Rais Dkt. Magufuli aongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mawaziri Ikulu, Dar es Salaam

Rais Dkt. Magufuli aongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mawaziri Ikulu, Dar es Salaam

W.jpe
 
Hicho kiti cha wazi cha nani? Cha Shein?

Enzi zile za Soviet Union, za akina Brezhnev na wengine ukiona kiti kiko wazi ujue tayari huyo mjumbe wa CC ameshang'olewa. Lakini kwa hili la kwetu hali ni tofauti kabisa.........Pengine ni cha miongoni mwa mawaziri ambao hawajateuliwa au pengine cha katibu wa baraza ambaye for few minutes labda hayupo yuko chumba cha karibu anafuatilia document (s) au pengine......
 
Mkuu usiwe mbishi kwa vitu vilivyowazi. Kikatiba Rais wa Zanzibar ni member wa cabinet by virtue of his position.

mkuu hivi unajua nilijibu hoja gani ...? au una kurupuka tu..?
mimi nilimjibu aliye sema hivi : Namwona kama Shein pale baada ya Dr Mwinyi...
Anatia aibu sana huyu baba.


sasa wewe umekuja mpera mpera kujibu kitu ambacho hata hakipo.
siku nyingine kuwa mtulivu kwanza kabla ya kudandia treni kwa mbele.
 
Kama kuna kiti cha shein na hayupo kwanini bungeni aliingia?
 
Enzi zile za Soviet Union, za akina Brezhnev na wengine ukiona kiti kiko wazi ujue tayari huyo mjumbe wa CC ameshang'olewa. Lakini kwa hili la kwetu hali ni tofauti kabisa.........Pengine ni cha miongoni mwa mawaziri ambao hawajateuliwa au pengine cha katibu wa baraza ambaye for few minutes labda hayupo yuko chumba cha karibu anafuatilia document (s) au pengine......

Umenikumbusha ya kule kwa Kim Jong-un, NK. Ukiona kiti kiko wazi tayari huyo alishatupiwa nguruwe au tundu ya simba. Ila kwa suala hili, namwona PM yuko baada ya hicho kiti, ni nani atakaa kabla yake close to President? Hapo ndio sijaelewa.
 
Sio Dr Shein.
Kama angekuwapo kufuatana na protokali angeketi kushoto kwa Rais...si unaona..kiti kitupu
 
Back
Top Bottom