nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,602
- 20,181
Au mama anaanza kuwa paranoid of coup d'etat?Jiwe alimtuma Kinana, his language was very raw.
Asianze habari za kujifungia kama jiwe
Aende hata Saudi akahiji basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au mama anaanza kuwa paranoid of coup d'etat?Jiwe alimtuma Kinana, his language was very raw.
Yule Muha hachelewi kuomba trilion 2Huu ni mwanzo mzuri kwa manufaa ya JMT.View attachment 1746001
Jiwe alikufa siku 11 kabla hatujatangaziwa sasa hapo katikati yaliyotokea yamemshtua sana mama.Au mama anaanza kuwa paranoid of coup d'etat?
Asianze habari za kujifungia kama jiwe
Aende hata Saudi akahiji basi
Nitaenda magogoni na speakerMmh ongeza sauti kidogo
Cha ajabu nini hapo? Mwinyi anawakilisha JMT, kipi hujaelewa? Mnapenda Sana kulalamikaMwinyi hana kazi za kufanya huko Znz? au ndio wameanza kufanya kazi kishkaji hawa waswahili?
Kwani Dr. Mpango ana kazi gani? naona hii nchi sasa inaanza kujiendea tu kama gari bovu mtaroni.
Makamu wa Rais ni muhimu muda huu wa bunge la bajeti,yeye ndio alikuwa waziri wa fedhaMakamu wa rais hayupo, au sarakasi ndo zimeanza mapema..
Huu ndiyo wakati pekee wa wazanzibar kuitoa Zanzibar kwenye mikono ya mkoloni TanganyikaKwakweli, Mwenyezi Mungu ametuweza. Mara ghafla paaaa nchi iko mikononi mwa wanzibar.
Hakujatokea mwendazake hukoYeye Mwinyi habadirishi safu ya uongozi?
Sawa, lakini Mwinyi ni mkuu wa serikali ya Zanzibar ambayo si mwanachama wa SADCC. Kama alitaka kumtuma mzanzibari wapo wengi tu kwenye serikali ya muungano.Zanzibar ni sehemu ya JMT, tumia akili basi.
Makamu wa rais hayupo, au sarakasi ndo zimeanza mapema..
Nafikri JPM alishawahi kumtuma DK Shein piaAkienda kwenye mkutano,anaenda kama mwakilishi wa Rais wa Tanzania,haendi kama Rais wa Znz....
Mhe Samia angeweza kumtuma yeyote aende kumwakilisha either awe madarakani au asiwe madarakani
Mfano the late JPM alishawahi kumtuma mzee Mkapa na Mzee kikwete mara nyingi waende kumwakilisha.
Uwakilishi is not a big deal.
Alimtuma kwenda kutibiwa IndiaJiwe alimtuma Kinana, his language was very raw.
Sawa, lakini Mwinyi ni mkuu wa serikali ya Zanzibar ambayo si mwanachama wa SADCC. Kama alitaka kumtuma mzanzibari wapo wengi tu kwenye serikali ya muungano.
Kamba kaachiwa ndefu sana naona akienda kujinyonga mwenyewe.
Hata angemtuma Mama angekuwa amemtuma mzanzibar, hamna tofauti.Nafikri JPM alishawahi kumtuma DK Shein pia
Kwani Rais wa Zanzibar ana cheo/wadhifa gani katika serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania kama isemavyo katiba...???Makamu wa rais hayupo, au sarakasi ndo zimeanza mapema..