Rais Dkt. Hussein Mwinyi kumuwakilisha Rais Samia Suluhu kwenye mkutano wa Wakuu wa nchi SADC

Rais Dkt. Hussein Mwinyi kumuwakilisha Rais Samia Suluhu kwenye mkutano wa Wakuu wa nchi SADC

Akienda kwenye mkutano,anaenda kama mwakilishi wa Rais wa Tanzania,haendi kama Rais wa Znz....

Mhe Samia angeweza kumtuma yeyote aende kumwakilisha either awe madarakani au asiwe madarakani

Mfano the late JPM alishawahi kumtuma mzee Mkapa na Mzee kikwete mara nyingi waende kumwakilisha.

Uwakilishi is not a big deal.
👍👍
 
Mwandiko wako sijaipenda.


Mjumbe wa baraza la mawaziri.
Je hairuhusiwi Rais wa JMT kumpa majukumu ya kimataifa mmoja wa wajumbe katika hilo baraza la mawaziri...??
 
Muungano gani huu hauna manufaa yoyote kwa yoyote. Ni kama tumejimilikisha jini lisilozalisha,linanyonya. Kwetu Watanganyika mpaka sasa huo muungano hauna maana yoyote. Nao kwao wazanzibar hauna maana pia. Tena nahisi tumerudisha nyuma sana. Wangekuwa mwenyewe wangekuwa mbali sana hao,maana hawana hizi janja janja za bara
JPM Aliapa kuulinda...kila Rais aliapa
 
Muungano gani huu hauna manufaa yoyote kwa yoyote. Ni kama tumejimilikisha jini lisilozalisha,linanyonya. Kwetu Watanganyika mpaka sasa huo muungano hauna maana yoyote. Nao kwao wazanzibar hauna maana pia. Tena nahisi tumerudisha nyuma sana. Wangekuwa mwenyewe wangekuwa mbali sana hao,maana hawana hizi janja janja za bara
Hivi budget ya bara huwa inaenda kutekelezwa zanzibar? kama haiendi sasa hao wabunge huwa wana kazi gani bungeni, kusema kweli huwa sielewi hapo.
 
Mwinyi hana kazi za kufanya huko Znz? au ndio wameanza kufanya kazi kishkaji hawa waswahili?

Kwani Dr. Mpango ana kazi gani? naona hii nchi sasa inaanza kujiendea tu kama gari bovu mtaroni.
Hivi hizi chuki za nini??
 
Mwinyi hana kazi za kufanya huko Znz? au ndio wameanza kufanya kazi kishkaji hawa waswahili?

Kwani Dr. Mpango ana kazi gani? naona hii nchi sasa inaanza kujiendea tu kama gari bovu mtaroni.
Hawezi alafanya kazi awafurahishe wote. Kuna mahali hamtakubaliana.
ishu ya mwinyi mnaikiza tu, mbona ishu ndogo au sababu rais ni mzanzibari?
 
Akienda kwenye mkutano,anaenda kama mwakilishi wa Rais wa Tanzania,haendi kama Rais wa Znz....

Mhe Samia angeweza kumtuma yeyote aende kumwakilisha either awe madarakani au asiwe madarakani

Mfano the late JPM alishawahi kumtuma mzee Mkapa na Mzee kikwete mara nyingi waende kumwakilisha.

Uwakilishi is not a big deal.
Mhh ...hiyo kumtuma mtu yoyote kwenye kikao Kama hiccho unatudngnya!
Kwa Mwinyi Haina shida Zanzibar no sehemu ya Muungano ...waliokuwa wanqchukulia poa,kuhusu nafasi ya Zanzibar kwenye Muu gano ,.mjinyonge!
 
Akienda kwenye mkutano,anaenda kama mwakilishi wa Rais wa Tanzania,haendi kama Rais wa Znz....

Mhe Samia angeweza kumtuma yeyote aende kumwakilisha either awe madarakani au asiwe madarakani

Mfano the late JPM alishawahi kumtuma mzee Mkapa na Mzee kikwete mara nyingi waende kumwakilisha.

Uwakilishi is not a big deal.
Point of correction uwakilishi is a big deal, anayatumwa anaenda kufanya maamuzi kwa niaba ya nchi, atakachokifanya au kutia sahii kinaibind nchi.
Refer Viena Convention on the law of the treaties.

Mzee mkapa na jk walituwakilisha kwenye msiba wa mzee moi sio vikao vya kimataifa.
 
Safi kaona vp kaanza panda mabega maana lately anatoa matamko as if yupo juu ya Mheshimiwa Rais wetu mpenzi
Ampige benchi na abaki na Kazi yake ya kumiliki mkasi ,bahati nzuri kufanya hivyo ni favor tuu
 
Back
Top Bottom