Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho kiti cha wazi cha nani? Cha Shein?
Namwona kama Shein pale baada ya Dr Mwinyi...
Anatia aibu sana huyu baba.
![]()
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam Alhamisi tarehe 17, 2015. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan na kushoto kwake ni Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa. Kikao hicho ni cha kwanza kufanyika tangu Rais Magufuli atangaze Baraza la Mawaziri la Serikali ya Awamu ya Tano wiki iliyopita.
Namwona kama Shein pale baada ya Dr Mwinyi...
Anatia aibu sana huyu baba.
Bila kumsahau makamu wa raisYupo Dr. Hussein Mwinyi na Prof.Mbarawa. Cha kushangaza Mbarawa amepewa wizara ya maji na umwagiliaji jambo linalohusu Tanganyika tu.
ngoja nifatilie vitafunwa na bites zilizowekwa kwa waheshimiwa wenye kazi.
Namwona kama Shein pale baada ya Dr Mwinyi...
Anatia aibu sana huyu baba.
Hicho kiti cha wazi cha nani? Cha Shein?
Namwona kama Shein pale baada ya Dr Mwinyi...
Anatia aibu sana huyu baba.
Namwona kama Shein pale baada ya Dr Mwinyi...
Anatia aibu sana huyu baba.