Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,935
- 7,513
watanzania ni watu hatari sana. duuuAlimtuma kwenda kutibiwa India
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watanzania ni watu hatari sana. duuuAlimtuma kwenda kutibiwa India
Jiwe alimtuma Kinana, his language was very raw.
Hatari ipi tena mkuu ?watanzania ni watu hatari sana. duuu
Wadau walianza kumsifia Madame, sasa ngoja tuone maana safari ndiyo baado mbichi.Mwinyi hana kazi za kufanya huko Znz? au ndio wameanza kufanya kazi kishkaji hawa waswahili?
Kwani Dr. Mpango ana kazi gani? naona hii nchi sasa inaanza kujiendea tu kama gari bovu mtaroni.
Muungano sana bara ndio kunaliwa,nunua chote bara peleka zenj uulizwi,nunua kitu zenj nenda nacho bara uone moto wakeSMZ wasipotatua kero zao za muungano awamu hii ya MAZA basi itakula kwao.
Tutasema sana ila mzizi wa haya yote ni katiba mbovu tuliyo nayo, rais anaweza kuamua chochote anacho jisikia na hamna kitu tutamfanya.Mwinyi hana kazi za kufanya huko Znz? au ndio wameanza kufanya kazi kishkaji hawa waswahili?
Kwani Dr. Mpango ana kazi gani? naona hii nchi sasa inaanza kujiendea tu kama gari bovu mtaroni.
Makamu wa rais hayupo, au sarakasi ndo zimeanza mapema..
Ndiyo mkuuHivi Kinana ndiye alitumwa kwenda kutibiwa?
Umejua kunichekesha. Kula kwa zamuKwa kweli, Mwenyezi Mungu ametuweza. Mara ghafla paaaa nchi iko mikononi mwa wazanzibar.
Mheshimiwa Rais,Makamu wa Rais na Waziri Mkuu wana kazi ya kupangua wasaidizi huko Mikoani na Wilayani wiki hii.Makamu wa rais hayupo, au sarakasi ndo zimeanza mapema..
anapanga safu yake. Yuko busyHayo yote nimekubali
Swali ni kwanini hajaenda mwenyewe?
Au anaanza kuwa paranoid of coup d'etat kama mwendazake?
Safu yenyewe ndo type za kina Abbas na Msigwa!anapanga safu yake. Yuko busy
KUNA HAJA KUBWA SANA WATANZANIA KUELIMISHWA KUHUU MUUNGANO SIKUTARAJIA HATA KIDOGO KWAMBA KUNA WATU WATASHANGAA RAIS WA ZANZIBAR KUMUWAKILISHA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. YAONESHA WAZI WATANZANIA WENGI HAWAELEWI KUHUSU MUUNGANO!!!
HIVI LEO BAADHI YA WATU TENA WENGINE NI WASOMI WANASHANGAA JAMBO HILO!! KAZI KWELI KWELI!!!