Kwa mujibu wa duru muhim ndani ya Wizara ya Mambo ya Nje, Mheshimiwa Rais anatarajiwa kufanya ziara rasmi nchini China baadae mwezi huu.
Katika ziara hiyo Pamoja na matukio mengine Mhe Raisi atashiriki mazungumzo na kusaini makubaliano mbalimbali juu ushirikiano wa China na Tanzania katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kijamii na kisiasa.
Kadhalika Mheshimiwa atatunukiwa Shahada ya juu ya heshma toka chuo kikuu kimojawapo mashuhuri Jijini Beijing.
Wachina nao wameanza kuiga uchawi wa wazungu wa tunuku, toa msaada, saini mikataba. Sasa jamani JPM kaingia juzi anatunukiwa nini tena?
Mwaka ule ilisainiwa mikataba 26 katika oparesheni Okoa dogo na sasa tena mikataba ya Oparesheni badili MCC, tutakoma.
Sijui wakikumbuka ile meli yao ya uvuvi itakuaje? any way JPM aombe tu msamaha waishane.
Kwa mujibu wa duru muhim ndani ya Wizara ya Mambo ya Nje, Mheshimiwa Rais anatarajiwa kufanya ziara rasmi nchini China baadae mwezi huu.
Katika ziara hiyo Pamoja na matukio mengine Mhe Raisi atashiriki mazungumzo na kusaini makubaliano mbalimbali juu ushirikiano wa China na Tanzania katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kijamii na kisiasa.
Kadhalika Mheshimiwa atatunukiwa Shahada ya juu ya heshma toka chuo kikuu kimojawapo mashuhuri Jijini Beijing.
Wachina nao wameanza kuiga uchawi wa wazungu wa tunuku, toa msaada, saini mikataba. Sasa jamani JPM kaingia juzi anatunukiwa nini tena?
Mwaka ule ilisainiwa mikataba 26 katika oparesheni Okoa dogo na sasa tena mikataba ya Oparesheni badili MCC, tutakoma.
Sijui wakikumbuka ile meli yao ya uvuvi itakuaje? any way JPM aombe tu msamaha waishane.
Kwa mujibu wa duru muhim ndani ya Wizara ya Mambo ya Nje, Mheshimiwa Rais anatarajiwa kufanya ziara rasmi nchini China baadae mwezi huu.
Katika ziara hiyo Pamoja na matukio mengine Mhe Raisi atashiriki mazungumzo na kusaini makubaliano mbalimbali juu ushirikiano wa China na Tanzania katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kijamii na kisiasa.
Kadhalika Mheshimiwa atatunukiwa Shahada ya juu ya heshma toka chuo kikuu kimojawapo mashuhuri Jijini Beijing.
Wachina nao wameanza kuiga uchawi wa wazungu wa tunuku, toa msaada, saini mikataba. Sasa jamani JPM kaingia juzi anatunukiwa nini tena kama si yale yale ya kutaka kumchanganya kumchanganya na matuzo, manishani, mashahada
?
Mwaka ule ilisainiwa mikataba 26 katika oparesheni Okoa dogo na sasa tena mikataba ya Oparesheni badili MCC, tutakoma.
Sijui wakikumbuka ile meli yao ya uvuvi itakuaje? any way JPM awawahi awaombe tu msamaha waishane.