Rais Dkt. Hussein Mwinyi kumuwakilisha Rais Samia Suluhu kwenye mkutano wa Wakuu wa nchi SADC

Rais Dkt. Hussein Mwinyi kumuwakilisha Rais Samia Suluhu kwenye mkutano wa Wakuu wa nchi SADC

Angefika 2025 nchi yetu ingekuwa zaidi ya Zaire ya Mobutu Sese seko, lakini tunamshukuru Mungu kwa aliyoyatenda.
Huna tofauti na Magufuli aliyekuwa anaamini corona itaondoka kwa kuomba Mungu.
 
CAG: kuna ndege tangu 2015 zipo grounded hadi leo .
 
Ndugu zangu!

Hebu tupeane ilimu kidogo. Kwenye mkutano wa SADC inasemekana Rais wetu atawakilishwa na Rais wa Zanzibar, Dr Hussein Mwinyi.

Hii ikoje kiitifaki?

Rais wa Mwinyi anawajibika kuripoti kwa Samia?

Huko SADC Zanzibar ni nchi mwanachama?

Maswali ni mengi, karibuni tujadili.
Mosi: Zanzibar si mwanachama wa SADC na si nchi

Pili: Ndio Raisi Mwinyi anawajibika kuripoti kwa Samia, Samia ndiye mkuu wa nchi/raisi wa nchi

Tatu: Hiyo ni dalili ya Zanzibar kupendelewa sana katika uongozi wa Mzanzibari Samia, watanganyika poleni
 
Huyo Mwinyi kawakilisha mara ngapi huko nje? hata Shein alikuwa anamwakilisha mwendazake ingawaje haikuwa mara kwa mara..
 
Ndugu zangu!

Hebu tupeane ilimu kidogo. Kwenye mkutano wa SADC inasemekana Rais wetu atawakilishwa na Rais wa Zanzibar, Dr Hussein Mwinyi.

Hii ikoje kiitifaki?

Rais wa Mwinyi anawajibika kuripoti kwa Samia?

Huko SADC Zanzibar ni nchi mwanachama?

Maswali ni mengi, karibuni tujadili.
Kasome Uraia
 
April 8, 2021
Maputo, Mozambique

SADC Double Troika Session address by President of Mozambique


Source: GovernmentZA
 
08 April 2021
Maputo, Mozambique

SADC Troika Opening Session in Maputo chaired by the President of Botswana


Source : GovernmentZA
 
I

Limekaa vizuri tu, tena Lima afya na linaleta taswira nzuri mno kwenye JAMII ya kimataifa.
Kimsimgi, Rais Wa Jamhuri ya Tanzania amaweza kumtuma raia yeyote ndani ya mipaka ya Jamhuri ya muungano Wa Tanzania!! Hapo ni credit kwa mama!!

Huna hoja, kwamba Rais Mwinyi ni 'raia' yeyote!
 
Mbona poa tu... Kwenye serikali ya JMT yeye ni mjumbe wa baraza la mawaziri... So katumiwa kama mjumbe kwenda kumwakilisha Mama... Labda kama una lako la moyoni na wazanzibari

Ni wapi nimetaja Wazanzibari?
 
Back
Top Bottom