Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Kwa Kweli Unaweza kushangaa hata Ikulu ya Samia inahamia Zenji.Kwa kweli, Mwenyezi Mungu ametuweza. Mara ghafla paaaa nchi iko mikononi mwa wazanzibar.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Kweli Unaweza kushangaa hata Ikulu ya Samia inahamia Zenji.Kwa kweli, Mwenyezi Mungu ametuweza. Mara ghafla paaaa nchi iko mikononi mwa wazanzibar.
Kwani hujui kuwa wanapimwa Covid-19 kabla hawajaruhusiwa kuingia kwenye ukumbi wa mkutano?Makamu wa rais hayupo, au sarakasi ndo zimeanza mapema..
Kwani hujui kuwa wanapimwa Covid-19 kabla hawajaruhusiwa kuingia kwenye ukumbi wa mkutano?
Ni mjumbe wa Baraza la Mawaziri la JMT.Kwani Rais wa Zanzibar ana cheo/wadhifa gani katika serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania kama isemavyo katiba...???
Na kama katiba inamtambua katika serikali ya Muungano basi ni haki yake kuagizwa kwenda huko
Rais wa Zanzibar ni mjumbe wa baraza la mawaziri la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Sawa, lakini Mwinyi ni mkuu wa serikali ya Zanzibar ambayo si mwanachama wa SADCC. Kama alitaka kumtuma mzanzibari wapo wengi tu kwenye serikali ya muungano.
Kamba kaachiwa ndefu sana naona akienda kujinyonga mwenyewe.
Hajajua hata itifaki wacha ajifunze kwanza , na tumuanzishie safari za Burundi na Rwanda hapoMakamu wa rais hayupo, au sarakasi ndo zimeanza mapema..
Katiba ya jamhuri ya muungano inamtambua rais wa Zanzibar kama waziri ndio maana akiapa inabidi akiingia kwenye serikali ya muungano kama mjumbe wa baraza la mawaziriWaziri wa nini ?
Mlikuwa mnawakilishwa na Prof wa Jalalani na ilikuwa sawa tu. Mwinyi kuwakilisha ni sawa.Mwinyi hana kazi za kufanya huko Znz? au ndio wameanza kufanya kazi kishkaji hawa waswahili?
Kwani Dr. Mpango ana kazi gani? naona hii nchi sasa inaanza kujiendea tu kama gari bovu mtaroni.
Bado ana kazi ya kuwazengua maRC na maDCHayo yote nimekubali
Swali ni kwanini hajaenda mwenyewe?
Au anaanza kuwa paranoid of coup d'etat kama mwendazake?
Acha uboya we jingaAngeenda pia mngelalamika.
I think wewe umejibu sahihi 💯. Ila nimefurahi anafuata utaalamu.Huyu alikuwa waziri wa ulinzi wa JMT kumbuka na wanalokwenda kulizungumza ni usalama wa ukanda huu, mi sioni tatizo
Watu mna nogwa ninyi.Anaanza kupita njia za jiwe
Kaanza kupandisha mabega huyu
Jiwe alimtuma Kinana, his language was very raw.
Alipigishwa magoti aombe msamaha, Yani hata msibani sijamsikia😃😃😃 hata mzee makamba sijamsikia kabisa naona walikunywa whisky siku hiyo balaa.Dah
Umetukumbusha mbali. Huyu mzee yupo kweli?
Iwepo vipi na sasa nchi tayari iko chini ya Mzanzibari? 😀Kwa kweli, Mwenyezi Mungu ametuweza. Mara ghafla paaaa nchi iko mikononi mwa wazanzibar.
Mpango anajikaza tu kwani ile corona iliyompiga huwa inaathiri ubongo pia!! Uroho wa cheo tu lakini Afya yake ni wanting!Kwani Dr. Mpango ana kazi gani? naona hii nchi sasa inaanza kujiendea tu kama gari bovu mtaroni.
Kwani Rais wa Zanzibar ana cheo/wadhifa gani katika serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania kama isemavyo katiba...???
Na kama katiba inamtambua katika serikali ya Muungano basi ni haki yake kuagizwa kwenda huko