Rais Dkt. Hussein Mwinyi kumuwakilisha Rais Samia Suluhu kwenye mkutano wa Wakuu wa nchi SADC

Rais Dkt. Hussein Mwinyi kumuwakilisha Rais Samia Suluhu kwenye mkutano wa Wakuu wa nchi SADC

Kwenye serikali ya Tanzania au Tanganyika?

KWA sababu hii ni serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania,mwinyi ni part and parcel of serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na anaingia kama mjumbe wa baraza la mawazir,

Kuna shida gan kumwakilisha RAIS wa jamhuri ya muungano wa Tanzania??

RAIS,ana washaur hawez kufanya mambo KWA kukurupuka tuh
Hata kama Mwinyi ni ni part and parcel ya JMT ..... narudia kusema Mwinyi hana wadhifa wowote kwenye serikali ya JMT.

Hao washauri unaowasema mbona wamekosea mara nyingi tu .... pia inawezekana hawakuwa consulted.
 
Ajenda ya huo mkutano inaweza ikawa sababu ya mama kumtuma Mwinyi ,japo angeweza kumtuma hata H.Pole Pole maana huo ni uwakilishi tu.
🤔🤔🤔
 
Acha uboya we jinga
Huyu tunajua anajua kuongea english
Yule alikuwa hajui kuongea english
Sasa huyukilichomfanya asiende ni nini na english anajua
Acha upimbi chapa kazi😅
 
Akienda kwenye mkutano,anaenda kama mwakilishi wa Rais wa Tanzania,haendi kama Rais wa Znz....

Mhe Samia angeweza kumtuma yeyote aende kumwakilisha either awe madarakani au asiwe madarakani

Mfano the late JPM alishawahi kumtuma mzee Mkapa na Mzee kikwete mara nyingi waende kumwakilisha.

Uwakilishi is not a big deal.

Hapa nimeona mantiki ya kumpeleka Rais Mwinyi kutokana na uzoefu wake hasa katika issues za border baina ya Tz na Mozambique.

Makamo Mpango bado hajamalizia kusoma mafaili hebu tulieni.
 
Kwani Rais wa Zanzibar ana cheo/wadhifa gani katika serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania kama isemavyo katiba...???
Na kama katiba inamtambua katika serikali ya Muungano basi ni haki yake kuagizwa kwenda huko

Ni mjumbe wa Baraza la Mawaziri
 
Mmeanza,wengine hamkawii kusema kwamba kampa nafas ya kwenda kuwakilisha mwinyi KWA kuwa ni Muislam wenzake,hamna jema nyinyi..!!

Ila poa tuh,tutaenda hivyo hivyo mtake msitake
Hapana tunataka tufahamu nafasi ya Rais wa Zanzibar katika serikali ya muungano kwa sababu katiba iko kimya! Je ni namba 3 au 4?
 
Mwinyi hana kazi za kufanya huko Znz? au ndio wameanza kufanya kazi kishkaji hawa waswahili?

Kwani Dr. Mpango ana kazi gani? naona hii nchi sasa inaanza kujiendea tu kama gari bovu mtaroni.
Dr mpango ni mgonjwa
 
Afadhali umetoa agenda ya mkutano, sasa hapa makamo mwenye umri wa wiki moja angechangia nini?

Mpeni time asome mafaili baadae atakwenda.
 
Hata Kiswahili chake kilikuwa extremely raw! Ilikuwa tabu juu ya tabu
Hata nyie mnaomsimanga JPM kuhusu lugha bado na nyie mpo low badala ya raw! Nyani haoni mkundu wake (kundule). After all, tunachohitaji ni maendeleo 😀 😀 😀
 
Nahisi ajenda kuu ya kikao hiki itakuwa ni hali ya usalama Msumbiji. Kwa vile Rais wa Zanzibar alikuwa waziri wa ulinzi kwa muda mrefu anaweza kuwa amekaa vizuri kuliko VP wa sasa kutolea maelezo ya serikali ya JMT kuhusu ugaidi unaoendelea Msumbiji na ambao unanyemelea hapa kwetu.

Amandla....
 
Back
Top Bottom