UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Huna tofauti na Magufuli aliyekuwa anaamini corona itaondoka kwa kuomba Mungu.Angefika 2025 nchi yetu ingekuwa zaidi ya Zaire ya Mobutu Sese seko, lakini tunamshukuru Mungu kwa aliyoyatenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna tofauti na Magufuli aliyekuwa anaamini corona itaondoka kwa kuomba Mungu.Angefika 2025 nchi yetu ingekuwa zaidi ya Zaire ya Mobutu Sese seko, lakini tunamshukuru Mungu kwa aliyoyatenda.
Wazenji walikuwa hawaibi sana rasilimali za taifa laoYeye Mwinyi habadirishi safu ya uongozi?
hawana cha kuibaWazenji walikuwa hawaibi sana rasilimali za taifa lao
Zanzibar hakuna majizi kama bara kupitia MATAGA wa lumumbaKwani Zanzibar kuna mabadiliko?
Mosi: Zanzibar si mwanachama wa SADC na si nchiNdugu zangu!
Hebu tupeane ilimu kidogo. Kwenye mkutano wa SADC inasemekana Rais wetu atawakilishwa na Rais wa Zanzibar, Dr Hussein Mwinyi.
Hii ikoje kiitifaki?
Rais wa Mwinyi anawajibika kuripoti kwa Samia?
Huko SADC Zanzibar ni nchi mwanachama?
Maswali ni mengi, karibuni tujadili.
Kasome UraiaNdugu zangu!
Hebu tupeane ilimu kidogo. Kwenye mkutano wa SADC inasemekana Rais wetu atawakilishwa na Rais wa Zanzibar, Dr Hussein Mwinyi.
Hii ikoje kiitifaki?
Rais wa Mwinyi anawajibika kuripoti kwa Samia?
Huko SADC Zanzibar ni nchi mwanachama?
Maswali ni mengi, karibuni tujadili.
I
Limekaa vizuri tu, tena Lima afya na linaleta taswira nzuri mno kwenye JAMII ya kimataifa.
Kimsimgi, Rais Wa Jamhuri ya Tanzania amaweza kumtuma raia yeyote ndani ya mipaka ya Jamhuri ya muungano Wa Tanzania!! Hapo ni credit kwa mama!!
Kasome Uraia
Huyo Mwinyi kawakilisha mara ngapi huko nje? hata Shein alikuwa anamwakilisha mwendazake ingawaje haikuwa mara kwa mara..
Wewe vya kwako viko wapi..Weka vielelezo, acha hisia.
Kwa kweli, Mwenyezi Mungu ametuweza. Mara ghafla paaaa nchi iko mikononi mwa wazanzibar.
Tokea liniHujui rais wa Zanzibar Ni makamo kwenye serikali ya JMT!!!!?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mbona poa tu... Kwenye serikali ya JMT yeye ni mjumbe wa baraza la mawaziri... So katumiwa kama mjumbe kwenda kumwakilisha Mama... Labda kama una lako la moyoni na wazanzibari