubusa, Aliyemchagua ni mtu mwenye Uwezo wa kuyakabili yale aliyochaguliwa kumuwakilisha Mh. Rais kwayo.

Dr. Mwinyi alihudumu kama Waziri wa Nchi na Muungano kwa Miaka Miwili 2006-08

Akawa Waziri wa Nchi na Mambo ya Ndani kwa miaka Sita 2014-20

Uzoefu katika Wizara hizi nyeti unampa Nafasi ya kumuwakilisha vyema Mh. Rais katika Mkutano huo wenye lengo la Kujadili Kitisho cha Amani nchini Msumbiji.
 

Attachments

Mimi ni tofauti huyo Swahiba wako, fisadi lilojificha ndani ya uzalendo
Wote mpo sawa yeye alikuwa anaamini Mungu kaondoa corona na wewe unaamini Mungu kamuondoa Jiwe kwa ajiri yenu.

Hamna tofauti.
 
Naamini hii movie ilianzia Mozambique lakini kwa sehemu kubwa mmarekani alihusika na Nia kubwa ilikuwa kumstabilize jiwe....

Sasa jiwe kafariki kazi imeisha....

Lakini kazi haiishi bure bure ule Ni uwekezaji wakubwa wamefanya....

Lazima wawakutanishe wakuu wa nchi husika Kama walivyofanya...Kisha watawauzia technologies ilinkisaidia kuwaondoa wale Kule nampula de galdo.....

Ni Mimi mwana KICHWA CHA MWENDAWAZIMU
 
Back
Top Bottom